Wydad AC waipiga Al Ahly 2-0 watwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika 2021/2022

Wydad AC waipiga Al Ahly 2-0 watwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika 2021/2022

Simon Happygod Msuva gemu hili la fainali angekuwepo na kuonekana duniani kote hivyo kuwa rahisi kuhamia timu nyingine kubwa.


Sijui ni nini kilimkumba Msuva na Wydad Athletic Casablanca wakaachana wakati usio muafaka kwa mchezaji huyu mtanzania.

Kule kuna wachezaji Quality, sisi tunamuona mkali, kwa wydad anaonekana wa kawaida sana. Na ni bora hawamchezeshi.
 
Kule kuna wachezaji Quality, sisi tunamuona mkali, kwa wydad anaonekana wa kawaida sana. Na ni bora hawamchezeshi.

Kwa maana hiyo Msuva kakimbia kiaina, angemuachia ajenti wake ashughulikie suala hilo la mkataba / mshahara huku akiendelea na kazi Wydad Athletic. Akumbuke mchezaji professional huwa hana mihemuko ya kususa huku ana ajenti wa kueleweka .
 
Hongera kwao wydad casablanca! Al ahly amechukua xana hacha na wengine walibebe.....waarabu wa egypt wanaenda kumfurusha pitso mosimane for sure,walimuwinda kwa kila hali ateleze sasa ameingika kwenye 18 zao....namuomba tu pitso akiwa anarudi SA ampitie nandugu yake pablo wa simba hapa waende nae huko nasikia kunatimu inamuhitaji....pole kwa miqisson kwa kushindwa kunyanyua kwapa medal ya mshindi wa pili inatosha, pole kwa msuva kwa kupishana nakikombe...
Makolo watwambie zile sare mbili walizipataje?
 
Watu weusi tulitakiwa tunazshe makombe yetu, Waarabu hatuwezi kushindana nao.
 
WAPIGWE TU MANA HAKUNA NAMNA
Wakuu, hivi ile style ya Ahly ikiongozwa na kocha wao mkuu ya kuvalishwa medali, na kuzivua pale pale, tena mchezaji mwingine kuzuia kabisa kuvalishwa, na kupokea kwa mkono, ni sahihi?
 
Kwa maana hiyo Msuva kakimbia kiaina, angemuachia ajenti wake ashughulikie suala hilo la mkataba / mshahara huku akiendelea na kazi Wydad Athletic. Akumbuke mchezaji professional huwa hana mihemuko ya kususa huku ana ajenti wa kueleweka .

Nisidanganye mkuu, ukweli sijui chochote kuhusu kuondoka kwake.
 
Back
Top Bottom