Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Ronaldo huyu mwenye kashifa ya ushoga unamfananisha na mwaume rijali kazi kweli kweli
 
Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.

Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
hii hadith yako kawapigie barcelona wenzio ndo watakuelewa
 
Tunachohitaji ni kuona mchezaji mwenye kuleta matokeo. Najua Messi anaujua mpira hilo halina ubishi lakini, kaleta mafanikio ya mataji kwa muda huu tunaoongea na hata kwa timu ya taifa lake ameletachango mkubwa?
 
RONALDO: The numbers don’t lie

Ronaldo-scores-again.jpg

DBcCrNzXsAIOx7w.jpg

“I think people don’t have words to criticise, because the numbers don’t lie,” he told reporters after receiving the man-of-the-match award from his former Manchester United mentor Alex Ferguson.
 
Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.

Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.

Nawasilisha.
Roho inakuuma eeh, pole sana. Tafuta tu limao ulambe labda utapata nafuu. Ila kaa ukijua for next 2 to 3yrs uwe na malimao ya kutosha!
Nakubaliana na wewe makocha, waandishi wa habari na national team captains waliompa ballon d'or mara 4 ni washamba na mapopoma.
 
Kwan wewe ukiamni katika messi na sie tukaamin kwa ronaldo kuna ubaya ?
Tatizo sio ubaya hapa anazungumzia uhalisia, huwezi kujitoa fahamu
ukasema dagaa kauzu ni watamu kuliko nyama ya kuku wa kieyeji
lazima tutakupinga ingawa inawezekana kabisa huenda ni tatizo la ulimi
wako kutofautiana na ndimi za wengine katika kutambua ladha.
 
Unaumia sana ukisikia habari za CR7. Bado August kuna mechi/vikombe vya kujazia jazia. Utaendelea kuumia zaidi na zaidi. Dah
Kweli kijana ataumia sana tu! Messi ameufanyia nini taifa lake.?
 
Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.

Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.

Nawasilisha.
Waweza kuwa humpendi Ronaldo lakini lazima ukubali kile anachokifanya.Hakimbii sana kama zamani,amejikita kwenye kufunga magoli tu kwa sasa lakini ndo amekuwa bora zaidi.
 
Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.

Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Hii roho haikuumizi mkuu maana ni ngum kuwa nayo i mean baada ya kuandika hukucheka kweli?
 
Ronaldo ni mchezaji hatari na mzuri sana ila Messi sio wa sayari hii.
Mbona kakubali kulipwa hela za sayari hii na ana kesi kwenye sayari hii na kafungwa kwenye sayari hii Mesi yuko poa sana ila Ronaldo yuko poa sana
 
Mkuu Gentamycine nini kimekusibu???
Zamani ulikua unakuja na post zenye facts na point tupu ila siku hizi unapost mataputapu kila kukicha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,heshima yako inashuka kwa kasi kama uchumi wa TZ.

Kumpenda kwako Messi hakumfanyi CR7 kutokua bora.

Jiandae kisaikolojia kumuona CR7 kama ballon dor winner kwa mwaka huu!
Itakuwa hayuko ofisi aliyokuwa si unajua maisha ila sema hata uandishi wake umebdilika sana ni kama kauza acount yake
 
Ukitaka kujua ukweli wa messi na ki-ronaldo karudie kuitazama El classico waliopigwa palepale kwao Bernabeu
@ki-ronaldo ni bora lakini messi ni bora zaidi sijui unanielewa mtoa post
Maisha yanaenda mbele mkuu hatuwezi kurudi nyuma tena
 
CR7 is a complete player. Anatumia miguu yote miwili kwa umahili mkubwa, ana kasi, anafunga magoli ya vichwa, penalty, adhabu ndogo na ana uchu wa ushindi. Sifa hizi Messi pia anazo ila ana upungufu mmoja hawezi kutumia mguu wa kuume kwa umahili.


Unaambiwa ivi. messi hana mfano wake katika players waliopita na wa sasa na wajao. Nahitimisha
 
Unaambiwa ivi. messi hana mfano wake katika players waliopita na wa sasa na wajao. Nahitimisha


We kumbe ni wa ajabu kweli, unajua vizuri players waliopita au unasema tu. Kuna wachezaji wengi tu waliopita wamemzidi huyo Messi. Mtu hata kombe la Dunia hajawahi beba, halafu utamweka kundi moja na Pele, Maradona, del Pierro, Ronaldo de Lima na wengineo?
 
Mbona kakubali kulipwa hela za sayari hii na ana kesi kwenye sayari hii na kafungwa kwenye sayari hii Mesi yuko poa sana ila Ronaldo yuko poa sana

Kwani Yesu alikuwa wa sayari hii? [emoji3] Mbona alichonga fanicha za sayari hii, akala msosi wa sayari hii na mwisho wayahudi wa sayari hii wakamtandika fimbo za sayari hii.. Wakamchoma mikuki ya sayari hii.. Ee? [emoji3]
 
..Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia

Sometimes mapenzi ya ushabiki kwa flani na chuki kwa mwingine zinaweza kututia upofu wa mawazo. Hata kama humpendi Ronaldo na kiwango chake hukikubali, hiki ulichoandika si sawa na ni ndoto tu za alinacha.

Ronaldo ni machine ya tofauti sana kaka na imeshakuwa proven at-least at two different clubs na hata National team huwa anaibeba. Yule bwana mwingine yeye huenda waliomzunguka ndo wanaomuinua kwa kiasi kikubwa. Ukimchanganya na mediocre players huenda usimuone kabisa.
 
Back
Top Bottom