Wote waliomtukana Shaffih Dauda kuhusu suala la Mo wamuombe radhi haraka sana

Naomba uweke pia imetumia kiasi gani usijekuta hela hizo zimeishatumika kugharamia timu pia.
Kama faida simba Wamepata musimu huu ila faida imetokana na viingilio vya uwanjani mechi za kimataifa pamoja na mgao kutoka CAF ila ligi ya ndani wote tulio baki tupo hoi taabani.
 
.... mpaka dk hii taarifa ile bado imesimama wima mno! hakuna uongo wala uzushi wowote ule .
Taarifa yake ilisema muda mfupi ujao, mwekezaji wa Simba atatangaza kujiondoa. Wewe unasema taarifa ile imesimama wima, sijui wima upi wakati bado tunaendelea kusubiri huo muda mfupi utimie pale mwekezaji atakapotangaza kujiengua. Kwa kuwa bado hajatangaza kujiengua, taarifa ya Shaffih bado haijasimama, ila tunaiheshimu kwani hakusema huo 'muda mfupi' ni dakika, saa, siku, miezi au miaka mingapi. Bado tunasubiri Mo ajiengue, ndipo tutampongeza na kumuomba radhi Shaffih
 
Duh mbumbumbu fc, kwahiyo hayo mafanikio hayana uhusiano na uwekezaji uliofanywa?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜
 
Nipe mchanganuo wa hizo 450+ milion nami nitakupa mchanganuo wa Bilion 5.

Kwenye michezo na burudani my frendo umekwama hivi navijua kiajabu sana huwezi nishinda hata kidogo
 
Simba njaa hiyoooo mlangoni kwenu kudadadeki. Mlitamna sana na pesa ya MTU, sasa ameamua kusepa zake. Usitukane Mamba kabla ya kuvuka MTO
 
Eti eeee. Sasa mbona sauti ya ng'ombe (Mo) kazi yake kulia lia mitandaoni.
Ameshauriwa afanye hivyo wanachama na mashabiki wote wajue chanzo cha tatizo ili iwe rahisi kumshughulikia mwenyekiti mamluki

Lakini naona kama Yanga mmeuvalia njuga sana mgogoro huu, halafu wala haujafikia stage ya kuitwa mgogoro ni tofauti ya maoni tu
 
Ameshauriwa afanye hivyo wanachama na mashabiki wote wajue chanzo cha tatizo ili iwe rahisi kumshughulikia mwenyekiti mamluki
Ya kweli hayo Ses yaani ni sawa na jambo litokee chumbani kisha muache kuyamalizia huko chumbani halafu muyatoe nje ili watu wa nje wajue. Mmh. Hamuoni kama ndio kuchochea.

lakini naona kama Yanga mmeuvalia njuga sana mgogoro huu, halafu wala haujafikia stage ya kuitwa mgogoro ni tofauti ya maoni tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kama mlivyovalia njuga ishu ya bakuli. πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

Hivyo mtuvumilie tu.
 
Hahahaaaa Yanga bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…