Wydad Casablanca Fans Tukutane hapa

Wydad Casablanca Fans Tukutane hapa

UJINGA NI KIPAJI.

WYDAD ITAKUSAIDIA NINI MAISHANI MWAKO.

FICHA UJINGA
ACHA USHAMBA.

Simba wanapeleka timu nne.
Simba wanatangaza utalii.
Wanaitangaza nchi kisoka.
Wanalipa Kodi, Taifa nk.

Hiyo timu YENU msemaji ALISEMA wenye akili ni wani simba anakusaidia nn wewe na familia yako
 
49ecc00c0abc4887a8efc267ffa8e44e.jpg
 
Waaaaaarabuuuuuuu[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]
Wameingia cha kike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tarehe 28/04/2023 saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki pale jijini Casablanca tunaenda kuwaangamiza hawa Mikia/Makolokolo/Mbumbumbu/Kinyumenyume bao za kutosha.

Nasemaje, wapigweee mpaka wachakae, maana hakuna namna.
Mapaka FC, wazee wa NGADA, Makolokocho FC wapigwe wapotee kabisaa wachawi hawa
 
Ama kweli usiku wa deni haukawiii kukucha.

Dj waleteeee waleteeeee. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Cc. Mtani cocastic.
Mtanii nna pressure mwenzio
Yaan leo naumwa km siumwi, siumwi km naumwa
Niombee kwa kweliii,

Watu wamenipaniaa leo, tukitolewa sijui nitakua na hali ganiii uwiiiih

Nataman kulia, natamani kuchekaa. Tafrani tupuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema hizi Nyuzi huwa zinatuumbua Sana pande zote mbili , tunachofikiliaga huwa kinakuja tofauti Sana, tuweke na akiba ya maneno.

Liwalo na liwe miaka mia siwezi mtakika mema SIMBA AFUNGWE TU, wakishinda kejeli kibao wapigweee mikia.
 
Mnyama hatishiki kihivyo... Tunasubiri ushindi tena sio maajabu.
 
Mtanii nna pressure mwenzio
Yaan leo naumwa km siumwi, siumwi km naumwa
Niombee kwa kweliii,

Watu wamenipaniaa leo, tukitolewa sijui nitakua na hali ganiii uwiiiih

Nataman kulia, natamani kuchekaa. Tafrani tupuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa! Pole sana Mtani.

Huo ndio mwanzo wa kesho kujifungia ndani. 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom