Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu kwenu waungwana na heri ya mwaka mpya.
Jukwaa letu hili mara nyingi limekuwa likilalamikiwa kuwa linajadili mada ambazo hazikupaswa kujadiliwa na great thinkers (tafsiri ya nani ni great thinker bado haijakaa kichwani kwa babu).
Nawashauri ndugu zangu wa MMU kuwa tubadilike na tuache tabia ya kutoa na kujadili mada zisizo na tija kwa taifa letu kama zile za kufurahishwa na harufu za vikwapa, kummega mama mkwe, kupenda avatar za baadhi ya members, kutafuta infii nk nk nk.
Kwa kuanzia naanza mimi kwa kutoa hoja za ki-great thinkings
1. Hivi hatuoni kuwa ni verevere kusali kabla ya tendo la ndoa ili kujiepusha na mabaya kama kufa kwa presha wakati wa tendo, kutomridhisha mwenzako, kumuumiza mwenzako, kumwambukiza mwenzako maradhi au kumgea mimba zisizotarajiwa? (au kufumaniwa kwa wale mainfii)
2. Je haitupasi kumshukuru Mungu baada ya tendo kwa kuzuia hayo hapo juu kutokea?
3. Haifai kumwomba Mungu awaongezee uhai ili mkutane tena na muweze kufanya hayo mawili hapo juu?
Angalizo: Hii ni kwa wale wenye mahusiano ya kudumu.
Kwa wale wa mahusiano ya papo kwa papo hamuhusiki na hizo hoja hapo juu, ila je?
1. hamuoni baada ya kumaliza uchafu wenu mnapaswa kwa pamoja kutubu kwa Mungu kwa maudhi na dhambi mliyotoka kuitenda punde? (Baada ya kuoga, Mungu hapendi maarufu ya ngono). Mnasubiri mkatubu kanisani/msikitini, mkipata ajali kabla hamjafika huko na mkafariki dunia hamuoni mtaingia Jehanamu?
2. Baada ya namba moja hapo juu hamuoni kuwa yawapasa kumwomba Mungu ili ampitishe shetani mbali msirudie tena kuirudia hii dhambi mbaya?
Babu anawapendeni na anarudi zake kitandani.
:drum::drum::drum:
Na wewe wapenda weusi na mama bigi anapenda weupe lakini weusi kipenzi cha roho.
Bila shaka Nyagi ndani ya kabinti ni LAZIMA ilindwe.....long live nyagi.
Ten sauzend safiiiiiiii?
Mwone kwanza, meno yako yameboboka mpaka mswaki unaogopa kuingia mdomoni....
Si afadhali yangu mimi? Je we mwenye nywele ngumu mpaka wazitumia kusugulia sufuria mbona mi sisemi?
Bora umeingilia kati....na huko nyuma nshawaonya atakayeenda ofu topiki anakula ban.
Ahsante kwa kuniwekea listi...Naanza na mchakachuaji mpenda weupe lakini weusi kipenzi cha moyo.
Kama unavyosemaga wewe ooriaiti ooraiti tutazingatia haya,wakinadada wanatuweka majaribuni nguo zinazidi kupungua siku hadi siku.
heheheh...Asante kwa kulinda maslahi ya akupendae........luv is power.......unayempenda utamlinda bana!
Salama tu... Heri ya mwaka mpya na kwako pia!karibu kheri ya mwaka mpya?
Habari za mwaka jana?
Naona hata mi naitafuta siipati...:becky:Hebu nipeni link ya hizi post na thread upesi.
Kweli babu umezidi kukata ringi, sasa we umesema watu wamuombe mungu ili waweze kukutana tena, hapohapo unasema watubu kwa mungu wasirudie dhambi hiyo huoni hapo itamchanganya Sir God hatajua mtu anataka nini?
Hivi wewe mjukuu hili some umelielewa au mimi nimepata tetenasi ya ubongo..tena ile inaitwa flaccid!
Yaani babu bado naendelea kutafuta miwani maana hii new year hii imekuja kwa kishindo
Maty......nitaomba nije nikutembelee hivi karibuni. Utaniruhusu?
Maty heri ya 2011........
Poa I hope weekend hii huna mkataba na Abood wa kuja Dar..maana ..............Karibu sana lol, ninakusubiri kwa hamu ujue (weupe nawapenda)
Maty heri ya 2011........
Halafu watu tunajiuliza kwa nini server ilitema vile........... orait oraitNawe pia bana habari za kupotea (nimekumiss utakuja lini?ukishasoma futa rose asisikie)