Wosia wa Babu kwa wapwa wa MMU

Wosia wa Babu kwa wapwa wa MMU

Ha! si heri mimi, wewe watisha mpaka nyani wanakuita kaka!

Si afadhali yangu mimi? Je we mwenye nywele ngumu mpaka wazitumia kusugulia sufuria mbona mi sisemi?
 
Shukrani mkuu.

Lakini wewe na babu mwenzio mnaendana mm nikajua tayari wewe umeelewa nini anacho taka kiwe huu mwaka mpya!

Mkuu nimepata F....tena hii ndo ya kwanza toka nifikishe meno 32!

Si afadhali yangu mimi? Je we mwenye nywele ngumu mpaka wazitumia kusugulia sufuria mbona mi sisemi?

Nimesoma tena na tena mada na michango ya wadau lakini mbado kupata kitu hapa. Hivi mnapanga nini vile?
 
weusi dawa ya moyo kwi kwi kwi babu usianze kucheua vipepeo lol

Hivi wewe mjukuu hili some umelielewa au mimi nimepata tetenasi ya ubongo..tena ile inaitwa flaccid!
 
Thanx Asprin Kwani ww ni babu kiukweli?
Ana miaka mia na nusu lakini akili yake ni ya miaka kama 25 hivi
Anajua kila kitu kuanzia history mpaka physicalogy lol
anajua kukagua mpaka kuchagua. ..
Mmmmhhh ka unataka kujua zaidi ni pm
Mjukuu. AD
 
Mkuu nimepata F....tena hii ndo ya kwanza toka nifikishe meno 32!



Nimesoma tena na tena mada na michango ya wadau lakini mbado kupata kitu hapa. Hivi mnapanga nini vile?
Babu mwenzangu, ukitaka kujua, mwambie invizibo arudishe chat room.....
 
Ana miaka mia na nusu lakini akili yake ni ya miaka kama 25 hivi
Anajua kila kitu kuanzia history mpaka physicalogy lol
anajua kukagua mpaka kuchagua. ..
Mmmmhhh ka unataka kujua zaidi ni pm
Mjukuu. AD
Nimeshindwa kukugongea senksi kwa kuwa umepost Via Mobile.
 
Hii Lizzy MASA....ina maanisha Masa ndo keshanipiga bao kwenye wa ubani thru keyboard? Huyu Rev Masa mzee wa kujiexpress?

Habari ndo hiyo babu ila hayo ya kujiexpres hayahusu!Off topic umenitoa mwenyewe...nikipata ban nakata rufaa!
 
Habari ndo hiyo babu ila hayo ya kujiexpres hayahusu!Off topic umenitoa mwenyewe...nikipata ban nakata rufaa!

Ulinipiga chini saa ngapi? sikumbuki kupewa talaka wala kuambiwa japo kwa maneno...lol
 
Hapa mkuu mambo tayari, kuanzia sasa inabidi uangalie mipaka yako kwa Lizzy hivi hapa anasubili mida tu atue Zenji hapo

Hahahaha!Mwambie kabisa...hapa nipo ticket mkononi nasubiria boti!
 
Ulinipiga chini saa ngapi? sikumbuki kupewa talaka wala kuambiwa japo kwa maneno...lol

We uliacha kiti wazi nikajua ndo basi tena!Nimekuandikia barua...ikifika utapata maelezo yote!
 
We uliacha kiti wazi nikajua ndo basi tena!Nimekuandikia barua...ikifika utapata maelezo yote!

Basi bana...nimekubali kushindwa....ngoja tuangalie atakayejuta mbele ya safari. ngoja nibaki kuwakagua wajukuu zangu.
 
Usijali babu najua umesha nishukuru lol
Lisaa limebaki nirudi kwenye mtandao mkubwa. ..

Haya masaa mbona hayaendi? Nakamisi haka kajukuu kwenye mtandao mkubwa bana.
 
Nimeshindwa kukugongea senksi kwa kuwa umepost Via Mobile.
Hommie naona tunaelekea page ya nane post zote hazina connection na topic! Inanipa wasiwasi kama kuna agenda yako hapo.
 
Back
Top Bottom