The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
- Thread starter
-
- #81
Nilikua nae but tumeachana tayari.Una jamaa mpya?!
Mwache akikutafuta umwelezeNimemuacha but nashangazwa na tabia za kitoto za namna hii, mtu mzima lazima ujue kusema nataka ili na lile kama huwezi kunyoosha maelezo alaf unanuna tu, ni tatizo
Nilikua nae but tumeachana tayari.
Sijapata kuona mahusiano kama haya, mbona mapenzi yenu yana masharti?Katika ugomvi wetu miiko yetu ni kwamba hakuna kuhusisha ndugu zetu kujua kuwa tumekorofishana au kufanya jambo ambalo litawafanya wao wahisi. Mfano mzigo akiniambia niwape ye atajua atawaambia nn na mi nitawapa bt nikitoa bila ye kujua nampa ndugu yake itakua shida so kama mwenyewe hautaki basi nitaacha kabatini hadi atakapojisikia kumuomba mtu amchukulie.
Sasa si umblock tu kama humtaki tena?..unamuonea huruma ya nini?Ye ndiye msumbufu, hana misimamo. Kama akiamua tuwe na ugomvi forever mi sina tatizo, akiamua tuchukuliane kama marafiki wa kawaida sana naona sawa but shida anataka special care kama nilivyomcare akiwa my boyfriend. Nikikataa ananuna, nikimchunia anakunywa pombe ananitafuta, mi na yeye nani msumbufu!
Kwanini mmeachana?Nilikua nae but tumeachana tayari.
TrueNa kisa cha kuachana inaweza kuwa ni huyo jamaa wa zamani.
Ukiachana na mtu kama kweli unataka kuendelea na maisha yako vzr ni lazima ukate nae mawasiliano kbs la sivyo maosha yako ya mapenzi yatakuwa mabaya na x ataendelea kukubandua tu pale unapokuwa na hamu za kupasuliwa
Mwezi huu ajisemee zesh mapenzi yametamalaki humu jf...full vilioUnaomba ushauri au unatupa story?
Mapenzi au heartbreaks? Watu wanaliaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwezi huu ajisemee zesh mapenzi yametamalaki humu jf...full vilio
Nimeshangaa sana...yaan ukigeuka kule kilio ukija huku kilio khaa...pole zao aseeMapenzi au heartbreaks? Watu wanaliaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyu kilio chake hakina mashiko. Bora cha da GireNimeshangaa sana...yaan ukigeuka kule kilio ukija huku kilio khaa...pole zao asee
Cha huyu cha kujitakia...hata cha giree sio kiviile ni hasira tuu!Ila huyu kilio chake hakina mashiko. Bora cha da Gire
[emoji38] [emoji38] [emoji38]We mkorofi..haha
Ni wapi ninesema n vitaMapenzi siyo vita wewe binti.
Kwani huwa mnakutana njiani. Maana mimi sijawahigi kukutana na ex wangu hata mmoja. Iwe electronically au physically.