Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
True love imtoke wapi? Alijua hapa pans ulaji ndo maanaNna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True love imtoke wapi? Alijua hapa pans ulaji ndo maanaNna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hakufikiria vyema huyu marayaJack nae alizidi mtu kachuma mali na watoto wake na mke wake halafu uje kuokota kilainilaini tu
Mbususu yenyewe inasemaje?Alikua anataka mpaka bonite, itv [emoji28][emoji28] , ukute mzee aliandika wakati mnyama yupo ndani ya mbususu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji482][emoji482]
Hahahahah demu mjinga sana yuleHalafu eti kama wakienda kupinga huo wosia mahakamani wapewe shilingi elfu moja😂😂😂
Hujagundua jack huyuUnongea kama vile ulikuwa mchepuko wa Marehemu.
Tena unaongea ukiwa na uhakika kabisa.
Haaa haaaaHalafu kuna mwanasheria kagonga muhuri wake...
Ata-enjoy urithi wa watoto wakati ameshazeeka!!!Ni bora hata angewagana nao nusu kwa nusu, ila pamoja na yote kuwa na wale watoto wadogo hawezi kusahaulika
Siku moja nikamwuliza advocate mbona naona mhuri wako kwenye ule wosia? And she was like mimi sijauandaa. Niliitwa tu ukiwa ushaandaliwa na nikaweka muhuri tu. Advocate alihojiwa siku nzima. Na kiukweli kabisa apongezwe kwasababu alikua hayuko aware. Alijua tu michongo kama mingine. Na akasimamia ukweli na kuelezea kila kitu. Amemshika sana Mungu. So aibu ibaki kwa mhusika na tamaa zake.
Atulie na huyo bwnaake mzungu sasa na asubirie kugaiwa sawasawa na stahiki zake anazostahili na si according na usia aliouandaa
True love itoke wapi pale! Hamnaga mapenzi kwenye kufujana😅😅😅 kama true love ipogi nipende kama nilivyo mie msela ili niamini!Nna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu tuma salamu kwa watu wanne umenena vyemaKwa kifupi kabisa Jaklini ni mwizi asiyejua kuiba
Ndio muonege umuhimu wa kuanza frm scratchIt was a fodged one. Uliandaliwa vichochoroni. Mawakili wengine walianguka saini tu huko. Na hapo anakaa kimachale kwa sasa.
It was like ....alimtafuta mwanasheria mjanja akaandika aliyoweza akaenda kumsainisha tu mzee huku mikono ya mzee ikiwa inatetemaDah!
Hii ndio iliniacha hoi, kaliingiwa na tamaa sana na inawezekana huo wosia kaliandika kenyewe
Alikua nayo kubwa tu ya furniture, kaiuzaYaani jack bwana ...muda ule ilikua muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!
Alijimix sana mle! Bora angefungua kampuni la Bima tu😅😅😅 mtoto aliishi ndoto zake kupitia account za mzee MengiAlifungua biashara ya kishua ya furniture. Sasa wabongo na njaa zetu mpaka upate mtu wa kununua kochi la million 10 sio mchezo, biashara ikafa kibudu
Mnanunua nyie si wapambanaji wenzie mnamuungisha shoga yenu😅😅😅Ile sio biashara mkuu..vistuli unauza 3m..khaa ..! Angemfungulia kampuni hata za usafirishaj madin anajipelekea dubei huko au hata construction..mweeeee nasema mweeeeee!
I concur 😅😅😅 mbona asimzimie mzee Jangala pale Kiwalani anasukuma kete za draft tu 😅😅😅Define true love.....
Yaaani true love binti kama yule avutiwe na mzee wa miaka 70+ aisee that bullshish can only be found in fairytale stories not in real life.
Kwani shayo nae kaacha majanga??Ila wazee wa kichagga sijui ndo niseme ni malimbukeni sana ama ni nn sijui. Yaan umalaya tu umewajaaa. Na haya ndo hugharimu familia. Watu wanazaa zaa ovyo. Nikimuwaza billionare mrema na ngurdoto yake na vitega uchumi vingine inasikitisha sana. Imagine michepuko imejilengesha huko kisa inajua kuna fursa. Wallah tungekifa wote. Halaf bado wanathibutu kunyoosha midomo.
Huyu procorine shayo naye aliyejigongesha juzi kati hapo tabata akafa naye baada ya kudaiwa kodi 2.4billion naye hovyo kabisa. Watu wanazaa ovyo ovyo tu. Hawajali masilahi ya wanaowaacha wala vitega uchumi walivyoviandaa... mtu uzeeni ndo unakuja fanya makosa ya kipuuzi hv. Mimi naheshimu watoto niliowakuta kabla ya ndoa. Ukija nimeshafunga utafurahi. Huyo baba yenu amalizane na nyie hukohuko. Tulieni jaman kaka zetu. Kwanza mnapitapita ovyo mnajiokotea maradhi wanawake wengine wamebeba mamikosi huko wengine wachawi tafrani.
Kaka zetu wa kichagga jitathminini sana. Munaacha majanga nyuma ya pazia..
Biashara ya kuuza vitanda million 7 na makochi million 10 inatoboaje kwenye utawala wa jiwe😅😅😅Alikuwa ana kampuni ya furniture sijui imekuaje haionekani tena