WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Hawa WWF wakafie mbali!, kwa sababu uamuzi kuhusu Mradi huu, umeishafikiwa, hivyo uhamasishaji wa mjadala huu ni too little too late!.

Hoja za msingi za WWF ni hizi

  1. Mradi huu utaathiri Selous Game Reserve ambayo ni moja ya World Heritage Sites hivyo ujenzi katika eneo hili utaathiri ecology ya Selous kwa kuathiri mazingira, yatakayoathiri uchumi na maisha ya watu, hoja hii inakuwa defeated na manufaa ya Mradi huo ukilinganisha na athari za Mradi huo, manufaa ni makubwa mara 1000 kuliko athari!.
  2. Eneo litakalotumika ni kilomita za mraba 1,200km2, hivyo kulifanya kuwa bwawa kubwa kuliko yote eneo la Afrika Mashariki, hivyo litakausha maziwa madogo madogo yote ya jirani, litaathiri utalii, na kukomba fertility yote ya Ardhi ya eneo hilo hadi kwenye Delta ya Rufiji Delta, hivyo kuua samaki, na kuathiri uvuvi wa Kamba samaki na kamba koche unaotegemewa ka watu 200,000 wa eneo hili, pia hoja hii inapigwa chini kwa hoja kuwa Tanzania tuna maeneo mengi ambayo ni waste land, what is km za mraba 1,200?. Hao watu 200,000 watakaothiriwa na Mradi huo ni nini ukilinganisha na Wamasai wanaishi ndani ya eneo la hifadhi ya Loliondo ambao hawaruhusiwi kulima, bali wanalishwa bure?. Kwa vile faida za Mradi ni kubwa, serikali inaweza kuwaambia watu hao 200,000 wasilime na badala yake watalishwa bure maisha yao yote, hivyo Mradi uendelee!.
  3. Mradi unaelezwa unakwenda kinyume cha mikataba ya kulinda World Heritage ambayo Tanzania tumesaini, this also is nothing!, Tanzania tumesaini mikataba kibao ya kimataifa ya haki za binaadamu na kila siku serikali inakiuka mikataba hiyo, kama rais Magufuli, ameikanyaga katiba alioapa kuilinda, what are the chances kuheshimu mikataba ya kimataifa kama itatuzuia kupata manufaa, to hell with mikataba ya kimataifa at the expense of development.
  4. Mradi huo utaazuia tani milioni 16.6 za virutubisho vya Ardhi kwa mwaka, hivyo kusababisha mmomonyoko wa Ardhi kwenye Delta ya Rufiji, hii pia sio hoja, kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania, shughuli za kibinaadamu kama uchimbaji wa madini, unaleta athari kubwa zaidi za kimazingira na kusababisha sio tuu mmomonyoko Mkubwa wa Ardhi, bali kutuachia mahandaki mengi na makubwa Zaidi kuliko hizo tani milioni 16.6 kwa mwaka, hivyo Mradi utaendelea!.
  5. Hoja kuwa Mradi huo utaathiri sio tuu Mbuga ya Selous, bali pia Delta ya Rufiji na Bonde la Mto Kilombero, hapa tena tunaangalia faida za Mradi na kulinganisha na athari za kimazingira, then faida za Mradi ni kubwa kuliko athari!, Mradi utaendelea!.
  6. Hawa wazungu na wana mazingira ni watu wa ajabu sana, nakumbuka walivyotucheleweshea Mradi wa Kihasi kwa ajili tuu ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwahamisha vyura hao hao kuwahifadhi nchini Marekani, kisha kuwarudisha ndipo Mradi ukapitishwa!, yaani vyura walikwamisha mradi muhimu, ujinga huu walimfanyia Nyerere na Mwinyi, lakini kwa Magufuli, watagonga mwamba!.
  7. Hata Mradi wa Kamba Samaki kwenye Delta ya Rufiji, ulikwamishwa na wanamazingira kwa hoja kuwa Mradi huo utaathiri hifadhi ya miyombo!, what is miyombo compared to manufaa ya kiuchumi?.
They can just go to hell, kama katiba ya Tanzania imekanywagwa for the expense ya maendeleo, rais Magufuli aliruhusu tuachane na na hizi EIA katika kupushi Tanzania ya Viwanda, hivyo sasa hapa ni kazi tuu, hakuna cha mazingira, world heritage wala cha nini, Tanzania tunataka Umeme wa kutosha kuendeshea Tanzania ya viwanda!

P
Paskali umepiga lager kabla kuandika haya au? unaikana Environmental impact assessment hujui faida yake? Kuna maendeleo yoyote Nchi inaweza kuyapata bila athari za kimazingira kutokea? Taratibu ushabiki gani huu!
 
Hawa WWF wakafie mbali!, kwa sababu uamuzi kuhusu Mradi huu, umeishafikiwa, hivyo uhamasishaji wa mjadala huu ni too little too late!.

Hoja za msingi za WWF ni hizi

  1. Mradi huu utaathiri Selous Game Reserve ambayo ni moja ya World Heritage Sites hivyo ujenzi katika eneo hili utaathiri ecology ya Selous kwa kuathiri mazingira, yatakayoathiri uchumi na maisha ya watu, hoja hii inakuwa defeated na manufaa ya Mradi huo ukilinganisha na athari za Mradi huo, manufaa ni makubwa mara 1000 kuliko athari!.
  2. Eneo litakalotumika ni kilomita za mraba 1,200km2, hivyo kulifanya kuwa bwawa kubwa kuliko yote eneo la Afrika Mashariki, hivyo litakausha maziwa madogo madogo yote ya jirani, litaathiri utalii, na kukomba fertility yote ya Ardhi ya eneo hilo hadi kwenye Delta ya Rufiji Delta, hivyo kuua samaki, na kuathiri uvuvi wa Kamba samaki na kamba koche unaotegemewa ka watu 200,000 wa eneo hili, pia hoja hii inapigwa chini kwa hoja kuwa Tanzania tuna maeneo mengi ambayo ni waste land, what is km za mraba 1,200?. Hao watu 200,000 watakaothiriwa na Mradi huo ni nini ukilinganisha na Wamasai wanaishi ndani ya eneo la hifadhi ya Loliondo ambao hawaruhusiwi kulima, bali wanalishwa bure?. Kwa vile faida za Mradi ni kubwa, serikali inaweza kuwaambia watu hao 200,000 wasilime na badala yake watalishwa bure maisha yao yote, hivyo Mradi uendelee!.
  3. Mradi unaelezwa unakwenda kinyume cha mikataba ya kulinda World Heritage ambayo Tanzania tumesaini, this also is nothing!, Tanzania tumesaini mikataba kibao ya kimataifa ya haki za binaadamu na kila siku serikali inakiuka mikataba hiyo, kama rais Magufuli, ameikanyaga katiba alioapa kuilinda, what are the chances kuheshimu mikataba ya kimataifa kama itatuzuia kupata manufaa, to hell with mikataba ya kimataifa at the expense of development.
  4. Mradi huo utaazuia tani milioni 16.6 za virutubisho vya Ardhi kwa mwaka, hivyo kusababisha mmomonyoko wa Ardhi kwenye Delta ya Rufiji, hii pia sio hoja, kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania, shughuli za kibinaadamu kama uchimbaji wa madini, unaleta athari kubwa zaidi za kimazingira na kusababisha sio tuu mmomonyoko Mkubwa wa Ardhi, bali kutuachia mahandaki mengi na makubwa Zaidi kuliko hizo tani milioni 16.6 kwa mwaka, hivyo Mradi utaendelea!.
  5. Hoja kuwa Mradi huo utaathiri sio tuu Mbuga ya Selous, bali pia Delta ya Rufiji na Bonde la Mto Kilombero, hapa tena tunaangalia faida za Mradi na kulinganisha na athari za kimazingira, then faida za Mradi ni kubwa kuliko athari!, Mradi utaendelea!.
  6. Hawa wazungu na wana mazingira ni watu wa ajabu sana, nakumbuka walivyotucheleweshea Mradi wa Kihasi kwa ajili tuu ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwahamisha vyura hao hao kuwahifadhi nchini Marekani, kisha kuwarudisha ndipo Mradi ukapitishwa!, yaani vyura walikwamisha mradi muhimu, ujinga huu walimfanyia Nyerere na Mwinyi, lakini kwa Magufuli, watagonga mwamba!.
  7. Hata Mradi wa Kamba Samaki kwenye Delta ya Rufiji, ulikwamishwa na wanamazingira kwa hoja kuwa Mradi huo utaathiri hifadhi ya miyombo!, what is miyombo compared to manufaa ya kiuchumi?.
They can just go to hell, kama katiba ya Tanzania imekanywagwa for the expense ya maendeleo, rais Magufuli aliruhusu tuachane na na hizi EIA katika kupushi Tanzania ya Viwanda, hivyo sasa hapa ni kazi tuu, hakuna cha mazingira, world heritage wala cha nini, Tanzania tunataka Umeme wa kutosha kuendeshea Tanzania ya viwanda!

P
Paskali nia ya kupata nishati mW 2000 sio mbaya,kibaya ni madhara yatokanayo na kujenga bwawa hili.
Kwanini tusingefua umeme kutokana na gesi asilia?Jibu ni rahisi sana Mikataba mibovu ya waliotangulia kuwamilikisha wageni vitalo vya gesi itakuwa gharama sana.
Nashauri tufute mikataba yote mibovu ili tutumie gesi yetu kwa bei nafuu,kuliko kjiingiza na uharibifu wa mazingira kwa makusudi.Eti tunajali mikataba mibovu
 
Huu mradi ungefanyika Kenya bila Shaka ungesikia sifa toka upinzani.

Mradi uendelee.
 
kwa nini ushangai kila siku watu walikuwa wanalalamikia kuhusu uvaajiwa nguo zisizofaa za wanamuziki na vijana wetu hasa wasichana lakini walionekana hawana maana lakini aliposema mwenye kiti mao ndio inaonekana kama limeanza leo, apingwagwi huyo kila kitu kwake ni ndio tu,
 
Paskali this is too low for you, kwa nafasi yako unapaswa kuongea kwa weledi na sio kujibu kama mshabiki. Wewe kama muandishi wa habari tena nguli una nafasi kubwa ya kuingia kwa hao wafanya maamuzi, Paskali hebu tuweke hili la WWF pembeni kwani liko ndani ya uwezo wetu.

Sasa wewe kama muandishi nguli nilitarajia uulize inakuwaje rais huyu kaingia anataka kuingiza 3t+ kwenye mradi mpya, anaacha mradi wa kumalizia wa gas ambao utatupa umeme na gas ya majumbani? Sipingi mradi huo mpya wa stiegler gorge, je ni sahihi kuwekeza nguvu kwenye mradi mpya wa maji, tuache kwanza ulio hatua nyingi mbele wa gas? Huoni kama hatutokuwa makini kwa kufanya ushabiki. Paskali unapaswa kuwa na maswali magumu hata rais akisikia unaenda kumuona ajipange na sio kukujibu kwamba Mayalla kule kwao ni njaa. Itendee haki nafasi yako. Paskali kuwa makini na nafasi yako na itendee haki, huo ushabiki uliojibu pale juu bora utuachie sisi viwavi jeshi na sio wewe.
Mkuu tindo nimekusikia, karibu tena
WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Paskali
 
Hela za mradi tunazo au tutaenda kutembeza bakuli kwa wasiopenda huo mradi??
 
Ni kweli tunahitaji umeme kwa ajili ya kupunguza gharama za uzalishaji na kuleta ushindani wa bidhaa zetu. hata hivyo naona pia serikali yetu ina mapungufu kwa kuhamisha malengo.

TULIANZA NA UMEME WA GAS, lkn sasa naona sio kipaumbele cha serikali. Kwa kutumia gas tungeweza kulinda mazingira yetu na kutunza hicho chanzo ( stiglier gorge) kwa miaka 20 ijayo. Tunarukaruka bado. Hatuna vipaumbele kama nchi na kuwa na mwendelezo wa vipaumbele. Kila Rais anakuja anavyoona yeye, hili ni tatizo sana kufikia malengo. Kutokana na kurukaruka na kutokuwa na msimamo, ndio maana barabara ya Ubungo mpaka Kimara katika miaka 20 ( 1995-2018) imejengwa mara tatu. katika hali ya kawaida tulitegemea barabara ikijengwa ikae angalau miaka 30 bila kubadilisha ramani yake kwa kuwa makadirio ya matumizi ya barabara kila mwaka yanakuwa yamefanyika. Barabra ya Ubungo imejengwa wakati wa Mh. Mkapa ( 1997-1999), wakati wa Mh. Kikwete ( mradi wa DART kusanifiwa na kujengwa 2007-2014 ) na wakati wa Magufuli (Mradi wa ubungo flyover nadhani 2016-2019). Kutokana na kukosa mwelekeo, barabara ya Ubungo kuelekea kibaha umekuwa na sheria tofauti tofauti na umesababisha hasara kwa serikali. wananchi na mateso yasisyo ya lazima. Ni pesa nyingi zimetumika kwa sababu kukosa focus.

Binafsi, Mradi wa Stigler ulikuwa uje baada ya kumaliza miradi ya gas lkn kwa kuwa kila mtu/Kiongozi anataka aweke kumbukumbu zake, ndio hayo ya mitazamo tofauti.
Pia athari za kimazingira hatuwezi kuziona leo, lkn wengi tumeshuhudia changamoto zilizosababishwa na ubishi wa huko nyuma.
 
Tanzania ni ya watanzania.

Ni upuuzi mtu kukaa Washington alafu atupangie watanzania namna ya kutumia rasilimali zetu!

Hawa jamaa hawatutakii mema. This is imperialism at its best.

Yani wanaguswa zaidi na nyumbu wa Sealous kuliko watanzania mamilioni ambao wanaishi gizani?

Ni upumbavu zaidi kuwasupport hawa jamaa!

Trump anasema "America first", na sisi tunasema Tanzanians first!
Wapo walioguswa zaidi na Faru John pia kuliko......
 
Hawa WWF wakafie mbali!, kwa sababu uamuzi kuhusu Mradi huu, umeishafikiwa, hivyo uhamasishaji wa mjadala huu ni too little too late!.

Hoja za msingi za WWF ni hizi

  1. Mradi huu utaathiri Selous Game Reserve ambayo ni moja ya World Heritage Sites hivyo ujenzi katika eneo hili utaathiri ecology ya Selous kwa kuathiri mazingira, yatakayoathiri uchumi na maisha ya watu, hoja hii inakuwa defeated na manufaa ya Mradi huo ukilinganisha na athari za Mradi huo, manufaa ni makubwa mara 1000 kuliko athari!.
  2. Eneo litakalotumika ni kilomita za mraba 1,200km2, hivyo kulifanya kuwa bwawa kubwa kuliko yote eneo la Afrika Mashariki, hivyo litakausha maziwa madogo madogo yote ya jirani, litaathiri utalii, na kukomba fertility yote ya Ardhi ya eneo hilo hadi kwenye Delta ya Rufiji Delta, hivyo kuua samaki, na kuathiri uvuvi wa Kamba samaki na kamba koche unaotegemewa ka watu 200,000 wa eneo hili, pia hoja hii inapigwa chini kwa hoja kuwa Tanzania tuna maeneo mengi ambayo ni waste land, what is km za mraba 1,200?. Hao watu 200,000 watakaothiriwa na Mradi huo ni nini ukilinganisha na Wamasai wanaishi ndani ya eneo la hifadhi ya Loliondo ambao hawaruhusiwi kulima, bali wanalishwa bure?. Kwa vile faida za Mradi ni kubwa, serikali inaweza kuwaambia watu hao 200,000 wasilime na badala yake watalishwa bure maisha yao yote, hivyo Mradi uendelee!.
  3. Mradi unaelezwa unakwenda kinyume cha mikataba ya kulinda World Heritage ambayo Tanzania tumesaini, this also is nothing!, Tanzania tumesaini mikataba kibao ya kimataifa ya haki za binaadamu na kila siku serikali inakiuka mikataba hiyo, kama rais Magufuli, ameikanyaga katiba alioapa kuilinda, what are the chances kuheshimu mikataba ya kimataifa kama itatuzuia kupata manufaa, to hell with mikataba ya kimataifa at the expense of development.
  4. Mradi huo utaazuia tani milioni 16.6 za virutubisho vya Ardhi kwa mwaka, hivyo kusababisha mmomonyoko wa Ardhi kwenye Delta ya Rufiji, hii pia sio hoja, kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania, shughuli za kibinaadamu kama uchimbaji wa madini, unaleta athari kubwa zaidi za kimazingira na kusababisha sio tuu mmomonyoko Mkubwa wa Ardhi, bali kutuachia mahandaki mengi na makubwa Zaidi kuliko hizo tani milioni 16.6 kwa mwaka, hivyo Mradi utaendelea!.
  5. Hoja kuwa Mradi huo utaathiri sio tuu Mbuga ya Selous, bali pia Delta ya Rufiji na Bonde la Mto Kilombero, hapa tena tunaangalia faida za Mradi na kulinganisha na athari za kimazingira, then faida za Mradi ni kubwa kuliko athari!, Mradi utaendelea!.
  6. Hawa wazungu na wana mazingira ni watu wa ajabu sana, nakumbuka walivyotucheleweshea Mradi wa Kihasi kwa ajili tuu ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwahamisha vyura hao hao kuwahifadhi nchini Marekani, kisha kuwarudisha ndipo Mradi ukapitishwa!, yaani vyura walikwamisha mradi muhimu, ujinga huu walimfanyia Nyerere na Mwinyi, lakini kwa Magufuli, watagonga mwamba!.
  7. Hata Mradi wa Kamba Samaki kwenye Delta ya Rufiji, ulikwamishwa na wanamazingira kwa hoja kuwa Mradi huo utaathiri hifadhi ya miyombo!, what is miyombo compared to manufaa ya kiuchumi?.
  8. They can just go to hell, kama katiba ya Tanzania imekanywagwa for the expense ya maendeleo, rais Magufuli aliruhusu tuachane na na hizi EIA katika kupushi Tanzania ya Viwanda, hivyo sasa hapa ni kazi tuu, hakuna cha mazingira, world heritage wala cha nini, Tanzania tunataka Umeme wa kutosha kuendeshea Tanzania ya viwanda!
Hoja zote hizo ni katika kulinda kitu kinachoitwa the sovereignty of our nationalism kwamba Tanzania ni ya Watanzania, tuna uhuru wa kupanga mambo yetu kwa manufaa yetu bila kuingiliwa na mtu mwingine yoyote, hivyo hawa WWF, wasituingilie!.

Lakini on the other hand, kiukweli kabisa japo mimi sio mchumi, lakini sera za uchumi za serikali ya Magufuli ni sera za ajabu sana!.
  1. Huu Mradi wa Umeme wa Stglers Gorge ulizungumzwa tangu Enzi za Nyerere na haukutekelezwa kutokana na hixo hizo environmental concerns na mpango wa Tanzania Power System Master Plan (2016 update), umeonyesha Mradi huu ndio the last option kama miradi mingine mikubwa itashindikana, Mradi wa priority ni Umeme wa kutumia gesi, lakini sasa Magufuli kaingia, mara ghafla hatuzungumzii tena Mradi wa Umeme wa gesi, sasa Mradi huu ndio kipaumbele!, kipaumbele for what?.
  2. Japo ni kweli, the cheapest power generation projects ni hydropower projects, lakini Tanzania hatujifunzi tuu, kutokana na global warming na mabadiliko ya tabia nchi, kuendelea kutegemea Umeme wa maji ni very unpredictable, Richmond ilisababishwa na hii over dependency on hydropower, hivyo kulipotokea ukame, kilichotukuta sote tunakijua!, sasa gesi tunayo tena ya kutosha, na Umeme wa gesi, japo ni expensive kuliko hydro ni cheap kuliko diesel generation, kwa nini tusijikite kwenye gesi yenye uhakika, tunataka kuzamisha matrilioni ya Fedha kwenye pata potea nyingine ya kutegemea mvua?.
  3. Maajabu ya uchuni wa Magufuli pia yapo kwenye kuishadadia sana hii SGR, kama tumekuwa na reli mbili ya meter gauge ya Kati na Tazara, zote zina under perform, tumeanzisha bandari kavu ya Isaka ili ipokee mizigo ya Rwanda, Burundi na DRC, lakini haifunction na reli ya kati ipo, tena hadi eneo la ICD ya Rwanda watu wanalima tuu mahindi!, hii SGR italeta miujiza gani?.
  4. Uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, hivyo Tanzania ya kweli ya viwanda, ni Tanzania ya agro processing industries, tunahubiri Tanzania ya viwanda, bila kuinua sekta ya kilimo, hivyo viwanda ni malighafi gani ya kuendesha Tanzania ya viwanda kama sekta ya kilimo ni totally neglected, Magufuli yuko bize kununua ndege na kujenga miundombinu, what has ndege, barabara za juu kwa juu, uwanja wa ndege wa Chato, na hii SGR has to do with sekta ya kilimo?.
Mimi bado nasisititiza, Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.

Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi?

Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter, Jee Tununue Au Tuzitumie Kwa Mahitaji Muhimu Zaidi?.

Hili la kukua kwa uchumi, niliwahi kumuuliza Prof. Mpango.


P

Mkuu Pascal Mayalla kama usingeongeza kuanzia point namba 9 na kuendelea nahakika hii ndo ingekuwa for me the best sarcastic post of 2018 (unless itokee post kama ya Edo Kumwembe kule Fb) bila kujali kuwa huu mwaka ndo kwanza umeanza maana sidhani kama ningekuja kupata post nzuri tena.
 
WWF wanaanza kwa kujigamba kwamba wao ni muhimu ktk conservation ya eneo hilo. Aliyeandika ni m-TZ maana naona makosa kibao ya lugha, au ni hiyo rapid assessment na rapid reporting? Baada ya hiyo rapid study, hebu tunawaomba wafanye study iliyo kamili sasa!

Mradi kama huu WWF wasubili kuona matokeo ya EIA na mitigation zake halafu walinganishe na study ya consultant wao.

They new it in plan since 1960s, why now come up with that rapid study?

Ripoti haielezi nini hasa kitaathilika badala yake wanakumbushia tu mambo ya heritage. Hydro ni non consumptive user wa maji. Tuna tap energy na kuyaachia maji yaende yaendako lakini bado mtu anasema kilimo downstream kitaathilika, HOW?

Huyo consultant wao anaweza kuwa alikuwa siyo mtu makini au siyo mtaalamu na aliamua kuandika wanayotaka waliompa pesa. Sehemu kubwa ya ripoti hii haina ushahidi wa kitaalamu. Sioni quantitative evidence, badala yake naona mambo ambayo ni qualitative. Unawezaje kuhusisha utalii wa chi nzima, ndege mpya na Selous? Je mbona sioni sehemu yoyote WWF akilinganisha faida za ujenzi huo vs faida za kutojenga? Hii ni report isiyo na matumizi. Wasubili EIA.

Presd. Magufuli, Tuendelee! Bhla-bhla hizo!
 
Mkuu Pascal Mayalla kama usingeongeza kuanzia point namba 9 na kuendelea nahakika hii ndo ingekuwa for me the best sarcastic post of 2018 (unless itokee post kama ya Edo Kumwembe kule Fb) bila kujali kuwa huu mwaka ndo kwanza umeanza maana sidhani kama ningekuja kupata post nzuri tena.

Kwa post hiyo nimekukubali kwa 100% Paskali. Hii ndio michango inayofanya nikuheshimu sana humu jukwaani.
 
WWF wanaanza kwa kujigamba kwamba wao ni muhimu ktk conservation ya eneo hilo. Aliyeandika ni m-TZ maana naona makosa kibao ya lugha, au ni hiyo rapid assessment na rapid reporting? Baada ya hiyo rapid study, hebu tunawaomba wafanye study iliyo kamili sasa!

Mradi kama huu WWF wasubili kuona matokeo ya EIA na mitigation zake halafu walinganishe na study ya consultant wao.

They new it in plan since 1960s, why now come up with that rapid study?

Ripoti haielezi nini hasa kitaathilika badala yake wanakumbushia tu mambo ya heritage. Hydro ni non consumptive user wa maji. Tuna tap energy na kuyaachia maji yaende yaendako lakini bado mtu anasema kilimo downstream kitaathilika, HOW?

Huyo consultant wao anaweza kuwa alikuwa siyo mtu makini au siyo mtaalamu na aliamua kuandika wanayotaka waliompa pesa. Sehemu kubwa ya ripoti hii haina ushahidi wa kitaalamu. Sioni quantitative evidence, badala yake naona mambo ambayo ni qualitative. Unawezaje kuhusisha utalii wa chi nzima, ndege mpya na Selous? Je mbona sioni sehemu yoyote WWF akilinganisha faida za ujenzi huo vs faida za kutojenga? Hii ni report isiyo na matumizi. Wasubili EIA.

Presd. Magufuli, Tuendelee! Bhla-bhla hizo!

Patriot naona umepinga kwa hoja, wangalau hoja zako zinakubeba. Sasa tuje kwenye kipi ni sahihi kufanyika. Unaweza ukatuambia kwanini hizo hela zisiingizwe kwenye umeme wa gas, ambao tayari ni mradi ulionza na hat uzalishaji kwa sehemu fulani. Na kwakuwa hilo bonde ni letu huko mbele ya safari uhitaji ukiwepo tukatumia pia? Kumbuka kwenye gas tutapata umeme na gas ya majumbani. Kama unaweza hebu tupe mchanganuo wa ipi ni faida sana kama tutaanza mradi mpya wa stiegler gorge, huku tukiupa msukumo mdogo mradi wa umeme wa gas ambao tayari tumeshauanza? Please fafanua hili kwani ni muhimu.
 
Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.

Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?

Waache upoyoyo.
To be open America under Trump Doesn't need Africa they are safe contained they dont need dirty Africa . Africa let us shake hands with China and Asian Countries like India etc who feel Africa is more important to them not America under Trump who feel Africans are dirty like buttocks .Let Americans stay with their cleanness so that they can't be contaminated with dirty Africans. let us join hands with dirty Chinese and Asians who don't know Americans health rules .America under Trump is so clean and disease free nation that doesnt need dirty like buttocks Africa they are a great nation and safe contained
 
Mnajidanganya nyie, wamarekani licha ya kutokuwa na wanyama wengi kama sisi lakini karibia kila jimbo wana ZOO na wanyama ni hawa hawa wetu tunaojivunia, Tembo, Twiga, Nyani, Chui, na wengine wengi. Wamewatunza vizuri na kuwazalisha, sisi tunazo mbuga za asili na wanyama wa asili sio ZOO. Hao WWF wanatusaidia sisi na wanyama wetu, ushauri wao kwetu ni wa kitaalam sisi tuna leta siasa na ujuaji.
Watalii wengi kutoka huko marekani waliisha waona Twiga, Tembo,Chui na wengine huko huko marekani, hukuk wetu, Tanzania, Kenya, Afrika kusini Namibia wakija wanataka kuwaona wanyama hao kwenye natural habitat zao, na hicho ndicho hao WWF wanakitetea, eti sisi tunawasikiliza wanasiasa wasiofahamu chochote kuhusu ecologia na maisha ya wanyama wetu lakini wanahamasisha UTALII waingize pesa.
Ohoo viwanda, hata hawafahamu wanataka viwanda gani vya kutengeneza nini, kwa teknologia ipi na ya nani kutoka wapi?!
Siasa zenu ziishie bungeni acheni wataalamu wawaambie ukweli.
 
Patriot naona umepinga kwa hoja, wangalau hoja zako zinakubeba. Sasa tuje kwenye kipi ni sahihi kufanyika. Unaweza ukatuambia kwanini hizo hela zisiingizwe kwenye umeme wa gas, ambao tayari ni mradi ulionza na hat uzalishaji kwa sehemu fulani. Na kwakuwa hilo bonde ni letu huko mbele ya safari uhitaji ukiwepo tukatumia pia? Kumbuka kwenye gas tutapata umeme na gas ya majumbani. Kama unaweza hebu tupe mchanganuo wa ipi ni faida sana kama tutaanza mradi mpya wa stiegler gorge, huku tukiupa msukumo mdogo mradi wa umeme wa gas ambao tayari tumeshauanza? Please fafanua hili kwani ni muhimu.
Mkuu unajua jamaa hawa ni vigeugeu. Hydro ni renewable energy, gas siyo renewable. na mara zote wanashabikia renewable energy. Pale TANESCO upande wa solar energy wamekuwa wakipiga hela ndefu sana kwa kisingizio cha cheaper energy, ingawa mimi naelewa ni kupoteza pesa zetu na kutafuta mbinu za kuiba kupitia makandarasi binafsi.

Kama alternative ya hydro ingekuwa ni nuclear ningesema twende nuclear lakini huwezi kuacha hydro over gas. South Africa hawakuwahi kuwa na hydro. energy source yao ilikuwa nuclear na wanapanua reactor zao beyond anyone sasa hivi, lakini wamekwisha anza hydro kwenye Limpopo. Iache gesi iwepo lakini tusiache hydro. Hiyo faida ya pili ya gesi kutumika majumbani, kwa TZ bado. Hiyo ni methane ambayo ni flamable kuliko propane na butane tunazotumia kwenye mitungi. Kwa hali ya maendeleo tulipo ni hatari kuingiza methane majumbani na wataalamu wanaelewa hilo na itachukuwa miaka mingi. Nyumba zetu hizi na mazingira yake hayafai.

Angalia ripoti inavyogusagusa vipengele vingi kutaka kuhalisha maamuzi yao. Wanagusa hata Climate change bila kusema climate change inasema nini juu ya East africa. Ukisoma ripoti za IPCC utagundua jamaa hawa ni watunzi wa hadithi tu! Bahati mbaya tunao watu humu JF ambao nahisi wanajifunza kujenga hoja na ikifikia ushabiki, hoja wanaacha na kuanza CCM vs CHADEMA. Ndo maana nimewahi kuomba rais atimue mbio tu maana baadhi ya wanaoomba kusikilizwa hawana la kusikilizwa!
 
Hawa WWF wakafie mbali!, kwa sababu uamuzi kuhusu Mradi huu, umeishafikiwa, hivyo uhamasishaji wa mjadala huu ni too little too late!.

Hoja za msingi za WWF ni hizi

  1. Mradi huu utaathiri Selous Game Reserve ambayo ni moja ya World Heritage Sites hivyo ujenzi katika eneo hili utaathiri ecology ya Selous kwa kuathiri mazingira, yatakayoathiri uchumi na maisha ya watu, hoja hii inakuwa defeated na manufaa ya Mradi huo ukilinganisha na athari za Mradi huo, manufaa ni makubwa mara 1000 kuliko athari!.
  2. Eneo litakalotumika ni kilomita za mraba 1,200km2, hivyo kulifanya kuwa bwawa kubwa kuliko yote eneo la Afrika Mashariki, hivyo litakausha maziwa madogo madogo yote ya jirani, litaathiri utalii, na kukomba fertility yote ya Ardhi ya eneo hilo hadi kwenye Delta ya Rufiji Delta, hivyo kuua samaki, na kuathiri uvuvi wa Kamba samaki na kamba koche unaotegemewa ka watu 200,000 wa eneo hili, pia hoja hii inapigwa chini kwa hoja kuwa Tanzania tuna maeneo mengi ambayo ni waste land, what is km za mraba 1,200?. Hao watu 200,000 watakaothiriwa na Mradi huo ni nini ukilinganisha na Wamasai wanaishi ndani ya eneo la hifadhi ya Loliondo ambao hawaruhusiwi kulima, bali wanalishwa bure?. Kwa vile faida za Mradi ni kubwa, serikali inaweza kuwaambia watu hao 200,000 wasilime na badala yake watalishwa bure maisha yao yote, hivyo Mradi uendelee!.
  3. Mradi unaelezwa unakwenda kinyume cha mikataba ya kulinda World Heritage ambayo Tanzania tumesaini, this also is nothing!, Tanzania tumesaini mikataba kibao ya kimataifa ya haki za binaadamu na kila siku serikali inakiuka mikataba hiyo, kama rais Magufuli, ameikanyaga katiba alioapa kuilinda, what are the chances kuheshimu mikataba ya kimataifa kama itatuzuia kupata manufaa, to hell with mikataba ya kimataifa at the expense of development.
  4. Mradi huo utaazuia tani milioni 16.6 za virutubisho vya Ardhi kwa mwaka, hivyo kusababisha mmomonyoko wa Ardhi kwenye Delta ya Rufiji, hii pia sio hoja, kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania, shughuli za kibinaadamu kama uchimbaji wa madini, unaleta athari kubwa zaidi za kimazingira na kusababisha sio tuu mmomonyoko Mkubwa wa Ardhi, bali kutuachia mahandaki mengi na makubwa Zaidi kuliko hizo tani milioni 16.6 kwa mwaka, hivyo Mradi utaendelea!.
  5. Hoja kuwa Mradi huo utaathiri sio tuu Mbuga ya Selous, bali pia Delta ya Rufiji na Bonde la Mto Kilombero, hapa tena tunaangalia faida za Mradi na kulinganisha na athari za kimazingira, then faida za Mradi ni kubwa kuliko athari!, Mradi utaendelea!.
  6. Hawa wazungu na wana mazingira ni watu wa ajabu sana, nakumbuka walivyotucheleweshea Mradi wa Kihasi kwa ajili tuu ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwahamisha vyura hao hao kuwahifadhi nchini Marekani, kisha kuwarudisha ndipo Mradi ukapitishwa!, yaani vyura walikwamisha mradi muhimu, ujinga huu walimfanyia Nyerere na Mwinyi, lakini kwa Magufuli, watagonga mwamba!.
  7. Hata Mradi wa Kamba Samaki kwenye Delta ya Rufiji, ulikwamishwa na wanamazingira kwa hoja kuwa Mradi huo utaathiri hifadhi ya miyombo!, what is miyombo compared to manufaa ya kiuchumi?.
  8. They can just go to hell, kama katiba ya Tanzania imekanywagwa for the expense ya maendeleo, rais Magufuli aliruhusu tuachane na na hizi EIA katika kupushi Tanzania ya Viwanda, hivyo sasa hapa ni kazi tuu, hakuna cha mazingira, world heritage wala cha nini, Tanzania tunataka Umeme wa kutosha kuendeshea Tanzania ya viwanda!
Hoja zote hizo ni katika kulinda kitu kinachoitwa the sovereignty of our nationalism kwamba Tanzania ni ya Watanzania, tuna uhuru wa kupanga mambo yetu kwa manufaa yetu bila kuingiliwa na mtu mwingine yoyote, hivyo hawa WWF, wasituingilie!.

Lakini on the other hand, kiukweli kabisa japo mimi sio mchumi, lakini sera za uchumi za serikali ya Magufuli ni sera za ajabu sana!.
  1. Huu Mradi wa Umeme wa Stglers Gorge ulizungumzwa tangu Enzi za Nyerere na haukutekelezwa kutokana na hixo hizo environmental concerns na mpango wa Tanzania Power System Master Plan (2016 update), umeonyesha Mradi huu ndio the last option kama miradi mingine mikubwa itashindikana, Mradi wa priority ni Umeme wa kutumia gesi, lakini sasa Magufuli kaingia, mara ghafla hatuzungumzii tena Mradi wa Umeme wa gesi, sasa Mradi huu ndio kipaumbele!, kipaumbele for what?.
  2. Japo ni kweli, the cheapest power generation projects ni hydropower projects, lakini Tanzania hatujifunzi tuu, kutokana na global warming na mabadiliko ya tabia nchi, kuendelea kutegemea Umeme wa maji ni very unpredictable, Richmond ilisababishwa na hii over dependency on hydropower, hivyo kulipotokea ukame, kilichotukuta sote tunakijua!, sasa gesi tunayo tena ya kutosha, na Umeme wa gesi, japo ni expensive kuliko hydro ni cheap kuliko diesel generation, kwa nini tusijikite kwenye gesi yenye uhakika, tunataka kuzamisha matrilioni ya Fedha kwenye pata potea nyingine ya kutegemea mvua?.
  3. Maajabu ya uchuni wa Magufuli pia yapo kwenye kuishadadia sana hii SGR, kama tumekuwa na reli mbili ya meter gauge ya Kati na Tazara, zote zina under perform, tumeanzisha bandari kavu ya Isaka ili ipokee mizigo ya Rwanda, Burundi na DRC, lakini haifunction na reli ya kati ipo, tena hadi eneo la ICD ya Rwanda watu wanalima tuu mahindi!, hii SGR italeta miujiza gani?.
  4. Uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, hivyo Tanzania ya kweli ya viwanda, ni Tanzania ya agro processing industries, tunahubiri Tanzania ya viwanda, bila kuinua sekta ya kilimo, hivyo viwanda ni malighafi gani ya kuendesha Tanzania ya viwanda kama sekta ya kilimo ni totally neglected, Magufuli yuko bize kununua ndege na kujenga miundombinu, what has ndege, barabara za juu kwa juu, uwanja wa ndege wa Chato, na hii SGR has to do with sekta ya kilimo?.
Mimi bado nasisititiza, Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.

Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi?

Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter, Jee Tununue Au Tuzitumie Kwa Mahitaji Muhimu Zaidi?.

P
Chochote ambacho kina manufaa kwa nchi ndicho chapaswa kuwa kipaumbele. Tanzania kwanza. "World heritage" yapaswa kuja baada ya Tanzania. WWF watuache au washauri namna ya kuhifadhi wakati na baada ya uanzishwaji Wa mradi.
 
Back
Top Bottom