Wozaaa Rotimi shemeji wa dunia katua Tanzania

mleta uzi nawe bila shaka utakuwa na tabia za kama hao wawili...leteni uzi wenye kujenga na kufundisha na si upuuzi
 
Yaani unajiita Alexander the Great halafu unasifia mwanaume mwenzio namna hiyo na kumsifu mwanamke kwamba kapata inamaana na wewe umetamani Dyudu? Alexander wa Karne hii hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…