Umeona eh?
Tunajua hilo thats why tunacheat kwa uangalifu mkubwa kuhakikisha hamjui ili tusiwaumizie mioyo yenu. Janaume linalocheat mbele ya mkewe si janaume bali livulana.........Na kwa magonjwa ya siku hizi, tunacheat kwa uangalifu bana.....nani anapenda kufa mapema wakati bia zinazidi kuboreshwa na kuwa tamu zaidi?
Ahsante mjukuu!
Basi acheni kwenda kufungishwa ndoa kanisani mfunge za jadi ili ijulikane kabisa mnaedeleza utamaduni!!!NAUMWA NATAMANI NIWAAMBUKIZR WOTEMNAOSAPOTI INFI HAPA!!
enhe,,,,inauma ipi sasa BJ....kusema au kutokusema...
Basi acheni kwenda kufungishwa ndoa kanisani mfunge za jadi ili ijulikane kabisa mnaedeleza utamaduni!!!NAUMWA NATAMANI NIWAAMBUKIZR WOTEMNAOSAPOTI INFI HAPA!!
Be blessed Afroie darling!
Babu loves you mpaka anaona aibu.
Uwe na weekend tamu kuliko zote.............Orayt...........: Dont Drink While Driving..........Play Safe Sex!
Nilikudhani dhahabu kumbe adhabu!..lolInabidi ujiwazie kinafsi na wewe, je unapenda kuambiwa au laa?!..kitu usichokijua hakikuumizi kichwa kabisa, hilo ndiyo ninaloamini.
Mpaka uachane na hiyo kilabu yenu ya wasaliti ndo ntaridhika....Duh! Umekuja tena...........ngoja nisepe!
Hivi kumbe mtu mzima hakatazwi kitu ehhh?!Ngoja mtu anikataze kitu kama sijamrefer kwako umwambie mi ni mtu mzima wala asihangaike kunikataza!!!Chips n fish bana mbona sijala tangu niko mdogo?!Haya naja..ila nimekumiss kama unaweza kuja pale kona tunapokutanaga siku zote njoo nikwambie kitu....duuhhh Lizzy Hakuna anaye support ila kuwa kataza ni kitu ambacho hatuwezi hawa ni watu wazima na hizi ni choice walizofanya maishani..Karibu fish and chipskabla hujaanza kunichambahahahahah lol
Twende ukanywe Sofiero na Pripps BlaMpaka uachane na hiyo kilabu yenu ya wasaliti ndo ntaridhika....
Ndo kina nani hao?!W/Kati primary school walinikataa ujue!!!Twende ukanywe Sofiero na Pripps Bla
Ahaaa ahaaa umenikumbusha Braubern A TownNdo kina nani hao?!W/Kati primary school walinikataa ujue!!!
Bandugum
Poleni na maumivu ya bajeti, hasa kwa siye wanywaji...:A S embarassed:
yangu ni mafupi tu
Kama umecheat kwenye relationship, unaweza kuwa na guts za kumwambia mwenzio kwamba nimecheat? Hii nimeisikia kwen East Africa Redio asubuhi hii, and I thought lets share it
Kweli unaweza kumwambia mwenzio kuwa nimedo ze nidiful sehem sehem ama utajikausha
Niharakishe kuseam kuwa katiba yetu ya ISC inasimama pale pale vigezo na masharti kuzingatiwa
Good Friday!
Hivi kumbe mtu mzima hakatazwi kitu ehhh?!Ngoja mtu anikataze kitu kama sijamrefer kwako umwambie mi ni mtu mzima wala asihangaike kunikataza!!!Chips n fish bana mbona sijala tangu niko mdogo?!Haya naja..ila nimekumiss kama unaweza kuja pale kona tunapokutanaga siku zote njoo nikwambie kitu....
Yani unafurahia mi khkataliwa W/Kati?!Pouwa bwana...nwy nitafsirie basi hao watu sijui vitu!Ahaaa ahaaa umenikumbusha Braubern A Town
Haya nimwkubali mtu mzima haambiliki!!Ehehhehheh umbea nikose?!Njoo basi nimesimama hapa chobingo alafu hata sikuoni!!!dahhhhh unaweza kumkataza lakini kumbukamtoto wa mika 15 hajakomaa vizuriukimwambia kitu anaeza akatae hapo ndipounatumia force kidoncho ili akuelewesasa baba mzima na ndevu zake tutaweza kweli?sana sana mta ongea na kumueleza na kumkatazalakini kama amesha komalia hapo ndio basi..Usema ukweli hatuwezi kumkataza mtu mzimamwenye akili timamu..hahahaahah lolwe mcopy na kum pest kwangu tusasa twende basi kule nahitaji umbea kama huna na baki hapa hahahahahahahalolI miss you big time tho..check thishttps://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/144388-friends-marafiki.html