Wowowo...

Wowowo...

nanukuu................."wowowo............zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo,hata ujirembe vipi, sisi tuna tizama wowowooo, sura hata mbuzi anayo ila sasa wowooooo,"huyu msanii hi nyimbo yake ni kiboko kapita mule mule, asilimia 95% ya wanaume na hakika wanapenda wowowoo, hata kwa kuangalia fahari ya macho.
Mimi Nipo kwenye hiyo 5%
 
Mkuu nikishindana na nyie wanaume nitajikuta mwisho wa siku nakuwa chizi sababu hamueleweki nini mnapenda.

Huyo huyo mwenye wo wowo anaweza pita sehemu wala watu wasishituke. Hahahahaaa.
Naweka dau wowowo unalo
 
Yaan haya mawowowo yatatutoa roho tusiokuwa nayo hahahaaa mnatufanya mpka tunajishtukia bhana, vibaya hivyo
Amini nakuambia walla usihangaike na maneno ya mdomoni jipende ulivyo inatosha hatu owagi ma wowo hayo tunazomea tu akikushusha mbezi ndo mwisho wa shughuli
 
Amini nakuambia walla usihangaike na maneno ya mdomoni jipende ulivyo inatosha hatu owagi ma wowo hayo tunazomea tu akikushusha mbezi ndo mwisho wa shughuli
Nashukuru sana mkuu angalau kuna wanaotukubali
 
Back
Top Bottom