Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitarudi tu...Babu tangu umewapa hela wale jamaa kule kwenye wazee wa...... Hujatupia tena mzee.
UJINGA NI KIPAJI.
WYDAD ITAKUSAIDIA NINI MAISHANI MWAKO.
FICHA UJINGA
ACHA USHAMBA.
Simba wanapeleka timu nne.
Simba wanatangaza utalii.
Wanaitangaza nchi kisoka.
Wanalipa Kodi, Taifa nk.
Hiyo timu YENU msemaji ALISEMA wenye akili ni wani simba anakusaidia nn wewe na familia yako
Mimi timu yangu ni Mamelody Sundown
Mapaka FC, wazee wa NGADA, Makolokocho FC wapigwe wapotee kabisaa wachawi hawaWaaaaaarabuuuuuuu[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]
Wameingia cha kike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tarehe 28/04/2023 saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki pale jijini Casablanca tunaenda kuwaangamiza hawa Mikia/Makolokolo/Mbumbumbu/Kinyumenyume bao za kutosha.
Nasemaje, wapigweee mpaka wachakae, maana hakuna namna.
Mtanii nna pressure mwenzioAma kweli usiku wa deni haukawiii kukucha.
Dj waleteeee waleteeeee. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Cc. Mtani cocastic.
FT
Wydad Athletic Club 1 : 2 Simba SC
Hamtoamini macho yenu Mbwa nyinyi.
Hahahaa! Pole sana Mtani.Mtanii nna pressure mwenzio
Yaan leo naumwa km siumwi, siumwi km naumwa
Niombee kwa kweliii,
Watu wamenipaniaa leo, tukitolewa sijui nitakua na hali ganiii uwiiiih
Nataman kulia, natamani kuchekaa. Tafrani tupuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]