Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Shida niniMkuu mimi ilikua nusu nusu nijitie kitanzi kwa pazia aiseee
Mkuu nilikua na kipengele fulani hivi nikaona haya maisha sina thamni aiseeShida nini
Duh! nani alikunusuru?Sijui ni wazo gani lilinikuta mkuu...
Yaani unajikuta tayar kitu kipo shingoni
Mkuu mambo yalikua magumu sana....Kwanini mkuu ?
Ulikua na umri gani kipindi hiko? Ulikua na watu wanaokutegemea?Mkuu mambo yalikua magumu sana....
Yaani wee acha nilikua anaona kupumzika ni kufa tuu sina option nyingine...
Jirani tuu..Duh! nani alikunusuru?
😂😂😂makofiJirani tuu..
Siku hiyo nilichezea makofi sana mkuu...
Jina lako halisi huwenda watu karibu yako waliomo humu wangekufahamu na wangezungumza nawe pengine ungepata wepesi katika magumu unayopitiaWapendwa,
Ninajua kwamba maneno haya yanaweza kuwa magumu kusoma, lakini naomba myakubali kama sehemu ya safari yangu. Nimejaribu kwa muda mrefu kupambana na mawimbi ya huzuni na maumivu ambayo yamekuwa yakinizonga. Nimepata wakati mgumu sana kuelezea hisia zangu, na hata sasa, si rahisi.
Nawapenda nyote kwa dhati, na ninaomba msichukulie hatua yangu kama ishara ya udhaifu au kutojali. Ni ngumu kuelezea jinsi gani nimejaribu, lakini naomba mjue kuwa ninyi nyote mmekuwa nuru katika giza langu. Nimekuwa na matumaini kuwa siku moja mambo yatakuwa bora, lakini nimefikia mwisho wa nguvu zangu.
Nawashukuru kwa upendo, msaada, na furaha mlizonipa. Tafadhali kumbukeni nyakati nzuri na msimamo wangu wa mapenzi kwenu. Nawaomba msihisi lawama yoyote, kwa sababu hamna kosa. Maumivu yangu yamekuwa mzigo wangu wa kibinafsi, na nimefanya maamuzi haya baada ya kufikiria sana.
Mods na members wote muwe na amani, na mnaweza kujua kwamba sasa nimepata utulivu huko ninakokwenda.
Kwa upendo wa milele,
-February Marope.
Mkuu mambo yalikua magumu sana....
Yaani wee acha nilikua anaona kupumzika ni kufa tuu sina option nyingine...
Hii ni depression unaona Dunia na ulimwengu umekukataa ilishanipata, sitasahauKiongozi hata mimi nishawahi kupitia Kama wewe na kuwaza ulichowaza,wewe japo me nilipendelea kitanzi
Ila swali niliojiuliza...je kujiua ndio itakuwa suluhisho ya niliyoyapitia,na je nafsi yangu baada ya kujiua ndiyo itakua na amani
Maswali yote nikaona ni hapana,nikaamua kutafuta msaada wa kujinasua kutoka kwa watu wangu wa karibu wenye upendo na mimi
Ninachokuomba ongea na mtu wa karibu na Kama ukikosa kubali kuongea hata na member wa jf walio tayari kuja dm kwaajili ya kukusaidia
Usifanye Hivyo kiongozi
Mkuu ni juzi juzi tu hapo...Ulikua na umri gani kipindi hiko? Ulikua na watu wanaokutegemea?
Yaaha alhamdullilaah mambo yalikaa sawa ...😂😂😂makofi
Vp lkn mambo yakikuja kukaaa sawa?
Ndio zipi hizo phase mkuu.....?Ukiogopa kuteseka ndo MTU huwa unateseka Sana .
MTU unabidi kuwa tayari kuteseka na sio kuogopa kuteseka.
Hii hali ndo inawatesa watu wengi Sana na kutamani kujiua -watu wanaogopa kuteseka.
In life kuna three phase