Would you say it? (Ungesema?)

Nakumbuka mzee mmoja barazani akitupa mawaidha , 'ukisikia mkeo ama rafikio wa kike akutamkia, oooh rafiki yako yule fulani kanitongoza....jua ataka kuwatenganisha na urafiki wenu, hapo muulize na ungempa!!, ungeniambiaaa????????
 

umeifafanua vizuri Mwj1,...

Kwakweli hakuna justification yeyote inayoingia akilini kujitetea baada ya ku cheat
unapokuwa kwenye mahusiano. That's not right, ...maumivu yake nayajua.
Nisingependa kuambiwa wala kumwambia mtu.

Mbaya kuliko yote, hayakuongezei uaminifu, bali ndio kwanza yanakupunguzia.
Iwapo mtu wajiona ni mkosa kiasi cha kutaka kuungama, then ni bora uwe tayari na
kupokea maamuzi magumu pia, kwani sie wengine baada ya kupitia misukosuko kadhaa,
Imefikia hatua ya kupiga msitari chini, lipi linajenga na lipi linabomoa.
Ni bora kuto cheat kabisa!

Kuhusiana na past relationship, kuna zile ambazo huenda (mnajuana) within the circle, na unahisi
usiposema ukweli zitakulipukia.
Hizo zinategemeana na mpokeaji wa habari. Kama ni mng'ang'anizi kutaka uhakika,
na awe na moyo mgumu wa kujikubalisha yaliyopita yamepita, otherwise...bora kuanzia kwenye 'mstari mfu!'

LAKINI, kama the past ndio itajengewa hoja ya aaah, kumbe ulitembea na fulani pia,
I prefer kufa na tai yangu shingoni nisiwe mkweli hata kama huko itakuwa nadanganya.
Lengo, nia na madhumuni sio kutokuwa mkweli, bali kujihakikishia maskeleton nayazika kabatini bila kuathiri
uaminifu wangu kwake, hata kama huyo 'Ex'- wangu anajitahidi "kiss and tell!...!"

'mavi ya kale'... si kosa, kosa kuyarudia!
 

yote yatazingatiwa
especially sentensi 2 za mwisho ..
asante babu na we nakutakia
w/end njema..

usimkumbatie msichana
yeyote aliyeweka perfume kali ..
take care ,take it easy and good nite

mmmhhhh
Hehehehehe............hiyo red hapo inahuuuuu!.....babu hakumbatii wasichana, babu anakumbatia wajukuu!

Hiyo iruke tuuu
hahahahahahha lol
ni mambo ya weekend tu
Orayt...........weekend ina mambo!

Mpaka uachane na hiyo kilabu yenu ya wasaliti ndo ntaridhika....
Khaaa! Unakaba mpaka penalti?
 
Kule ushamalizana na Nyerere? Nataka nikupe kazi ya kumsoma Mugabe.
Nasubiria majibu ya kutosha maana naona mtu 3 tu ndo imenijibu!!Nimemsoma kidogo wakati namsoma mwl...unataka niendelee?!
 
Kusema au kutokusema inategemea na personality yako. Wataalamu wa nyota wanaamini personality inategemea na tarehe yako ya kuzaliwa. Kuna watu ni extra honest wakifanya kitu hawawezi kukaa kimya japo kuwa haina maana kuwa ni waaminifu. Wanafanya alafu ni wepesi sana wa kutubu.

Mume wangu ni mmoja wao. Aliwahi ku confess bila hata mimi kumuuliza na nikaishiwa maneno ya kumwambia kwani alikuwa analia. Badala ya kumuhoji nikaanza kubembeleza. He was traped na akajikuta anapata one night stand. Hakunipa details ila alinipa hints na akaniambia less abstain mpaka apime for three months. Mpaka leo nina maswali kibao naona nikimuuliza nitakuwa simtendei haki na nitakuwa naonyesha si mtu wa msamaha na nitamfanya asiseme tena. I tried to think positive na kushukuru kwa kuwa alinambia.
 

thanks NK for sharing this with us, sasa madamu alikwambia mara ya kwanza:
-unadhani hatarudia tena, au hatakuwa traped tena?
-na kama ikitokea, unadhani this time around atakwambia au atauchuna?
-ungependa ujue au akwambia kwamba sasa hivi 'nimekuwa traped tena' au bora apotezee tu?
 
Ningesema huku nimefumba macho.
Habari yako mkubwa kaizer?
 
Yaani from that day wala sina shida na yeye kunambia najua anaweza kuona noma kwa kuwa sitamwelewa. Ndio maana nawaambia humu always nimegeuka FBI. Yaani nampeleleza now and then sibweteki. What I took very positive from the first incidence ni kuwa alinambia kwa kuwa alijua asiponambia he could be HIV positive na maanake angeniua. So I thanked him for caring. Imagine alinambia the same day kuhofia nisije demand mambo yetu yale wakati yeye hajuhi status ya afya yake.

Na watu wa design hii ambao siri zinawasumbua ni rahisi sana kuwahisi. Wakifanya kitu hata uso wao unakuwa full wasiwasi.

 
Hehehehehe............hiyo red hapo inahuuuuu!.....babu hakumbatii wasichana, babu anakumbatia wajukuu! Orayt...........weekend ina mambo! Khaaa! Unakaba mpaka penalti?
Wajukuu?? Mmmhhhh fafanua babu ,
 


Kaizer sweetie hayo maswala ya Budget … acha kabisa! Missed you by the way…

Alafu Darling huu uzi unanifanya nifikirie kua aidha umenogewa na the Malavidavi nakupa ama roho inakusuta hivyo wataka kunipotezea….lol… Na urudi kwa wife…. Bora tu useme kweli…lol

On a serious note; vitu ambavyo vinafanya watu wacheat vina vary from one person to another kama vile sababu za kusema ukweli kua umecheat unavyo vary from one situation to another… Pamoja na kusema kua tunajadili hili suala hapa.. ukweli ni kwamba ukishagundua mwenza wako ka cheat, the whole marriage inabadilika in outlook, heshima, trust and gurantee… hasa from your partner..

Kwa sisi wanawake ni rahisi sometime kupotezea (thou inauma...) na tunaona ndoa idadi kubwa waume wanatoka nje na mwanamke anajua kabisa kua the husband alitoka/anatoka… it does not make it right but ndo ukweli wenyewe… Kwa wanawake…. Am telling you Kaizer hata kama hakukuta BK ataanza kuona kinyaa kukugusa… hua inashangaza you guys matatizo na imaginations zetu kali tokana na mambo machafu ambayo most wanafanya….

My stand;
Naamini siwezi toka nje, ila sababu mimi ni binadamu naacha nafasi ya walakini.... na nikitoka siwezi sema wacha nijifie ndani kwa ndani.... Na kama mume wangu ka cheat kaja kuniambia kua kacheat, nitajua kabisa kua kanichoka na anataka niachie ngazi… Maana najua mwanaume halisi wa Kiswahili hawezi hangaika kusema hata awe educated namna gani… kama he is a good man and worth it… Nitamjibu nimemsamehe na kumuuliza kama alitumia condom… kwa upole kabisaa – I will be screaming inside but won’t give him the benefit of knowing…. (Najua hii itamuuma na kumfanya atafakari upya nafasi yake kwangu….) Huu mtindo wa kuachika na kuanza tafuta a new guy na tuko katika age ambazo wanaume wanaofaa woote wana families…. Sio kabisa…
 

Kama hukutakata MTONI usitegemee kutakata BAFUNI....:nono:......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…