BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Al Ahly wamevuta pumzi ya moto..Wydad pamoja na timu zingine za Kiarabu mnatufundisha kitu yaani..!
Kweli kabisa, timu za weusi zijifunze kwa hao wapambanaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al Ahly wamevuta pumzi ya moto..Wydad pamoja na timu zingine za Kiarabu mnatufundisha kitu yaani..!
Simon Happygod Msuva gemu hili la fainali angekuwepo na kuonekana duniani kote hivyo kuwa rahisi kuhamia timu nyingine kubwa.
Sijui ni nini kilimkumba Msuva na Wydad Athletic Casablanca wakaachana wakati usio muafaka kwa mchezaji huyu mtanzania.
Kule kuna wachezaji Quality, sisi tunamuona mkali, kwa wydad anaonekana wa kawaida sana. Na ni bora hawamchezeshi.
Makolo watwambie zile sare mbili walizipataje?Hongera kwao wydad casablanca! Al ahly amechukua xana hacha na wengine walibebe.....waarabu wa egypt wanaenda kumfurusha pitso mosimane for sure,walimuwinda kwa kila hali ateleze sasa ameingika kwenye 18 zao....namuomba tu pitso akiwa anarudi SA ampitie nandugu yake pablo wa simba hapa waende nae huko nasikia kunatimu inamuhitaji....pole kwa miqisson kwa kushindwa kunyanyua kwapa medal ya mshindi wa pili inatosha, pole kwa msuva kwa kupishana nakikombe...
Kumbuka wakujifunza ni Simba tu..😂😂.Al Ahly wamevuta pumzi ya moto..Wydad pamoja na timu zingine za Kiarabu mnatufundisha kitu yaani..!
Kauli ya uoga hiiWatu weusi tulitakiwa tunazshe makombe yetu, Waarabu hatuwezi kushindana nao.
Kauli ya uoga hii
Wakuu, hivi ile style ya Ahly ikiongozwa na kocha wao mkuu ya kuvalishwa medali, na kuzivua pale pale, tena mchezaji mwingine kuzuia kabisa kuvalishwa, na kupokea kwa mkono, ni sahihi?WAPIGWE TU MANA HAKUNA NAMNA
Kwa maana hiyo Msuva kakimbia kiaina, angemuachia ajenti wake ashughulikie suala hilo la mkataba / mshahara huku akiendelea na kazi Wydad Athletic. Akumbuke mchezaji professional huwa hana mihemuko ya kususa huku ana ajenti wa kueleweka .