WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,350
Asenal wenga alisema messi amezaliwa mapema hakuwa Wa kizazi hikiMessi ndio nani?
Samweli eto alisema messi akistafu atakuwa kwenye kumbukumbu zaidi ya miaka hamsini ijayoMesi ni muujiza
Huu ni ukweli mchungu.
Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani, lkn Messi ni kiumbe ambaye amewahi kuugusa mpira kwa nanma ambayo hakuna kiumbe chochote duniani kinachoweza kufikia japo robo ya umahiri wake. Itamchukua Mungu miaka mingi sana kumuumba Messi mwingine.
Huu ni ukweli mchungu.
Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani, lkn Messi ni kiumbe ambaye amewahi kuugusa mpira kwa nanma ambayo hakuna kiumbe chochote duniani kinachoweza kufikia japo robo ya umahiri wake. Itamchukua Mungu miaka mingi sana kumuumba Messi mwingine.
Ulimwengu Wa soka unamtambuaZinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.
Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Nakubaliana na wewe 100%, Ronaldo ni mfungaji bora sio mchezaji bora hapo ndio tunajichanganya sana. hizi awards ni siasa za kibiashara tu hawa kina Adidas, Nike na Puma wanacheza big role kujuwa nani anauza sana biashara. kama wakati wa Scholes na Beckham sio kwamba Beckham alimzidi Scholes lakini siku zote ni Beckham sababu anauza, maajabu ya dunia eti Xavi wa Barca enzi zake hajawahi kuwa mchezaji bora wakati jamaa alikuwa fundi mkubwa.Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.
Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.
Nawasilisha.
Umetumia hasiara kujibu poleMUNGU wako wewe!
Kwa kupewa sawa lkn haimfikishi uwezo Wa messiMkuu Gentamycine nini kimekusibu???
Zamani ulikua unakuja na post zenye facts na point tupu ila siku hizi unapost mataputapu kila kukicha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,heshima yako inashuka kwa kasi kama uchumi wa TZ.
Kumpenda kwako Messi hakumfanyi CR7 kutokua bora.
Jiandae kisaikolojia kumuona CR7 kama ballon dor winner kwa mwaka huu!
Tumepewa zawadi kutoka kwa KyalaAiseee.. Sasa kwanini asiende huko kwao sayarini..!?
Kama ambavyo tulishaana na we mdaMlevi wa mataputapu huyo achana naye
Kweli kabisa anafanya yote hayo ili kumfikia messiCR7 is a complete player. Anatumia miguu yote miwili kwa umahili mkubwa, ana kasi, anafunga magoli ya vichwa, penalty, adhabu ndogo na ana uchu wa ushindi. Sifa hizi Messi pia anazo ila ana upungufu mmoja hawezi kutumia mguu wa kuume kwa umahili.
Kwa roho mbaya ya Ronald hawezi pasi kwenye penatNyie mnaosema Ronaldo sawa,,mkali sanaaa ila messi ni mkali zaid ya snaaaa maana anafunga mpaka kwenye penati anatoa pasi,,ronaldo anaweza hilo
Tutumie pia mechi zao wenyewe Barcelona na real Madrid huwa kina kinatokeaAcha basi wivu wa dizaini hiyo, Messi na MSN yake waliudanganya ulimwengu kuwa ukuta wa juventus haufungiki wala kupitika na katika mechi mbili walishindwa kufunga goli lolote lakini Ronaldo amewaprove wrong katika mechi moja kawatungua Mara mbili
Wewe umeshazibuliwa makalio unabaki kulia lia tu. Nesi wenu na nyie mko na stress.Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.
Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Ni ndg yake na Daudi albaet bashiteAta wewe ni mshamba pia tena kutoka kolomije misungwi chobingo