Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

Unadhani hatakuwa tunaona umeme kukatika kipindi cha dhalimu? Rejea vizuri kipindi cha kampeni za uchaguzi kuanzia july 2020 kulianza kuwa na mgao mkali wa umeme, na akawa anajifichia kwenye ujenzi wa bwawa SG. Acha wahuni wafanye yao maana aliondoa nguvu ya wananchi kuhoji, akatengeneza kizazi za kusifia, matokeo yake ndio hawa chawa waliojaa ili watoke kimaisha.
Kabla ya hapo maisha yalikuwaje pamoja na kuwepo hiyo unayoiita maoni ya wengi?

Je! hayo maoni ya wengi yana tija gani linapokuja kwenye maisha kawaida ya mtanzania tofauti na nyinyi wana siasa uchwara wa kibongo.

Mnaoifanya siasa kuwa ajira na chanzo pekee cha mapato?

Mwanasiasa wa kibonho akizuiwa siasa anakuwa kama kafukuzwa kibaruani.

Ni kama sasa mlivyopoteana baada ya JPM kufanya yake 2020,na wananchi 'wakaamua'
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).

Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu,kwa machungu ya kukaa vijiweni.baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake,ajira hewa,utumbuzi majipu,uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana ....ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.

Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....

Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi.
Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.

Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBILI"

Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.

Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.

Tunawaona na Tunawapimia.

Alamsiki!
View attachment 2397812
AKUMBUKWE JPM.
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).

Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu,kwa machungu ya kukaa vijiweni.baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake,ajira hewa,utumbuzi majipu,uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana ....ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.

Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....

Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi.
Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.

Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBILI"

Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.

Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.

Tunawaona na Tunawapimia.

Alamsiki!
View attachment 2397812
Labda nyie Sukuma Gang mtamkumbuka
 
Kabla ya hapo maisha yalikuwaje pamoja na kuwepo hiyo unayoiita maoni ya wengi?

Je! hayo maoni ya wengi yana tija gani linapokuja kwenye maisha kawaida ya mtanzania tofauti na nyinyi wana siasa uchwara wa kibongo.
Mnaoifanya siasa kuwa ajira na chanzo pekee cha mapato?

Mwanasiasa wa kibonho akizuiwa siasa anakuwa kama kafukuzwa kibaruani.

Ni kama sasa mlivyopoteana baada ya JPM kufanya yake 2020,na wananchi 'wakaamua'

Wananchi gani waliamua zaidi ya vyombo vya dola? Hayo unayosema JPM kafanya ndio hili balaa la umeme kukatika na hakuna wa kuhoji zaidi ya kulalamika.
 
Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini"
Yule mzee alitu-fix sana.
Cag aliposema 1.5t haionekani, akamtemesha kibarua.
Tenda nyingi za ujenzi katoa Kwa mayanga construction Kwa upendeleo.
Kwenye manununzi ya ndege etc, hakuna auditing.
Leo tunasikia Tena pesa za plea bargaining hazjulikani ziko wapi.
 
Kwa hiyo changamoto ya umeme na maji itakapotatuliwa kutakuwa hakuna sababu ya kumkumbuka?
Bado kuna wizi mkubwa unaoendelea kwa system ya wanasiasa wote.
Walioko CCM na hata wa Upinzani.

Hii ni chain ile ile iliyokuwepo enzi zake mshika remote wa sasa!
 
Yule mzee alitu-fix sana.
Cag aliposema 1.5t haionekani, akamtemesha kibarua.
Tenda nyingi za ujenzi katoa Kwa mayanga construction Kwa upendeleo.
Kwenye manununzi ya ndege etc, hakuna auditing.
Leo tunasikia Tena pesa za plea bargaining hazjulikani ziko wapi.
Miaka miwili tangu azikwe Chato!
Amewaachia ofisi ya Ikulu na Makabrasha yake yote,amewaachia TISS na TAKUKURU yote.

Hakuna alichoingia nacho kaburini!

Mbona hamtuonyeshi ushahidi wa huo ufisadi,mnaishia kuropoka kama wake wenza na gubu la wivu!
 
Wananchi gani waliamua zaidi ya vyombo vya dola? Hayo unayosema JPM kafanya ndio hili balaa la umeme kukatika na hakuna wa kuhoji zaidi ya kulalamika.
Wananchi wahoji wapi zaidi ya haya tunayoandika,huku wenye machungu yenu mkiendelea kulipiza visasi?

Mnachokililia sio Demokrasia ya kweli bali ulaji wa kupitia Domo-kula-sia.

Subirini tena 2025 kama upepo utakuwa upande wa matumbo yenu!
Kwa sasa Endeleeni kununa tu.
 
Na bado hukuweza na hutaweza kurudi kutumia hicho cheti tena maishani.
Mpaka unaingia getini kaburini.
Kimbilio lenu ni hilo la kusema wanaoongea ukweli kuhusu mwendakuzimu na ushetani wake wote eti ni wenye vyeti feki!!

Nikisema kwamba wote mnaomkumbuka na kumlilia ni wale aliowapa m.mba na kuwa sehemu ya wanufaika wa mfumo ovu wake,nitakuwa nakosea!!???
 
Wananchi wahoji wapi zaidi ya haya tunayoandika,huku wenye machungu yenu mkiendelea kulipiza visasi?

Mnachokililia sio Demokrasia ya kweli bali ulaji wa kupitia Domo-kula-sia.

Subirini tena 2025 kama upepo utakuwa upande wa matumbo yenu!
Kwa sasa Endeleeni kununa tu.

Nani anune, nuneni nyie mnaosema dhalimu angekuwepo umeme usingekatika.
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).

Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu,kwa machungu ya kukaa vijiweni.baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake,ajira hewa,utumbuzi majipu,uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana ....ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.

Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....

Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi.
Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.

Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBILI"

Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.

Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.

Tunawaona na Tunawapimia.

Alamsiki!
View attachment 2397812
Halafu ondoa hilo lipicha la shetani humu utatusababishia mikosi aliyoondoka nayo
 
Magufuli alikua Rais wa kweli. Alilipenda taifa na watu wake. Hakuwa mkamilifu ila alikua mwaminifu katika uzalendo wake. Inaumiza sana namna alivyoondolewa lakini inatia moyo kwamba kumbe inawezekana. Tusonge mbele yajayo yanafurahisha. Hawa mafala wachache wanaoipindisha nchi ni kitambo kidogo watabaki historia, hatutowasikia tena kisiasa. Taifa hili haliwezi kurudi kule tulikotoka, hii ni dhahiri na itakua.
Nakuambia kitendo cha Mwenyezi Mungu kumfanya kuwa Rais alikuwa na nia kutuonesha kwamba inawezekana.
Na CCM itakuwa wanajutia sana na kujiuliza ilikuwaje?..Ila Mungu ni muweza wa yote.
JPM aliset standard ya juu sana..sasa hawa wenzangu na mimi wanatoa macho tu...Uongozi sio lelemama.
Na wananchi wanaona...huu ni mwanzo tu...shughuli ipo mbele tusubiri...
 
Back
Top Bottom