cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Weee chakula cha wadudu? Muachege huo ujingaa khaaahShemeji mbona kimuonekano kama chakula cha watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee chakula cha wadudu? Muachege huo ujingaa khaaahShemeji mbona kimuonekano kama chakula cha watu
No niliwahi kuona video yuko na v money Dubai yaani shemeji ana lamba lips aibu tupu hata tembea yake ina walakini
Sawa
Sawa mkuu
Sio mkongo huyu ,weupe gani huo kama wakufosi hiviNdio Nani huyo? Halafu mbona kama anajichubua weupe wake hauna afya.
Oi season 7 inaendelea lini?uyu mwamba aka yake ni Dre the snitch tafuta series moja inaitwa power ya 50 cent utamkubali jamaa anajua bonge LA series ya wauza drugs na wanavyo windwa na DEA huto jutia muda wako
daaa sijui mkuu ila sizan kama itakuwa 2020 maybe 21 maana mwisho inaandikwa final ni January 5 afu sijui Ghost kafa kwel au atapona maana mwamba ndio mastermind wa seriesOi season 7 inaendelea lini?
Shemeji mbona kimuonekano kama chakula cha watu
Why?Aisee
Shemeji mbona kimuonekano kama chakula cha watu
Why?
Macho yangu yamenidanganya
Mpendwa nimetumia lugha ya kihengaWatu wanaliwa siku hizi
No niliwahi kuona video yuko na v money Dubai yaani shemeji ana lamba lips aibu tupu hata tembea yake ina walakini
Macho yangu yamenidanganya
No niliwahi kuona video yuko na v money Dubai yaani shemeji ana lamba lips aibu tupu hata tembea yake ina walakini
Halafu kuna watu wapo bussy kwenye mitandao wanamlaumu "V MONEY" kumtema yule mbongo mwenzetu "MWANAUME SURUALI" (aliekua na kibanda pale sinza kikabomolewa na wanamgambo wa city), then kudate na huyu jamaa anaejitambua.
Wabongo sijui nani alituroga.