Kama faida simba Wamepata musimu huu ila faida imetokana na viingilio vya uwanjani mechi za kimataifa pamoja na mgao kutoka CAF ila ligi ya ndani wote tulio baki tupo hoi taabani.Naomba uweke pia imetumia kiasi gani usijekuta hela hizo zimeishatumika kugharamia timu pia.
Taarifa yake ilisema muda mfupi ujao, mwekezaji wa Simba atatangaza kujiondoa. Wewe unasema taarifa ile imesimama wima, sijui wima upi wakati bado tunaendelea kusubiri huo muda mfupi utimie pale mwekezaji atakapotangaza kujiengua. Kwa kuwa bado hajatangaza kujiengua, taarifa ya Shaffih bado haijasimama, ila tunaiheshimu kwani hakusema huo 'muda mfupi' ni dakika, saa, siku, miezi au miaka mingapi. Bado tunasubiri Mo ajiengue, ndipo tutampongeza na kumuomba radhi Shaffih.... mpaka dk hii taarifa ile bado imesimama wima mno! hakuna uongo wala uzushi wowote ule .
Duh mbumbumbu fc, kwahiyo hayo mafanikio hayana uhusiano na uwekezaji uliofanywa?Wewe huelewagi ndio maana nakukosoaga kila pahala kuanzia kwenye matamthilia yako hadi kwenye uzi wq AFCON.
Simba sports msimu uliopita kwenye mashindano yote imekusanya Billion 5.
Mechi karibu zote zilizohusisha Simba ukiachilia alizocheza uhuru na timu za daraja la kati ndizo hazikuwa na mashabiki wengi zingine zote ziliingiza million 300+ .
Note. Hizi fedha zilikuwa zikinufaisha sana timu za ugenini kutokana sheria mpya za TFF.
Sasa nitajie timu iliyoingiza hata 2 billion msimu uliopita
πππππNao wakapiga kelele, wakaziba masiko yao wasitake kusikia alichokisema yule farisayo aliye mwandishi hata saa ilipofika nayo kweli ikachomoza kama miale ya nuru ichomozayo magharibi, ndipo mbumbumbu wote wakapoteana.
Kiromoni 3:9
Na hili ndilo neno la usiku huu
Bwana awe naaaaaaaanyiiiii
Mbumbumbu fc ndio timu gani kabla sijakujeruhi?Duh mbumbumbu fc, kwahiyo hayo mafanikio hayana uhusiano na uwekezaji uliofanywa?
Nipe mchanganuo wa hizo 450+ milion nami nitakupa mchanganuo wa Bilion 5.Mimi wala sina tatizo nawewe ila kama umesoma komenti yangu nimesa ukiondoa mapato ya club bigwa barani Afrika simba imekusanya milioni 450+. Pia mambo ya tamthilia achana nayo maana mm pengine ni mutu pekee naye fatilia mambo yote duniani kiasi Kwamba akuna sehemu yoyote unaweza nidanganya kuanzia siasa za ndani,nje, uchumi, michezo na burudani mpaka Utamaduni. Sehemu pekee utaniacha njia panda ni ulonzi full stop.
Tujifariji wapi wakati timu imegawanyika huko. π πEndeleen kujifariji
Tutayamliza tu muda si mrefuWanasemaga kuimba kupokezana na hii ni zamu yao.
Eti eeee. Sasa mbona sauti ya ng'ombe (Mo) kazi yake kulia lia mitandaoni.Tutayamliza tu muda si mrefu
Ameshauriwa afanye hivyo wanachama na mashabiki wote wajue chanzo cha tatizo ili iwe rahisi kumshughulikia mwenyekiti mamlukiEti eeee. Sasa mbona sauti ya ng'ombe (Mo) kazi yake kulia lia mitandaoni.
Ya kweli hayo Ses yaani ni sawa na jambo litokee chumbani kisha muache kuyamalizia huko chumbani halafu muyatoe nje ili watu wa nje wajue. Mmh. Hamuoni kama ndio kuchochea.Ameshauriwa afanye hivyo wanachama na mashabiki wote wajue chanzo cha tatizo ili iwe rahisi kumshughulikia mwenyekiti mamluki
πππ kama mlivyovalia njuga ishu ya bakuli. ππππlakini naona kama Yanga mmeuvalia njuga sana mgogoro huu, halafu wala haujafikia stage ya kuitwa mgogoro ni tofauti ya maoni tu
Hahahaaaa Yanga banaYa kweli hayo Ses yaani ni sawa na jambo litokee chumbani kisha muache kuyamalizia huko chumbani halafu muyatoe nje ili watu wa nje wajue. Mmh. Hamuoni kama ndio kuchochea.
πππ kama mlivyovalia njuga ishu ya bakuli. ππππ
Hivyo mtuvumilie tu.
"Daima mbele nyuma mwiko"Hahahaaaa Yanga bana
Katika vitu vyoote vya Yanga mimi nakubaliana sana na hii Kauli Mbiu yenu..... Nyuma nini vile?πππ"Daima mbele nyuma mwiko"
Hahahaaa. LolKatika vitu vyoote vya Yanga mimi nakubaliana sana na hii Kauli Mbiu yenu..... Nyuma nini vile?πππ