Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Jack bwana wenzie wanapambana kuendeleza kampuni yeye busy kujipost insta...wakina Regina hata account huko insta hawana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mlongo unihekisi veve, hadi maholi gihuma utadhana nivemba, lol
 
Wadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Madangaji wa kibongo tyuuh, ndo huwa hawajielewagi yaan, ila wa mbele mbna oya oya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alifungua biashara ya kishua ya furniture. Sasa wabongo na njaa zetu mpaka upate mtu wa kununua kochi la million 10 sio mchezo, biashara ikafa kibudu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
....na kuna JAQUILINE KENNEDY ONASSIS [emoji1787][emoji1787][emoji1787] aliyekuwa mke wa Rais wa Marekani JF Kennedy aliyekwenda kuangukia kwa TAJIRI WA KAMPUNI ZA MELI mzee ONASSIS.....

Yaani haya majina Jackline hayaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yes.... mimi ni jamhuri. Lazima niwatetee wanyonge wenzangu. Au nasema uongo ndugu zanguni?
Nakubaliana na movement zako, mimi pia japo hayanihusu lakini niko upande wa watoto

Hata tukiacha mambo ya sheria, haiingii akilini watu wametafuta kwa miaka 40 atokee kibaka ajimilikishe

Anachonishangaza anaona ana haki kabisa
 
Mjane lazima apate urithi wa mume wake ila hawezi kupata kama huo unaodaiwa ni wosia wa marehemu ulivyoelekeza bali mahakama itagawa urithi kwa namna ambayo inaona kila mrithi atapata haki yake kama anavyostahiki.
Mahakama ilipaswa ijiulize kwa nini Marehemu aliamua kuandika wosia,

Marehemu alikuwa tayari amefanya utaratibu wake wa kugawa mali zake akiwa bado hai ndio maaana tumeona alisha mgawia mtalaka wake wa kwanza pamoja na watoto wake, vivo hivyo akafanya kwa mjane huyu kwa kuandika wosia. hivyo mahakama kwa kuto kuutambua wosia wa marehemu ni sawa na kumfanyia dhiahaka Marehemu....jambo ambalo sio sahihi,

wosia wa marehemu ni kitu cha heshima na cha kuheshimiwa sio cha kudharauliwa na kukidhihaki kama inavyo fanywa hivi sasa.
 
Inategemea wosia wenyewe umeandikwa katika mazingara gani,zaidi ya hayo marehemu alikufa katika mazingira gani
 
Mahakama ilipaswa ijiulize kwa nini Marehemu aliamua kuandika wosia,

Marehemu alikuwa tayari amefanya utaratibu wake wa kugawa mali zake akiwa bado hai ndio maaana tumeona alisha mgawia mtalaka wake wa kwanza pamoja na watoto wake, vivo hivyo akafanya kwa mjane huyu kwa kuandika wosia. hivyo mahakama kwa kuto kuutambua wosia wa marehemu ni sawa na kumfanyia dhiahaka Marehemu....jambo ambalo sio sahihi,

wosia wa marehemu ni kitu cha heshima na cha kuheshimiwa sio cha kudharauliwa na kukidhihaki kama inavyo fanywa hivi sasa.
Wosia haudhihakiwi ila sheria inaruhusu wosia kupingwa mahakamani....

Maana inawezekana wosia kuwa forged...au haukuzingatia matakwa ya kisheria.

Wewe unadhani mengi in his right mind awanyime wanae urithi kwa sababu zipi? Aliyekuwa mkewe wa kwanza naye alikuwa na hisa zake kwenye hizo biashara so mgao wake lazima uende kwa wanaye ambao ni hao Wawili.

Wewe
 
Kuna story nyuma ya pazia ambayo inaukakasi sana kuhusu huyu mzee dakika zake za mwisho alipotumia muda mwingi na huyu binti mbali na familia yake.

Cha ajabu nashangaa hawa watoto wakubwa mnasikia baba yenu anaumwa mnamuachia mwanamke ambaye hamna uhakika na malengo yake ya kuwa na baba yenu, ndio amuuguze,kwangu thats a big No.
Alikua anawaficha kuusu Mzee kuumwa nadhani kuna kitu alikua anafanya ili afe au alijua akitoa taarifa wangemuokoa, Hii ya Dubai ilimshinda financially halafu ni Ugenini ikabidi atoe taarifa

Hakuna ndugu wa mume aliekua analuusiwa kwenda kwenye ile nyumba ya kyln wakati mume yupo hai
 
Unajia kama mtu ana tamaa ni ana tamaa tu. Jacky kila kitu alikua anaganyiwa na still anafanyiwa. Services za magari, nyumba, lila kitu. Unataka nini tena zaidi kama si tamaa? Si angepaswa subiria tu mambo yatengamae?
Angetulia angekuja pata malipo mazuri sana sana.

On the other hand, kuna wanawake wana tamaa sana. Ndo ile mtu anaanza misuse resources. Mf. Jacky... kuifurahisha jamii na crew yako badala basi angalau hata kujiwekeza. Wapo wanandoa ambao wana biashara kwa pamoja na wanashirikiana vizuri sana. Na matunda tunayaona. Na ndo maana wanazidi kubarikiwa.

Na mabwana zake wanatumia magari hayo hayo
 
Nakubaliana na movement zako, mimi pia japo hayanihusu lakini niko upande wa watoto

Hata tukiacha mambo ya sheria, haiingii akilini watu wametafuta kwa miaka 40 atokee kibaka ajimilikishe

Anachonishangaza anaona ana haki kabisa
Mkuu.. ujue nimejaribu kufikiria juu ya hoja ya kukosa hofu ya Mungu. Hivi unadhani mtu akiwa na hofu ya Mungu kweli anaweza kufanya hivi? Ujue inahitaji roho ya kikatili sana? Ujue sisi ni wadhambi, siyo malaika. Lakini kuna matukio yanaogopesha sana. Mtu ukiwa na hofu ya Mungu sidhani kama unaweza fanya dhuluma hivi. Jamani... mume wangu hata awe bilionea vipi, yaan kama ni jasho lake wallah sitokaa niwahi jifikirisha ni sehemu ya mali zangu. Sitaki kabisa. Awape watoto wake. Nitahesabu kitu ni chetu endapo tu tutafanya mradi pamoja. Hilo tuu. Lakini hata tuwemo kwenye ndoa sishtuki haataaa... one day nilimweleza mama yangu, akiona anakaribia kufa awagawie wanaye wawili mali zake ama auze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au nitakua si mchagga ndugu yangu. Hapa tu ndo naposhushuliwa. Mali za watu ambazo sijazitolea jasho hazilegezi kabisa mshipa wangu wa wowowo... naamini hofu ya Mungu ndo kila kitu
 
Mahakama ilipaswa ijiulize kwa nini Marehemu aliamua kuandika wosia,

Marehemu alikuwa tayari amefanya utaratibu wake wa kugawa mali zake akiwa bado hai ndio maaana tumeona alisha mgawia mtalaka wake wa kwanza pamoja na watoto wake, vivo hivyo akafanya kwa mjane huyu kwa kuandika wosia. hivyo mahakama kwa kuto kuutambua wosia wa marehemu ni sawa na kumfanyia dhiahaka Marehemu....jambo ambalo sio sahihi,

wosia wa marehemu ni kitu cha heshima na cha kuheshimiwa sio cha kudharauliwa na kukidhihaki kama inavyo fanywa hivi sasa.
Mkuu, kuhusu mke mkubwa siyo kigawiwa. Ni kugawana maana wote walikua ni shareholders. Usifanye kama mengi amefanya hisani. Sawa mkuu? Na kama ni muislam naomba usiweke mambo ya kiimani hapa. Mke wa kwanza ndo mmiliki qa biashara kadhaa ikiwamo bonite. Share za mke mkubwa waliachiwa watoto wake regina na abdiel. East africa tv ilikua ya mutie. Mutie aliwaachia nduguze refina na abdiel. Pia katika kampuni refina na meenziye abdiel waliachiwa ya kwao wao kama wao kwakua wana jasho lao pale. Imebaki ngapi? Unawezaje sema huyo mtu alikua timamu endapo tu ninkwlei aliandika huo wosia? Kuna machimbo etc. Biashara za familia. Huyo kahaba anarithije mali za familia ten ukoo ukisema familia unakosea. Atalamba loloooo.... sasa tueleze mengi anawezaje mmilikisha hawara yake mali za wengine? Sisi tunatambua ndoa ni moja takatifu. Na kule kilimanjaro ndo kabisaaaa... acha kitetea malaya
 
Back
Top Bottom