Would you consider naming your kids after a place?

Would you consider naming your kids after a place?

Sure, why not?!

Sydney, Cologne, Sucre, Vitoria, Medellin, Walvis, Blantyre, Naivasha, Mendoza, Mar del Plata, Concepcion, Ica, Bursa, Idlib, Melbourne, Brisbane, Astana, Seoul, Seville.

Those are very lovely name, which are for boys and which are for girls. Are they unisex names?
 
Umenikumbusha Berlin na Naiirobi, two of my favorite actors kwenye netflix series ya Money Heist.

I remember Denver and Tokyo two of my favorites in Money Heist

Berlin is dead my friend forget him
 
Sio mwenyeji wa Arusha ila mwanangu wa kike ntamuita Sanawari au Njiro
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa sikuiona hii,, kwahiyo kwa sababu wewe jina lako ni Buza basi ndiyo unataka unipe na mimi mwanao jina baya kama lako..
Oooh!!

Mwanangu Karma nataka nimuite Mabwepande.

Karma
 
When I was a kid I had friends named Cancuna, Syria and another Caanan all of them girls. Syria is a lecturer now I don't know where the other two are. Caanan had a brother called Dallas...I also have a cousin brother named Canada...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa sikuiona hii,, kwahiyo kwa sababu wewe jina lako ni Buza basi ndiyo unataka unipe na mimi mwanao jina baya kama lako..

Karma
We jina liko romantic kabisa hilo.
 
Japan kuna mji unaitwa Kumamoto.

Indonesia kuna sehemu inaitwa Surabaya.

Imagine naming someone those names.

Sent using Jamii Forums mobile app

In Japan or Indonesia those names must have different meaning

It is wisely to check the meaning of a name before you give it to a child
 
Takauchi ni majina ya kijapani au watu wanazingua tu aisee kuna majina mengine unatakiwa ujue maana yake kwanza
Naam ni jina la Kijapani nililisikia kipindi kombe la dunia lilipochezewa Korea/Japan.
 
We jina liko romantic kabisa hilo.

Hhaha akiwa mtoto wa kike ukimwita buza atakuwa mtu wa vigodoro sana kwa kweli,
Akiwa wa kiume ukimwita buz atakuwa wale wana wa vitaa wasio na kazi maalumu

Mtu anayeitwa buza unaweza kumzania ni usalama wa taifa maana anakuwa yupo yupo tu
 
Back
Top Bottom