[emoji23][emoji23][emoji23]walaa wasikurushe roho angalia wengi wanaoolewa hawana hata ayo mawowoYaan haya mawowowo yatatutoa roho tusiokuwa nayo hahahaaa mnatufanya mpka tunajishtukia bhana, vibaya hivyo
Mimi Nipo kwenye hiyo 5%nanukuu................."wowowo............zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo,hata ujirembe vipi, sisi tuna tizama wowowooo, sura hata mbuzi anayo ila sasa wowooooo,"huyu msanii hi nyimbo yake ni kiboko kapita mule mule, asilimia 95% ya wanaume na hakika wanapenda wowowoo, hata kwa kuangalia fahari ya macho.
Naweka dau wowowo unaloMkuu nikishindana na nyie wanaume nitajikuta mwisho wa siku nakuwa chizi sababu hamueleweki nini mnapenda.
Huyo huyo mwenye wo wowo anaweza pita sehemu wala watu wasishituke. Hahahahaaa.
Kumbe ndo mana unawafanyia interview ndo ajenda yako hii ya wowowoNaweka dau wowowo unalo
Mkuu vipiKumbe ndo mana unawafanyia interview ndo ajenda yako hii ya wowowo
Itakua hipsi raha sana ukiwa ndani hizo pajaNimebarikiwa vingine mkuu ila sio hilo mnaloita Wo wowo.
Amini nakuambia walla usihangaike na maneno ya mdomoni jipende ulivyo inatosha hatu owagi ma wowo hayo tunazomea tu akikushusha mbezi ndo mwisho wa shughuliYaan haya mawowowo yatatutoa roho tusiokuwa nayo hahahaaa mnatufanya mpka tunajishtukia bhana, vibaya hivyo
Hajakua huyo wala asikudanganye[emoji23][emoji23]inabid nicheke tu maana hakuna namna sasa
Sasa kama huyu una anza kupapachua hadi saa ngapi
Hahaa ahsante kwa kunitia moyo[emoji23][emoji23][emoji23]walaa wasikurushe roho angalia wengi wanaoolewa hawana hata ayo mawowo
Nashukuru sana mkuu angalau kuna wanaotukubaliAmini nakuambia walla usihangaike na maneno ya mdomoni jipende ulivyo inatosha hatu owagi ma wowo hayo tunazomea tu akikushusha mbezi ndo mwisho wa shughuli
Hao ndiyo kabisa hawajui wanatakaHahahaha vipi kuhusu nyinyi
Sio kuna wanaowakubali hapana yani mnakubalika na sote sisi ma wowo ni kama reflesh tu hawawezi kulea family hao kazi kulinda tako tuNashukuru sana mkuu angalau kuna wanaotukubali
Afadhali ngoja niendelee kuringaSio kuna wanaowakubali hapana yani mnakubalika na sote sisi ma wowo ni kama reflesh tu hawawezi kulea family hao kazi kulinda tako tu
Sidanganyiki tena mkuuHajakua huyo wala asikudanganye
Yani hii mi wowowo inakuwaga na k...a mbaya usiombe maana haina raha haifai hata kuinua daaah majangatu bora vimodo kama vya kwetu
[emoji23][emoji23]inabid nicheke tu maana hakuna namna sasa
Kwa kwel bora hata vimodo tuYani hii mi wowowo inakuwaga na k...a mbaya usiombe maana haina raha haifai hata kuinua daaah majangatu bora vimodo kama vya kwetu