Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,603
Hahaha ndugu wachina wanateknologia ya viwanda nyingi ilitoka marekani. Sisi hatuna teknologia tunaimba viwanda. Hata wakiua wanyama wote labda hatutaathirika mbona kuna nchi hazina hata zoo lakini zina maendeleo?! Mimi sikatai wasijenge, wao wajenge tu ila pia wasikilize ushauri wa kitaalam.Tunazo mbuga za kutosha sana ikiwepo Ruaha ambayo ni first or second largest national park in Africa. Eneo litakalomegwa kutoka Selous ni dogo sana kulinganisha na litakalokuwa covered na Dam. Wanyama hasa tembo hawatadhurika.
Mwaka 1993 China walianza ujenzi wa bwawa la umeme (Three Gorges Dam) kwa ajili ya kuzalisha umeme MW 22,500 mradi ambao ulibuniwa mwaka 1919. Wakati wa ujenzi mamia ya watu walifariki, watu zaidi ya milioni 1.3 walihamishwa (sisi tunalalamikia wanyama). China bado wanazalisha umeme wa Nuklia pamoja na makaa ya mawe. China wameendeleza viwanda na kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kutokana na kuwa na umeme mwingi na wanaendelea kujenga Dams nyingine. Tunahitaji umeme wa bei nafuu unaozalishwa kwa maji. Hao WWF wapotelee kwa mbali.
Hiyo strigler gorge siyo na haitakuwa solution ya umeme Tanzania, na haitaleta wala kurudisha viwanda Tanzania, wanasiasa kuimba ni kawaida na wananchi kuitikia imekua kawaida.
China siyo Tanzania na Tanzania haitakuwa china.