Wosia wa Babu kwa wapwa wa MMU

Wosia wa Babu kwa wapwa wa MMU

Hommie naona tunaelekea page ya nane post zote hazina connection na topic! Inanipa wasiwasi kama kuna agenda yako hapo.

Off topic....you have been warned!
 
Kama unavyosemaga wewe ooriaiti ooraiti tutazingatia haya,wakinadada wanatuweka majaribuni nguo zinazidi kupungua siku hadi siku.
 
Kama unavyosemaga wewe ooriaiti ooraiti tutazingatia haya,wakinadada wanatuweka majaribuni nguo zinazidi kupungua siku hadi siku.

Usijali kamanda, ndo nawafunda huku wasi do the needful sana babu nikaingia mbinguni peke yangu.
 
Salamu kwenu waungwana na heri ya mwaka mpya.

Jukwaa letu hili mara nyingi limekuwa likilalamikiwa kuwa linajadili mada ambazo hazikupaswa kujadiliwa na great thinkers (tafsiri ya nani ni great thinker bado haijakaa kichwani kwa babu).

Nawashauri ndugu zangu wa MMU kuwa tubadilike na tuache tabia ya kutoa na kujadili mada zisizo na tija kwa taifa letu kama zile za kufurahishwa na harufu za vikwapa, kummega mama mkwe, kupenda avatar za baadhi ya members, kutafuta infii nk nk nk.

Kwa kuanzia naanza mimi kwa kutoa hoja za ki-great thinkings

1. Hivi hatuoni kuwa ni verevere kusali kabla ya tendo la ndoa ili kujiepusha na mabaya kama kufa kwa presha wakati wa tendo, kutomridhisha mwenzako, kumuumiza mwenzako, kumwambukiza mwenzako maradhi au kumgea mimba zisizotarajiwa? (au kufumaniwa kwa wale mainfii)

2. Je haitupasi kumshukuru Mungu baada ya tendo kwa kuzuia hayo hapo juu kutokea?

3. Haifai kumwomba Mungu awaongezee uhai ili mkutane tena na muweze kufanya hayo mawili hapo juu?

Angalizo: Hii ni kwa wale wenye mahusiano ya kudumu.

Kwa wale wa mahusiano ya papo kwa papo hamuhusiki na hizo hoja hapo juu, ila je?

1. hamuoni baada ya kumaliza uchafu wenu mnapaswa kwa pamoja kutubu kwa Mungu kwa maudhi na dhambi mliyotoka kuitenda punde? (Baada ya kuoga, Mungu hapendi maarufu ya ngono). Mnasubiri mkatubu kanisani/msikitini, mkipata ajali kabla hamjafika huko na mkafariki dunia hamuoni mtaingia Jehanamu?

2. Baada ya namba moja hapo juu hamuoni kuwa yawapasa kumwomba Mungu ili ampitishe shetani mbali msirudie tena kuirudia hii dhambi mbaya?


Babu anawapendeni na anarudi zake kitandani.
:drum::drum::drum:

Kweli babu umezidi kukata ringi, sasa we umesema watu wamuombe mungu ili waweze kukutana tena, hapohapo unasema watubu kwa mungu wasirudie dhambi hiyo huoni hapo itamchanganya Sir God hatajua mtu anataka nini?
 
Na wewe wapenda weusi na mama bigi anapenda weupe lakini weusi kipenzi cha roho.

Bila shaka Nyagi ndani ya kabinti ni LAZIMA ilindwe.....long live nyagi.

Ten sauzend safiiiiiiii?

Mwone kwanza, meno yako yameboboka mpaka mswaki unaogopa kuingia mdomoni....

Si afadhali yangu mimi? Je we mwenye nywele ngumu mpaka wazitumia kusugulia sufuria mbona mi sisemi?

Halafu yeye yeye
Bora umeingilia kati....na huko nyuma nshawaonya atakayeenda ofu topiki anakula ban.

Ahsante kwa kuniwekea listi...Naanza na mchakachuaji mpenda weupe lakini weusi kipenzi cha moyo.

Kwa heshima yako jichagulie unataka ban ya muda gani
 
Kweli babu umezidi kukata ringi, sasa we umesema watu wamuombe mungu ili waweze kukutana tena, hapohapo unasema watubu kwa mungu wasirudie dhambi hiyo huoni hapo itamchanganya Sir God hatajua mtu anataka nini?

Soma vizuri mamushka... kuna mahusiano ya kudumu a.k.a post paid na ya muda a.k.a prepaid... hao wana maomni yao tofauti kabisa. We ni pre au post?
 
Hivi wewe mjukuu hili some umelielewa au mimi nimepata tetenasi ya ubongo..tena ile inaitwa flaccid!

Yaani babu bado naendelea kutafuta miwani maana hii new year hii imekuja kwa kishindo
 
hay babu naona leo umeamkia upande mwingine wa kitanda...
nadhani utakuwa wakulia sababu ni mzuri ....
na dhani hukulala upande wa ukuta pia..
nimerudi.....lol
 
hay babu naona leo umeamkia upande mwingine wa kitanda...
nadhani utakuwa wakulia sababu ni mzuri ....
na dhani hukulala upande wa ukuta pia..
nimerudi.....lol

Babu ameamka kifudifudi!
 
Back
Top Bottom