Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,949
Me probablyOh For petes' sake ...et we unahisi jina la Mcqueen ñi ke au me
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me probablyOh For petes' sake ...et we unahisi jina la Mcqueen ñi ke au me
Tanganyika must be a popular name, you are a second person I have heard this from
Come one how about biggest cities out there in the world?
Are you not tempted by the names: Victoria, Chelsea, Jordan, Sydney, Berlin, Vegas, Asia, Georgia, Sierra, Miami, Vienna, Eden?
Napenda Arusha naweza ligeuza herufi likawa Ashura na likaleta mantiki.Namjua Hashim Rungwe anadai aliibiwa kura, yule mzee mzushi sana sera zake alitaka kumwagilia mashamba ka kutumia ndege aisee
Namkubali sana Tx Moshi nadhani kwa sautiatabaki kuwa msanii wa kipekee. Msondo nakikubali sana kibao cha CHUMA na BINTI MARINGO
Huyo jamaa Malima ambaye mkuu wa mkoa, mwanae nilisoma nae chuo, alikuwa anamwita baba mdogo na nadhani alikuwa anaishi nae
Wewe umependa jina lipi kutokana na mikoa ya kitanzania?
Ooh goodYea majna yanayoanza na Mc ni ya kiume bana kama mcdonald
But hii nlichkua jna la famous designer wa shoes Alexander McQueen.
And now Nairobi could be dead, hawa jamaa wanaua all my favorite characters.I remember Denver and Tokyo two of my favorites in Money Heist
Berlin is dead my friend forget him
Napenda tu yanavo sound japo pia sidhani kama yanaweza kuwa na maana mbaya kwa nature ya watu wa bara.. Kule visiwani ndo utakumbana na Mchamba wima, Kibanda maiti nk.. Em imagine mwanao unamuita Kibanda maiti😀😆Mwana umechagua majina mazuri, ila hili Njiro nimelipenda
Unaweza kunambia kwa nini umechagua hayo majina?
We've got a lot of ASIAs in Tanzania but it's been read 'asia' as it is and not otherwise
Napenda tu yanavo sound japo pia sidhani kama yanaweza kuwa na maana mbaya kwa nature ya watu wa bara.. Kule visiwani ndo utakumbana na Mchamba wima, Kibanda maiti nk.. Em imagine mwanao unamuita Kibanda maiti😀😆
Yes. I can name her or him Egypt meaning one who has knowledge.
Also I can name her " Kinshasa" or " Arusha".
If I get twins I can name them " Qatar and Bahrain"
Hilo ni unisex. Ke ama Me.Hahah unataka umwite mwanao Dom
Sasa hilo jina utawapa Ke au Me?