Hao uliowataja ni wanyama na ndege...utashi wako na wao SIDHANI kama unalingana!!!Kwanzia leo wewe sio babu yangu tena....haki ya nani naanza kukuita MKWARE....immediately!
Kwahiyo hizo hisia ulizo nazo wewe kuhusu mambo yenu ya faragha yeye ndo hana!!?Kwa mwanamke ni poa tu akifikiria unayofanya kwake jioni uliyafanya kwa Suzii mchana na kesho utamfanyia Mwanaidi?!Kueni na mioyo ya huruma....yote yanayowaumiza nyie yanawaumiza wanawake pia...hamna alieumbwa kutendewa vituko!
Babu kama unawafundisha wajukuu hivo hehehe unawaharibu babu....
babu hivi vi- smiley vya Invisible vimepotelea wapi thatha naona 15 -nimeingia underground sivioni
It depends with the situation Kaizer...! unajua inauma sana eeh!..
Kutokukueleza au wewe kutokumweleza bado hakubadilishi UKWELI wa kamba anapoweka kichwa chake kuna mtu alishamtangulia mchana...au wewe unapomshika kiuno kuna njema ilikua imekikamatia mchana kama vile yeye ndo mmiliki.Na ndio maana hata akijua kitakachomliza sio wewe kumwambia/yey kugundua bali wewe kufanya kile kitendo cha usaliti!!!Bado ...mate nimetema na udongo nimelamba!!Ngoja nikaedit kule uone nilivyo siriazzzzz!No sijasema hivyo mamaa...Ni kwamba nikitoka kumega, wallah sitamwambia....na yeye pia asinambie kwa hisani ya mahusiano yetu.Bado umenikasirikia? bado mi si babu yako?.........Niteme mate chini? sema SUUU!
Mwanzo wa mwisho wa mahusiano unaanzia pale unapomsaliti mwenzako.Kwepa hilo kusiwe na muendelezo mpaka kufikia mwisho wa mahusiano!Hakuna uzembe wa hali ya juu kama kuelezea kucheat kwako kwa mwenza wako,maana hiyo ndo yaweza kuwa mwisho wenu katika mahusiano.
Mwanzo wa mwisho wa mahusiano unaanzia pale unapomsaliti mwenzako.Kwepa hilo kusiwe na muendelezo mpaka kufikia mwisho wa mahusiano!
Ngoja nikuimbie kdg"Dada Lizzy ninavyokupendaa, ntakunywa sumu juu yakoAe ae mamaaa ntakunywa sumu juu"Karibu lunch mwaya Lizzy.Kwahiyo hizo hisia ulizo nazo wewe kuhusu mambo yenu ya faragha yeye ndo hana!!?Kwa mwanamke ni poa tu akifikiria unayofanya kwake jioni uliyafanya kwa Suzii mchana na kesho utamfanyia Mwanaidi?!Kueni na mioyo ya huruma....yote yanayowaumiza nyie yanawaumiza wanawake pia...hamna alieumbwa kutendewa vituko!
Mnashangaza kweli...sasa hayo mapenzi mliyonayo kwa wenzenu mpaka muogope kuwaumiza na mnavyojali mahusiano/ndoa zenu mpaka muogope kuzipoteza kwa kusema ukweli kwamba umecheat kwanini msiwe nayo kabla ya kucheat na hua yanakuwa wapi wakati wa kucheat?!Na msianze na habari za ohhh kumdanganya mume/mke haina maana humpendi maana ishu nzima ya kumpenda mtu inaendana na heshima...sasa wewe kama humpendi/heshimu ntu kiasi cha kutembeza mwili anaodhani ni yeye tu anatumia kila kona ya mtaa mahusiano ya nini?!Si usiwe na mahusiano utembee na yeyote wakati wowote bila wasiwasi?!Acheni kudanganya nafsi zenu
mkidhani hata Mungu nae ataingia mkenge....umefunga ndoa tulia nayo..huwezi achana nayo!!
Aiseee....basi tu!Kabla hujaolewa hujaumbika Lizzy!
Ehehhehe...naja mpenzi...twala nini leo?!Ngoja nikuimbie kdg"Dada Lizzy ninavyokupendaa, ntakunywa sumu juu yakoAe ae mamaaa ntakunywa sumu juu"Karibu lunch mwaya Lizzy.
ILA ANAPENDA USALITI EHHHH?!Ingekua hivyo sidhani kama biblia inayotaka alichokiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe ingeruhusu exception iwapo mmoja atamsaliti mwenzie kwa kutoka nje ya ndoa!!!Hata mimi naongelea wote...maka ndoa/exclusive relationship huiwezi achana navyo utange tange na barabara mpaka siku utakaporidhika kwamba sasa yatosha!!Hi Lizzy, hata Mungu hapendi pia kuachana na ndoa sasa iweje hapo unadai eti watu waaachane nayo?halafu hapa pia nadhani sikuwa exclusive kwa wenye ndoa nimezungumzia mahusiano kwa ujumla ambayo wengi wetu hapa wanayo. Mahusiano ya kimapenzi sio ndoa au?
Nitasema,sina uwezo wa kuhifadhi sirii kwa muda mrefu hasa pale yule niliyemtenda visivyo hastahili kutendewa hivyo...God Forbid Please!!!
Siigizi wala sitanii......! Moyoni mwangu ni rahisi kumsamehe aliyejisalimisha kuliko niliyembamba mwenyewe...! Hata hivyo naamini nitasemeheka kiukweli iwapo nitasema kuliko nikifumaniwa au taarifa hizo zikapatikana kwingine, halafu eti ndio napiga magoti....! Najua kabisa kuwa inauma sana.... na huzua maswali mengi ambayo mwenye majibu ni wewe tu.... lakini kama ulikuwa unamaanisha, utakuwa tayari kuyajibu hayo maswali na hatimaye nia yako itabainika....! So, namaanisha ninachosema na najua ninachosema....!Wewe, wewe,Unamaanisha unayosema au umeandika tu
.
Huenda ukajutia kwa muda, lakini nia yako ya kusema ikibainika basi utaishia ku-appreciate....! Ni safari ngumu na ndefu kidogo.... lakini yenye kuleta imani na amani baina yenu baadaye....!nahisi wewe ni mwanaume ndio maana ikawa rahisi kwako kusamehewa, Mwanamke nirahisi kumsamehe mwanaume ila kwa midume?mmmmm utajuta kwa nini ulisema.
My sis...Najua u are very right there!Lakini nimewahi kusikia watu wanasema 'the truth will set u free'And that 'siku za muongo ni fupi....sijui za mwizi arobaini'Hayo tunayaweka in what position kuhakikisha kuwa maisha yanaendelea kuwa ya amani...Ni hayo tu!-Kaizer....kwani umecheat??!!Aksante Michelle............jamani some skeletons are meant to remain where they belong!!Msijifanye watakatifu sana, kwa sababu ungetaka kuwa mtakatifu na mkweli usingecheat in the first place!!Maisha yenu na yajazwe nuru itakayowaangazia ndani ya nafsi zenu.