1.kama umeshikwa redhanded,huna budi kusema kuwa umecheat, maana utakuwa unakataa nini????
2.pia kama umeamua mpenzio akuache huu ni mlango mzuri wa kutokea.
3.hata hivyo inategemea na tabia,na mapenzi aliyonayo mpenzi wako,usipo asses vizuri tabia yake waweza jutia maisha yako yote kwanini ulikiri kucheat.
4.kwa mujibu wa ndoa za kikristo,hapo utakuwa umeiandika taraka mwenyewe kwa kukiri kwako.
2.pia kama umeamua mpenzio akuache huu ni mlango mzuri wa kutokea.
3.hata hivyo inategemea na tabia,na mapenzi aliyonayo mpenzi wako,usipo asses vizuri tabia yake waweza jutia maisha yako yote kwanini ulikiri kucheat.
4.kwa mujibu wa ndoa za kikristo,hapo utakuwa umeiandika taraka mwenyewe kwa kukiri kwako.