WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

SISI CHADEMA TUNKUBALIANA NA WWF KWANI HIZO PESA TUKIZIWEKA KWENYE UMEME WA GASI MBONA HIZO UNITI TUNAZIPATAT TU AU WEWE P UNSEMAJE?KWANZA HUAJFANYA RESEARCH KAMA MWANAHABARI NGULI
Hahahaha
Chadrama mcharuko mizee ya matukio kwishney
 
WWF watuondokee hapa.

Haohao usikute ndiyo wanashadidia ndoa za jinsia moja.
 
Waanze kwanza na ulinzi wa Yemen na wapelistina hao wadhungu wanavyo wachinja kila siku, alafu ndio waje !
Wanafiki wakubwa hii midhungu ife tu walahi
 
Vilaza hawatakuelewa kabisa...wanatakiwa wakusome kwa jicho la 3! Shikamoo kaka Pascal Mayalla
 
Waanze kwanza na ulinzi wa Yemen na wapelistina hao wadhungu wanavyo wachinja kila siku, alafu ndio waje !
Wanafiki wakubwa hii midhungu ife tu walahi
Hao wazungu kutwa unapokea hela zao
Za msaada

Ova
 
Vipi Mkuu! jana nilikuona kwenye tv yako ukipiga chabo, Si ulipata Majibu?

subiri utekelezaji wake maana mwanzo ilisemwa ni shilingi 3t huo mradi utatugharimu, jana inasemwa itakuwa 6.5t. Hapo tegemea mauzauza.
 
Shida yao wazungu bhana wanapeana ulaji. Sasa sisi tukianza kuwa na vyanzo vya umeme hapahapa, je makampuni ya wazungu wanaotengeneza generators za umeme watauza soko lipi??????? Tunawaharibia masoko yao uje!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…