Angekuwa mbongo wa manzese hizo nguo angevuliwa na wanajeshi eti zunafanana na sare zao[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1308547
Mambo si ndio hayaa shemeji katua
Ila isijekuwa kiki [emoji1787][emoji23]
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaWate(Jux na Vee) wamevuka mipaka sio??!!sio mbaya acha tu waonyeshane makali
Hahahaha Mkuu nimecheka sanaAFIRIKANI BOYI na MCHINA wake sijui watajificha wapi?
Wanigeria tena wazee wa fursa Hao jamaa ni Pro Jide kashatapeliwa apo jamaa kapita iviyule Rasta wa Jide alipotelea wapi ?
Ni mmarekani mwenye asili ya Nigeria, baba yake ni mnigeria ila mama yake ni mmarekani, anaishi mamtoni huyoVmoney mjanja sana, kudate na huyu celebrity wa Naija, kutamfanya mziki wake upenye na kuwa maarufu Nigeria, na kwa africa ukishapata kick Nigeria ujue umeshatusua kimataifa, maana wanigeria wamesambaa dunia nzima.
Unampenda wew huyo jux, khaaaashupuuzi tu na wataachana. inaonekana bado anampenda jux.
Hanatakiwa hawekeze kwenye sekta ya viwanda , ata vyakutengeneza CD, magitaa,
Kumbe kapatikanaYaani hapo vee anaona maisha kayapatia kweli[emoji3][emoji3]
Mapenzi sawa na chumba chakupanga ukihama mwingine analipia anaendelea kumiliki chumba