WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

hujaelewa nini hapa?.
  1. Mradi unaelezwa unakwenda kinyume cha mikataba ya kulinda World Heritage ambayo Tanzania tumesaini, this also is nothing!,
  2. Tanzania tumesaini mikataba kibao ya kimataifa ya haki za binaadamu na kila siku serikali inakiuka mikataba hiyo,
  3. kama rais Magufuli, ameikanyaga katiba alioapa kuilinda, what are the chances kuheshimu mikataba ya kimataifa kama itatuzuia kupata manufaa,
  4. to hell with mikataba ya kimataifa at the expense of development.
P.


Hauwaelewi Wazungu, na wala haujui jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi, WWF ipo ni kama NGO tu ili kufuja fedha ktk Ulaya na USA, wanaandika maproposal fake ili watu wapige hela, ni kama UN tu na UNHCR yao, bila ya kuwa na Wakimbizi watu hawana ajira na ndiyo maana Wakimbizi hawaishi Goma, Sudani na kwingineko isitoshe hata Trump anataka kukata funding ya UNHCR!

Hawa Wazungu wanaweza tu kupata fedha ktk Serikali zao kama wakija na projects fake kama hizi za kulinda Mbwa mwitu Selous, lkn siyo faida yetu bali ni yao!

Kingine sidhani kama una ufahamu wowote wa haya mambo ya global warming zaidi ya kusoma kwenye magazeti , kwanza unaelewa chochote kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji?

Unasema tusiwekeze kwenye umeme wa maji tuangalie vyanzo vingine, ni vipi hivyo ambavyo unafikiri vinaweza kuendena na low level yetu ya sophistication kwa sasa? Unataka twende Nuclear? AK mpaka leo hii wanarumbana na hao hao Wazungu kwa sababu Zuma alitaka kuwekeza kwenye Umeme wa nuclear, sasa unataka tufanye nini?

Kesho tukiongea na Urusi au Mchina aje kujenga Nuclear power plant utaona Wazungu hao hao watapinga, sasa tufanye nini? Embu sema another source of power tunayoweza kuitumia, nitajie moja tu, usilete blah blah tafadhali naomba unitajie moja TU, badala ya hii ya Maji ambayo tutaiweza!

Mwisho elewa kwamba Mzungu hana interest na Afrika yetu iendelee hata siku moja kwani hii ni source of cheap resources, na kwa kukusaidia, kama leo hii Mzungu angetawala TZ ninakuhakikishia angepunguza hizi hifadhi zote na kuwa nazo chache tu nyingine kutumia kwa uzalishaji!

Unafahamu kwamba zaidi ya 35% ya Eneo la JMTZ ni Hifadhi? Sasa nitafutie nchi ya Muzungu ambayo ametenga zaidi ya 30% ya eneo lake kwa ajili ya kufugia wanyama, nitajie moja tu!

Fikiria hili pia!

Unafahamu kwamba USA kulikuwa na Malaria mpka miaka ya 70'? Na wakatumia DDT kuitokomeza, baada ya hapo wakapiga DDT marufuku, na leo hii haturuhusiwi kutumia DDT kuangamiza Malaria wkt Muzungu aliitumia kuangamiza Malaria, sasa ni kwa nini? Taiwani, Eastern Europe na Asians countries waliondoa malaria kwa kutumia DDT lkn Sub saharan Afrika ikapigwa matrufuku na WHO, sasa kwa nini?
Ni kwa sababu Malaria ni business za watu, watu wanauza dawa, hivyo acheni kuwaamini Wazungu hawajawahi kuwatakia mema hata siku moja!
 
The problem iliyopo hawakufanya "cost benefit analysis" na kulinganisha megawat ngapi tunapata kwa kutumia maji kama zinapishana sana kuzipata hizo megawat kwa kutumia Gas. Tungepata hii cost benefit analysis ya hizi njia 2 maji na gas ingekua poa kabisa
 
Yawezekana nilikuweka higher wakati ulihitaji maelezo ya chini chini. Kwa ufupi energy kwa nchi inatakiwa iwe diversified ili ujihakikishie usalama. Kwa TZ tuna gesi na hydro. Hata kama gesi inakidhi na kuzidi mahitaji yako, bado tafuta njia nyingine ili ujikinge. TZ bado tuko chini ya mahitaji yetu na siyo busara kukubaliana na WWF eti kuna njia mbadala, ipi? Gesi ipo na hata ikitosha bado tunahitaji hydro.

Huenda nilidhani unaufahamu mpana mpaka nikataka unifafanulie. Kumbe unachonieleza hata mdogo wangu wa formIV angeweza kunieleza. Hiki ulichosema nitamuita jpili aje anielezee kiko kirahisi mno. Acha nijilaumu kwa kuamini sanamu.
 
  1. Hauwaelewi Wazungu, na wala haujui jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi,
  2. Kingine sidhani kama una ufahamu wowote wa haya mambo ya global warming zaidi ya kusoma kwenye magazeti ,
  3. kwanza unaelewa chochote kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji?.
  4. Embu sema another source of power tunayoweza kuitumia, nitajie moja tu, usilete blah blah tafadhali naomba unitajie moja TU, badala ya hii ya Maji ambayo tutaiweza!.
  5. Unafahamu kwamba zaidi ya 35% ya Eneo la JMTZ ni Hifadhi? Sasa nitafutie nchi ya Muzungu ambayo ametenga zaidi ya 30% ya eneo lake kwa ajili ya kufugia wanyama, nitajie moja tu!
  1. Siwaelewi Wazungu, na wala sijui jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi.
  2. Sina ufahamu wowote wa haya mambo ya global warming zaidi ya kusoma tuu kwenye magazeti.
  3. Sielewi chochote kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji.
  4. another source of power tunayoweza kuitumia, ni gesi.
  5. Sifahamu kwamba zaidi ya 35% ya Eneo la JMTZ ni Hifadhi.
P.
 
  1. Siwaelewi Wazungu, na wala sijui jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi.
  2. Sina ufahamu wowote wa haya mambo ya global warming zaidi ya kusoma tuu kwenye magazeti.
  3. Sielewi chochote kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji.
  4. another source of power tunayoweza kuitumia, ni gesi.
  5. Sifahamu kwamba zaidi ya 35% ya Eneo la JMTZ ni Hifadhi.
P.


Ndiyo ufahamu sasa hivi kwamba zaidi ya 30% ya eneo la nchi yetu ni Hifadhi kwa ajili ya Muzungu na chochote utakachogusa watapiga kelele na kwanza bado wanazidi kutenga maeneo ya Hifadhi!

Pili Gesi, Umeme wa gesi siyo rahisi hivyo kama unavyofikiri ukilinganisha na Maji, fikiria gas power plant ya Kinyerezi tumetumia gharama kiasi gani na tumeingiza MW ngapi kwenye grid yetu? Nafikiri ni MW 240 tu, Sasa Stiegler tuna uwezo wa kupata > 2000 MW, kwa gharama ya chini zaidi klk Gesi, na hapo nimeongelea kupata tu umeme wa gesi bado gharama nyingine kama matengenezo, gas leakage, sasa hivi kukiwa na leakage kwenye pipeline au Mungu pisha mbali gas plant explosion hiyo gharama ya kuziba ni kubwa mno, siajabu inabidi ulete experts kufanya hilo!

Lkn Maji tunaweza kwani hata tuna uzoefu nao!
 
Mambo ya Wamarekani na zoo hayatuhusu jamani! Au unatuonyesha unaifahamu Marekani? Taarifa ya WWF ina utalaamu gani? Hakuna lolote ni Bhla-bhla tu! Athali gani waliyoinyesha na hiyo itatokea kwa njia gani? Ukiwa mtaalamu, lete taarifa ya kitaalamu.
Hahaha siifahamu marekani niliwahi kwenda nikaona hizo zoo. Hazituhusu sawa tujenge tu hiyo dam kwani nini kitatokea?!
 
Ndiyo ufahamu sasa hivi kwamba zaidi ya 30% ya eneo la nchi yetu ni Hifadhi kwa ajili ya Muzungu na chochote utakachogusa watapiga kelele na kwanza bado wanazidi kutenga maeneo ya Hifadhi!

Pili Gesi, Umeme wa gesi siyo rahisi hivyo kama unavyofikiri ukilinganisha na Maji, fikiria gas power plant ya Kinyerezi tumetumia gharama kiasi gani na tumeingiza MW ngapi kwenye grid yetu? Nafikiri ni MW 240 tu, Sasa Stiegler tuna uwezo wa kupata > 2000 MW, kwa gharama ya chini zaidi klk Gesi, na hapo nimeongelea kupata tu umeme wa gesi bado gharama nyingine kama matengenezo, gas leakage, sasa hivi kukiwa na leakage kwenye pipeline au Mungu pisha mbali gas plant explosion hiyo gharama ya kuziba ni kubwa mno, siajabu inabidi ulete experts kufanya hilo!

Lkn Maji tunaweza kwani hata tuna uzoefu nao!
Kwanza asante, japo mwanzo ulisema 35%, sasa unasema 30% is this guess work, estimates or probability?.
Nilipokujibu in points formats, nilitegemea utanielimisha kuhusu
  1. Wazungu, na jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi.
  2. Mambo ya global warming
  3. Kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji.
Ukipata nafasi, karibu kwenye post yangu hii
WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Paskali
 
Kwanza asante, japo mwanzo ulisema 35%, sasa unasema 30% is this guess work, estimates or probability?.
Nilipokujibu in points formats, nilitegemea utanielimisha kuhusu
  1. Wazungu, na jinsi capitalistic system inavyo fanya kazi.
  2. Mambo ya global warming
  3. Kuhusu stiegler gorge na vyanzo vya maji.
Ukipata nafasi, karibu kwenye post yangu hii
WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Paskali


Kwanza hata nilipunguza kwa mujibu wa wikipedia ni 38% ya eneo la JMTZ ni Hifadhi, sasa nitajie nchi ya Mzungu wanaofanya huu ujinga, USA pmj na kuwa na kubwa karibia mara 10 (*10) ya JMTZ ni 14% tu ya USA eneo lake ndiyo hifadhi, sisi Muzungu kafanya 38% na bado anazidi kutafuta maeneo!

Usisahau population density ya USA ni ndogo kuliko JMTZ, yaani sisi tumebanana zaidi kuliko USA!

Wildlife of Tanzania - Wikipedia

Approximately 38 percent of Tanzania's land area is set aside in protected areas for conservation.[53] Tanzania has 16 national parks,[54] plus a variety of game and forest reserves, including the Ngorongoro Conservation Area. In western Tanzania, Gombe Stream National Park is the site of Jane Goodall's ongoing study of chimpanzee behaviour, which started in 1960.[55][56]

Tanzania is highly biodiverse and contains a wide variety of animal habitats.[57] On Tanzania's Serengeti plain, white-bearded wildebeest (Connochaetes taurinus mearnsi) and other bovids participate in a large-scale annual migration. Tanzania is home to about 130 amphibian and over 275 reptile species, many of them strictly endemic and included in the International Union for Conservation of Nature's Red Lists of countries.[
 
Ni kweli tunahitaji umeme kwa ajili ya kupunguza gharama za uzalishaji na kuleta ushindani wa bidhaa zetu. hata hivyo naona pia serikali yetu ina mapungufu kwa kuhamisha malengo.

TULIANZA NA UMEME WA GAS, lkn sasa naona sio kipaumbele cha serikali. Kwa kutumia gas tungeweza kulinda mazingira yetu na kutunza hicho chanzo ( stiglier gorge) kwa miaka 20 ijayo. Tunarukaruka bado. Hatuna vipaumbele kama nchi na kuwa na mwendelezo wa vipaumbele. Kila Rais anakuja anavyoona yeye, hili ni tatizo sana kufikia malengo. Kutokana na kurukaruka na kutokuwa na msimamo, ndio maana barabara ya Ubungo mpaka Kimara katika miaka 20 ( 1995-2018) imejengwa mara tatu. katika hali ya kawaida tulitegemea barabara ikijengwa ikae angalau miaka 30 bila kubadilisha ramani yake kwa kuwa makadirio ya matumizi ya barabara kila mwaka yanakuwa yamefanyika. Barabra ya Ubungo imejengwa wakati wa Mh. Mkapa ( 1997-1999), wakati wa Mh. Kikwete ( mradi wa DART kusanifiwa na kujengwa 2007-2014 ) na wakati wa Magufuli (Mradi wa ubungo flyover nadhani 2016-2019). Kutokana na kukosa mwelekeo, barabara ya Ubungo kuelekea kibaha umekuwa na sheria tofauti tofauti na umesababisha hasara kwa serikali. wananchi na mateso yasisyo ya lazima. Ni pesa nyingi zimetumika kwa sababu kukosa focus.

Binafsi, Mradi wa Stigler ulikuwa uje baada ya kumaliza miradi ya gas lkn kwa kuwa kila mtu/Kiongozi anataka aweke kumbukumbu zake, ndio hayo ya mitazamo tofauti.
Pia athari za kimazingira hatuwezi kuziona leo, lkn wengi tumeshuhudia changamoto zilizosababishwa na ubishi wa huko nyuma.
That why we are named as shithole countries. EIA is very important but they have ignored for their political benefits
 
Huenda nilidhani unaufahamu mpana mpaka nikataka unifafanulie. Kumbe unachonieleza hata mdogo wangu wa formIV angeweza kunieleza. Hiki ulichosema nitamuita jpili aje anielezee kiko kirahisi mno. Acha nijilaumu kwa kuamini sanamu.
Kama mdogo wako wa form IV anaweza kukueleza, wewe uko form 1? Au ndo mambo ya kumaliza chuo kikuu kwa cheti, kichwani hakuna kitu? Deni la bure bodi ya mikopo.

btw, umeisoma ripoti na kuielewa? Au unasubilia summary ya watu hapa JF. S O M A!!
 
Hahahahah nimewastukia wazungu wanataka tuendelee kuwategemea kila kitu
Siyo Wazungu tu hata miafrika iliyoko kwenye taasisi kama hizo nayo inajifanya kutosikia. Ukifika ofisini kwao wanaigiza hata kutembea wakati kwao ni kule kwetu milimani walishaota hata misuri na vifundo!
 
Kama mdogo wako wa form IV anaweza kukueleza, wewe uko form 1? Au ndo mambo ya kumaliza chuo kikuu kwa cheti, kichwani hakuna kitu? Deni la bure bodi ya mikopo.

btw, umeisoma ripoti na kuielewa? Au unasubilia summary ya watu hapa JF. S O M A!!

Weka kinyeo kushoto huna jipya. Nimetaka maelezo kwako kiungwana ukaanza kejeli za kipuuzi. Hiyo ripoti ukitoka hapa jf kamsomee mkeo. Angalia nisikuharibie siku Dude.
 
Weka kinyeo kushoto huna jipya. Nimetaka maelezo kwako kiungwana ukaanza kejeli za kipuuzi. Hiyo ripoti ukitoka hapa jf kamsomee mkeo. Angalia nisikuharibie siku Dude.
Poor thinking! Mkeo! Nani kakwambia nimeoa? Nani kakwambia mi mwanaume?
Uungwana wa kuuliza mambo ya kindergarten!
Pinion brain.
 
Poor thinking! Mkeo! Nani kakwambia nimeoa? Nani kakwambia mi mwanaume?
Uungwana wa kuuliza mambo ya kindergarten!
Pinion brain.

Kafue chupi ukimaliza uoshe mbunye, umeulizwa kiungwana jibu kiungwana, hujisikii kujibu potezea, ukijifanya unajibu kwa kuleta mapozi lazima tukukatie shanga. Kafie mbele changu wewe.
 
Wao wanazalisha Umeme kwa kutumia Nyuklia una madhara sana kuliko huu hapo watuache aisee wafanye yao...
 
Waache ujinga wao. Kwa nini wasimlaumu kwanza D. Trump kwa kitendo cha kujitoa katika mkataba wa KIOTO?
 
Hakuna link hapo....watu wakurupuka tu kujadili mada pasi na kusoma kwanza rejea zilizowekwa. Hii yaonesha namna watu wengi walivyo wavivu ktk usomaji. Na muanzisha mada mwenyewe akiombwa link awa mkaliiii na akunasibisha na CCM!
Okey
 
Environmental imperialism

The same applies na wale wanaopinga project ya Barabara Serengeti

HQ zao huku ziko Nairobi Kenya


Go figure
Wanatumiwa na Kenya. Huwezi amini kama Kenya ni adui mkubwa wa maendeleo ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom