Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
Mkuu mshana ,
Nataka nianze rasmi kujifunza meditation,
But
Nilipata shida kidogo kuchagua kitabu cha kuanzia,
Je kitabu gani kinafaa kwa kuanzia?
 
Dah mkuu,
Ngoja tupige story kidogo,

Kuna hivi vitabu viwili,
THE SECRET by Rhonda Brayne
BE EXTRA ORDINARY by Robin Sharma,
Je umewahi kuvisoma?
Mmh title nazikumbuka
 
Mkuu mshana ,
Nataka nianze rasmi kujifunza meditation,
But
Nilipata shida kidogo kuchagua kitabu cha kuanzia,
Je kitabu gani kinafaa kwa kuanzia?
Ngoja kimeo inakata moto na umeme umezingua takujibu
 
Upweke...tunapumzika baada ya kurarua via vya uzazi vya shemeji yako.saa hizi yuko sebuleni huko wanajikanda na mabarafu
 
Hapana tunatafakari kauli jii ya bwana Waziri Mkuu

[HASHTAG]#AmplifayaUPDATES[/HASHTAG] 'Tumepata mitambo hiyo hata ukiwa na dawa za kulevya nyumbani, tukipita nje inatuonyesha nyumba hii ina mzigo'-WAZIRI MKUU
 
Hapana tunatafakari kauli jii ya bwana Waziri Mkuu

[HASHTAG]#AmplifayaUPDATES[/HASHTAG] 'Tumepata mitambo hiyo hata ukiwa na dawa za kulevya nyumbani, tukipita nje inatuonyesha nyumba hii ina mzigo'-WAZIRI MKUU
Hizi ni kauli za usiku mwingi
 
Nawe ukiwa mmojawapo,sabab haiwezekani ukaamua kuandika uzi usiku usiku
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Back
Top Bottom