Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

Halafu kuna watu wapo bussy kwenye mitandao wanamlaumu "V MONEY" kumtema yule mbongo mwenzetu "MWANAUME SURUALI" (aliekua na kibanda pale sinza kikabomolewa na wanamgambo wa city), then kudate na huyu jamaa anaejitambua.

Wabongo sijui nani alituroga.
Yaani unajiita Alexander the Great halafu unasifia mwanaume mwenzio namna hiyo na kumsifu mwanamke kwamba kapata inamaana na wewe umetamani Dyudu? Alexander wa Karne hii hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom