Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nakumbusha tu kwamba namba 1 hadi 10 kwa kiarabu ni hizi;Mtanii nna pressure mwenzio
Yaan leo naumwa km siumwi, siumwi km naumwa
Niombee kwa kweliii,
Watu wamenipaniaa leo, tukitolewa sijui nitakua na hali ganiii uwiiiih
Nataman kulia, natamani kuchekaa. Tafrani tupuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HaijalishiUJINGA NI KIPAJI.
WYDAD ITAKUSAIDIA NINI MAISHANI MWAKO.
FICHA UJINGA
ACHA USHAMBA.
Simba wanapeleka timu nne.
Simba wanatangaza utalii.
Wanaitangaza nchi kisoka.
Wanalipa Kodi, Taifa nk.
Hiyo timu YENU msemaji ALISEMA wenye akili ni wawili.
SIMBA sio kama hao maboyaNa Kituo kinachofuata ni Simba[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2599179
mnafurahia kutolewa[emoji23][emoji23]SIMBA sio kama hao maboya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpira tumechezaa,
Kwan tumefungwa ngapii mlongo?Nakumbusha tu kwamba namba 1 hadi 10 kwa kiarabu ni hizi;
1. Wahed.
2. Ethnein.
3. Thalatha.
4. Arba-a.
5. Khamsa.
6. Sitta.
7. Sab-a.
8. Thamaniya.
9. Tisa'a
10. A'shara
Arba-a + 1Kwan tumefungwa ngapii mlongo?
Aggregate ni 1 kwa 1.
Penalties huwa ni bahati, na haikua upande wetu basi, tukutane mwakani.
Mlongo, kwa hiyo yale ya panati kafungwa Lipuli?Kwan tumefungwa ngapii mlongo?
Aggregate ni 1 kwa 1.
Penalties huwa ni bahati, na haikua upande wetu basi, tukutane mwakani.