Wasiingilie mambo ya nchi chafu. WaziacheTunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.
Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?
Waache upoyoyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiingilie mambo ya nchi chafu. WaziacheTunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.
Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?
Waache upoyoyo.
mkuu umegonga msumari kunapohitajika...Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.
Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?
Waache upoyoyo.
Kweli wazo zuri, hizo hela zikiongezewa kwenye mradi wa ges, nadhani tutakuwa mbali zaidi na hili ttzo kuliko kuanza huo mwingine
Yaani wazungu wanaona vyura na wanyama ni wa muhimu kuliko watanzania kupata umeme? Haya ni matusi makubwa kwa watanzania. Magufuli jenga haraka hilo Bwawa wanyama na vyura wote wakifa sawa tu heri wafe watanzania tupate umemeWasitupangie!!! Tena wakome kabisa!!!! Namsapoti rais wetu kwa asilimia 100!!!! Lazima mradi huu wa umeme ukamilike!!!
Hapo kweli, kuliko kuanza upya mkuu, hii miradi huwa inachukua hadi miaka kumi na kitu kma wa ges kikwete hakuumaliza, magu kaja haujakamilika kakumbilia mwingine, tutakuwa tubabaki na manusu nusu tuMkuu nashukuru kwa kuona hili wazo langu, halafu inakuwa kama kuna tatizo fulani kwenye haya mambo. Toka Magufuli ameingia madarakani haongelei kabisa huo mradi wa gas, lakini awamu iliyopita na wananchi wa Mtwara wengi ni vilema mpaka leo kwa kipigo cha kuzuia hilo bomba. Ili kutupooza wananchi tukahubiriwa kila jema kuhusu hiyo gas mpaka tukaanza kuimbishwa uchumi wa gas, kama hii kauli mbiu ya sasa ya uchumi wa viwanda.
Watanzania tunapaswa kuhoji kwenye mambo makubwa, iweje 3Tr ziingizwe kwenye mradi from scratching, wakati kuna mradi ambao unahitaji kuendelezwa tu? Sikumbuki vizuri lakini nadhani tuliambiwa zitazalishwa 5000+mg. Je ikiwa Magufuli hataafanikiwa kumaliza huo mradi wa 2100mg kwenye kipindi chake, akiondoka madarakani akaja rais mwingine huoni ni rahisi kuona rais aliyepita aliharibu mazingira na yeye akaamua kuanzisha mradi wa umeme wa makaa ya mawe? Ni vyema rais/serekali itoke hadharani ituambie kinagaubaga shida ni nini kwenye gas mpaka warukie kwenye stiegler gorge. Hao WWF tunawamudu, watembee uchi, wapige sarakasi kama mradi una maslahi na nchi yetu hawana lolote watatufanya. Ila tujue kwanza mradi wa gas, tena mpaka gas ya majumbani shida ni nini kiasi kwamba 3Tr ziingizwe kwenye mradi mwingine mpya?
Cc:
msemajiukweli, misuli, thetallest, kipara kipya, jingalao, paskali mayalla
WWF wakafie mbali!.
P
Nakubaliana na wewe hundred percent .We don't matter to them let them leave us alone.To hell with WWF .Nchi chafu wanazitakia nini? America can survive without Africa.Let them leave us alone waendelee na usafi waoWasiingilie mambo ya nchi chafu. Waziache
Soma report yao pia kuhs trump walionya pia!Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.
Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?
Waache upoyoyo.
Hapo kweli, kuliko kuanza upya mkuu, hii miradi huwa inachukua hadi miaka kumi na kitu kma wa ges kikwete hakuumaliza, magu kaja haujakamilika kakumbilia mwingine, tutakuwa tubabaki na manusu nusu tu
Huu ndio u shithole wenyewe, we need those falls for electrifying our country, while them who call us shitholes need it for their pride, the lSoma hoja za WWF hapa kwenye linki https://wwf.fi/mediabank/10039.pdf .Je wewe uko upande upi na kwanini?
Tulisharogwa bwana sisiHapo kweli, kuliko kuanza upya mkuu, hii miradi huwa inachukua hadi miaka kumi na kitu kma wa ges kikwete hakuumaliza, magu kaja haujakamilika kakumbilia mwingine, tutakuwa tubabaki na manusu nusu tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daaaa sina hamu we ni hatariWatajijua wenyewe hapa duniani wasabato tunapita tu makazi yetu yako juu....
Marekani imejitoa climate change viwanda vyake vinavyochafua hewa visifungwe na sisi wasituingilie mambo ya environment na wanyama na vyura to hell with them.Magufuli funga umeme haraka.Vyura na wanyama kama ni wengi piga rungu UA wote funga mashine ya umeme.Wao kwao waliua wanyama wote wajenge viwanda kwenye mbuga zao wasitubabaisheSoma report yao pia kuhs trump walionya pia!