Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

Wate(Jux na Vee) wamevuka mipaka sio??!!sio mbaya acha tu waonyeshane makali
Haha

Sio kuvuka boda tu, eti wanasema wenyewe wanatuwakilisha sijui kwenye nini huo uwakilishi wao
 
Vmoney mjanja sana, kudate na huyu celebrity wa Naija, kutamfanya mziki wake upenye na kuwa maarufu Nigeria, na kwa africa ukishapata kick Nigeria ujue umeshatusua kimataifa, maana wanigeria wamesambaa dunia nzima.
Ni mmarekani mwenye asili ya Nigeria, baba yake ni mnigeria ila mama yake ni mmarekani, anaishi mamtoni huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom