X ameninunia!!!

X ameninunia!!!

Nilikua nae but tumeachana tayari.

Na kisa cha kuachana inaweza kuwa ni huyo jamaa wa zamani.

Ukiachana na mtu kama kweli unataka kuendelea na maisha yako vzr ni lazima ukate nae mawasiliano kbs la sivyo maosha yako ya mapenzi yatakuwa mabaya na x ataendelea kukubandua tu pale unapokuwa na hamu za kupasuliwa
 
Katika ugomvi wetu miiko yetu ni kwamba hakuna kuhusisha ndugu zetu kujua kuwa tumekorofishana au kufanya jambo ambalo litawafanya wao wahisi. Mfano mzigo akiniambia niwape ye atajua atawaambia nn na mi nitawapa bt nikitoa bila ye kujua nampa ndugu yake itakua shida so kama mwenyewe hautaki basi nitaacha kabatini hadi atakapojisikia kumuomba mtu amchukulie.
Sijapata kuona mahusiano kama haya, mbona mapenzi yenu yana masharti?

Chinekeee!
 
Ye ndiye msumbufu, hana misimamo. Kama akiamua tuwe na ugomvi forever mi sina tatizo, akiamua tuchukuliane kama marafiki wa kawaida sana naona sawa but shida anataka special care kama nilivyomcare akiwa my boyfriend. Nikikataa ananuna, nikimchunia anakunywa pombe ananitafuta, mi na yeye nani msumbufu!
Sasa si umblock tu kama humtaki tena?..unamuonea huruma ya nini?
 
Na kisa cha kuachana inaweza kuwa ni huyo jamaa wa zamani.

Ukiachana na mtu kama kweli unataka kuendelea na maisha yako vzr ni lazima ukate nae mawasiliano kbs la sivyo maosha yako ya mapenzi yatakuwa mabaya na x ataendelea kukubandua tu pale unapokuwa na hamu za kupasuliwa
True
 
Endelea na unachofanya, kitu kizuri sana.....
 
sasa ww si ndo huna kazi kama mzigo wake weka store kwanza upo mkoa gani huenda unateseka bure tu
 
Mhuni kakuachia mzigo wake halafu hapokei simu siku akiufata kwako saa 6 usiku kwamba ana umuhimu nao sana, na kashatengeneza mazingira ya story nina uhakika atakukula hiyo siku!..
Kuna jamaa yangu alimkopa msichana wangu siku ya kumlipa akamuomba aifate hela kwake eti anasubiri wageni hawezi toka, aliponieleza tu nikamjibu short "kuna tpesa, mpesa etc aiweke, ukienda umeliwa!"..
Sisi wanaume hatuishiwi mbinu kwakweli!!..
 
Back
Top Bottom