Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

09ff8675fe929a6fb9b4542a03d05547.jpg

Ronaldo hatari wewee! Lakini Messi ni noma.
 
Kuna nguli mmoja mchambuzi alisema kama wangeweza ilikuwa ronadol azaliwe kipindi cha kina figo
Beckam
Nedeved
Kuzaliwa kipindi cha messi hawezi kuonekana kwa sbab messi anafiti kila eneo
Huu ni ukweli mchungu.

Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani, lkn Messi ni kiumbe ambaye amewahi kuugusa mpira kwa nanma ambayo hakuna kiumbe chochote duniani kinachoweza kufikia japo robo ya umahiri wake. Itamchukua Mungu miaka mingi sana kumuumba Messi mwingine.

Huu ni ukweli mchungu.

Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani, lkn Messi ni kiumbe ambaye amewahi kuugusa mpira kwa nanma ambayo hakuna kiumbe chochote duniani kinachoweza kufikia japo robo ya umahiri wake. Itamchukua Mungu miaka mingi sana kumuumba Messi mwingine.
 
Hao ni miungu wa mpira huu wa kisasa....

Ronaldo ni "mfumania nyavu" mzuri kuliko messi...

Messi ni "mchezea mpira" mzuri kuliko ronaldo ....
 
Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.

Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Ulimwengu Wa soka unamtambua
Pelle
Maradona

Na huwa hao ndio wanapigiwa chapuo LA kufananishwa na messi lkn sijaona kwa wajuvi Wa soka wakamfananisha Ronald na hao pipo wawili
 
Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.

Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.

Nawasilisha.
Nakubaliana na wewe 100%, Ronaldo ni mfungaji bora sio mchezaji bora hapo ndio tunajichanganya sana. hizi awards ni siasa za kibiashara tu hawa kina Adidas, Nike na Puma wanacheza big role kujuwa nani anauza sana biashara. kama wakati wa Scholes na Beckham sio kwamba Beckham alimzidi Scholes lakini siku zote ni Beckham sababu anauza, maajabu ya dunia eti Xavi wa Barca enzi zake hajawahi kuwa mchezaji bora wakati jamaa alikuwa fundi mkubwa.
 
Mkuu Gentamycine nini kimekusibu???
Zamani ulikua unakuja na post zenye facts na point tupu ila siku hizi unapost mataputapu kila kukicha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,heshima yako inashuka kwa kasi kama uchumi wa TZ.

Kumpenda kwako Messi hakumfanyi CR7 kutokua bora.

Jiandae kisaikolojia kumuona CR7 kama ballon dor winner kwa mwaka huu!
Kwa kupewa sawa lkn haimfikishi uwezo Wa messi
 
CR7 is a complete player. Anatumia miguu yote miwili kwa umahili mkubwa, ana kasi, anafunga magoli ya vichwa, penalty, adhabu ndogo na ana uchu wa ushindi. Sifa hizi Messi pia anazo ila ana upungufu mmoja hawezi kutumia mguu wa kuume kwa umahili.
Kweli kabisa anafanya yote hayo ili kumfikia messi
 
Nyie mnaosema Ronaldo sawa,,mkali sanaaa ila messi ni mkali zaid ya snaaaa maana anafunga mpaka kwenye penati anatoa pasi,,ronaldo anaweza hilo
Kwa roho mbaya ya Ronald hawezi pasi kwenye penat
 
Acha basi wivu wa dizaini hiyo, Messi na MSN yake waliudanganya ulimwengu kuwa ukuta wa juventus haufungiki wala kupitika na katika mechi mbili walishindwa kufunga goli lolote lakini Ronaldo amewaprove wrong katika mechi moja kawatungua Mara mbili
Tutumie pia mechi zao wenyewe Barcelona na real Madrid huwa kina kinatokea
 
Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.

Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Wewe umeshazibuliwa makalio unabaki kulia lia tu. Nesi wenu na nyie mko na stress.
 
Back
Top Bottom