Kwa kweli afe nayo kamba yake mwenyewe asinibebeshe zigo zito moyoni mwangu, tunapenda ukweli ila kukabiliana nao tunashindwa kabisa
Hommie hata mara moja sisemi aisee! Halafu hommie unajua Katiba imesahaulika sana, tunahitaji new member, Itabidi tukipe uhai tena ISChapo umeenda mbali zaidi hommie but hata ingekuwa ni hiyo mara moja ungesema? afu hommie zingatia katiba....
Hommie hata mara moja sisemi aisee! Halafu hommie unajua Katiba imesahaulika sana, tunahitaji new member, Itabidi tukipe uhai tena ISC
hhahhaa hebu msome hommie Kimey....
Dah, nilivyo na roho ndogo naweza nikajisalimisha kabla hati ya kukamatwa haijatolewa.
labda uwe umeshaichoka hiyo ndoa upo tayari kwa lolote, iendelee/ivunjike kwako poa tu, hakuna mwanaume anaeweza kustahimili kuckiliza yiyo hadithi, kwanza unaanzia wapi kumwelezea, kuliko hivyo bora umwage kabisa cku unayoenda ku cheat na umjulishe eneo la tukio, kama umefanya cri na iwe cri milele...
labda uwe umeshaichoka hiyo ndoa upo tayari kwa lolote, iendelee/ivunjike kwako poa tu, hakuna mwanaume anaeweza kustahimili kuckiliza yiyo hadithi, kwanza unaanzia wapi kumwelezea, kuliko hivyo bora umwage kabisa cku unayoenda ku cheat na umjulishe eneo la tukio, kama umefanya cri na iwe cri milele...
Habari ya maternity leave?
Karibu sana ukumbini
Mpwa.........inamaana nyamayao hatumii kondom?
Waeza ambulia mapengo na ndoa hakuna nani anataka mengine acha watu wafie nayo moyoni.
Mpwa.........inamaana nyamayao hatumii kondom?
natumia mifuko ya mkate, ulipasuka.
hivi wewe umeshapata picha kwamba unaanzaje kumwelezea?.."sorry msukuma naomba nikuambie ki2 but nihaidi kwamba utanisamehe, jana cjui nn na nn"...nani anataka kisukari maisha haya?
Sasa kiongozi tufanye ili chama kiwe na Uhai, Pope Kaizer hebu fufua chama banakiongozi sidhani kama kutakuwa na jipya kwa wanachama wapya, kama members wenyewe ndo hawa wa dot com, wanaoshindwa kujiamini mbele ya mai wife zao...lol...
Aksante Michelle............jamani some skeletons are meant to remain where they belong!!
Msijifanye watakatifu sana, kwa sababu ungetaka kuwa mtakatifu na mkweli usingecheat in the first place!!
Maisha yenu na yajazwe nuru itakayowaangazia ndani ya nafsi zenu.