Would you say it? (Ungesema?)



cheusimangala hujui tu binti!
lakini vipo vingi sana vya ziada,
Na kama kweli kungekuwa hakuna hivyo vya ziada, basi wanaume wasingeenda huko!
Tafakari, chukua hatua!!!!!!!!
 
Ni ngumu sana naprefer asiniambie kabisa sababu naumiaga sana moyoni kwa muda mrefu na vitu vidogo itakuwa hili? nahisi nitamchukia na mapenzi yatashuka sana

Will die na hiyo siri moyoni na hata ikivuja will keep denying, never ever confess to ur bf, mume, mke ati umeenda nje! never, unajua anaweza kuambiwa in his/her mind akawa haamini so denying inampa hope hata kama za uongo na mnaendelea na amani yenu. Ukikubali maumivu ni unexplainable as anaanza kuwaza ulivyo vua/vuliwa nguo, style mliyotumia, je mlijikinga? soo much drama anazijenga kichwani so if wampenda never. Nikiconfess kwako nimestep out ina maana I dont want u any so nimeshamove on na hiyo telling u ni kukupa more reason za kuchukulia poa tu mbona kanicheat!
 

I like your analysis morio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…