Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Sisi tunaexpect ukishakua na wadhifa basi lazima ubehave kutokana na exposure. Siyo uact kiswahili. Pia mengi alijua sana migongano inayokuja lakini alikubali beba msalaba. Hili jambo linaonekana kwa ndugu zetu wachagga hawahawa na si mbali ndo maana ndo case zao twaziona. Mbona matajiri wengine hatuoni visa vyao?

Halafu kuna cha vicky kamata sasa hivi. Anataka dhulumu mali za watoto wa likwelile. Hivi wanaume ni vipofu ama tatuzo ni nn? Hizi ndoa za uzeeni kwa faida ya nani. Kama unahitaji penzi si muishie kuwa wapenzi tu? Halafu ni kuhangaika na mimama ya mjini tu

Vicky anavyojililisha insta [emoji23][emoji23]
 
Boss lady mentality ni ugonjwa wa kisaikolojia wanaojivisha mabinti wengi sana kizazi hiki. Wanahisi kuwa bilionea au milionea is a matter of ujanja ujanja na mbinu za kubahatisha.

Sasa mzee yule kahenyeka sana hadi kufikia pale alipofikia, kuwa na mali na cash in the bank. Kenyewe kameona hapa hapa ndio chance ya kuwa bilionea's wife ili afe nirithi mali niwe boss lady.

Niwe naamka asubuhi naitisha kikombe cha cappuccino au espresso au late yenye uwa la bata bukini. Naamka kutoka kitanda cha futi kumi kwa kumi, navaa robe ya 100% cotton fabric jet white in color yenye jina langu limeshonewa nakwenda kuoga kwenye hot bubble bath huku nimezungukwa na mishumaa ya perfume, nikitoka navaa designer clothes na pochi ya vasace au Gucci, naenda dining room kupata breakfast ya pancake, eggs, na orange juice kutoka South Africa.

Then natoka naenda kwenye parking lot na chagua nitoke na gari gani kati ya vogue, Mercedes, Mayweather, BMW, Ferrari au audi, kisha niende hadi kwenye my executive corner office at the top floor of a 50 stores skyscraper building closer to the city center on my ocean view side. My PA anipigie kuomba ruhusa ya kuja ofisini kwangu anipe ripoti ya kazi za jana na anisome ratiba ya shughuli na appointment za leo na anionyeshe documents za kusign ili kuruhusu mambo yaendelee. Then luch hours nitakwenda kula zanzibar na client so i will take a private plane. Then jioni nitarudi haraka City center kwaajiri ya appointment ya massage. Weekend me and my girls tunaenda Dubai for shopping.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi ndio vibinti vya siku hizi vinaota mchana kweupe. Sasa vikija kukwama na kujua kumbe life sio Ganda la ndizi kihivyo, utaona wanaruka na babu zao ili wawakill warithi japo utajiri wa nyumba na magari.

So pathetic......

Dream on girl... Dream on......

Hivi siku hizi anasafiri sana kama zamani?
 
Uamuzi we marehemu uheshimiwe, ndio alivyotaka, si mali yake? Huyo kaka/mdogo yake walichuma wote? Mbona yeye hana utajiri kama wa nduguye?
Aiseer. Weee nayeee... mali zake peke yake? Unaijua historia vizuri ya marehem na mkewe Mercy Shangali mjukuu wa mangi wewe? Ama wapaparika tu. Huoni hapo mali zingine zilikua za mke mkubwa? Kama hujuagi vitu tulia ufunzwe sheria japi kidogo. Mali za marehem mercy zinakuaje za mengi? Wosia wa marehem? Una kichaa kweli wewe. Ule unaamini ni wosia wa marehemu ule?
 
Wanaume atupendi kuoa wanawake wengine sema vurugu za mwanamke akijiona yupo pekee yake ni pasua kichwa japo kuoa mwingine ni pasua kichwa zaidi.Wa kwanza hawezi kukua sababu ya mali wa pili chance ni 80% sababu kafata mali akuondoe ale na vi ben 10.
 
Kwann?! Wale ni sehemu ya familia ya mengi why wasipate.
Kaka mtu amesema ukisoma katika hiyo hukumu, anataka awaandae hao watoto ili waje kuendeleza mali ya familia kwa miaka 50 hadi 60 mbele.
 
Sema Mlyambina J anasoma Sana na ndio Maana ameenda deep mno Kwenye Hii decision yake, aliwahi kusema Kwenye mojawapo ya Hukumu zake Kwamba "hakuna Mtoto haramu Ila Kuna baba haramu" maana mtt Hajui anazaliwa Wapi na Nani anaesababisha azaliwe na Katika mazingira Yapi
Mwishoni kwenye hukumu ametoa shule sana, yupo vizuri.
 
Back
Top Bottom