Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko kwenye njia moja,me na ww
Unaanzaje kufanya mazoea na mtu ambae mmeachana kimapenzi iweje kwa mfano
Archduke ninejisikia kukutag hunie utie neno hahaha
Sawa. Mnaanzaje anzaje sasa?I'm one of them.. sio kuonana tu na KUKULANA kabisa..na some mpaka kuoana..
pia wengine huwa marafiki wa kawaida tu just because of jf...
cc Smart911
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu una hatari wewe! Silaha ya nyukliaHuyo jamaa hakuoi wewe wala huyo demu wake mpya, kiufupi jamaa ni muhuni tu, na hiyo mbinu ya kukuchunia ndio huwa mbinu yetu ya mwisho ambayo hakuna kiumbe cha kike kinaweza kuruka hiyo, kama ni salaha basi jamaa hapo kavuta silaha ya nyuklia, na kadri utakavyoendelea kushangaa anavyokuchunia ndo jamaa anafurahi hapo.
Thanx dia.
Mimi niko hivi, yan tumeachana hutakaa ukaona text wala sim yangu wala ya mtu wangu yiyote wa karibu ambae mlikua mnafahamiana kupitia mimi labda itokee walikua wana ishu zao huko watajuana wenyewe, kuna mmoja akawa ananambia meachana kwa wema why mchukiane hasira za nn namwambia hakuna hasira lakini nahitaji space sitaki tena kuona ex ana pop up in my life again, haipendez usha move on unaanza tena kurudisha majeshi kwa ex unajidrag low labda iwe tumebahatika kupata mtoto na anatekeleza mahitaj kwa mtoto wake hapo naweza kukutafta ikiwa kuna shida hivi hivi siwez kabisaTatizo wengine wanatake hayo mazoea for granted... mshaachana Ile kutaka labda kuwa marafiki wa kawaida tu mtu analeta zakuleta za kutaka kukumbushia.. mimi nilishindwaga hapo tu mpaka waleo sitaki mazoea kabisa... wakati huo mtu ushamove on.. una mtu wako tayari.. uanze kujichanganya na ma ex.. HAPANA HAPANA
cc Smart911
Mimi niko hivi, yan tumeachana hutakaa ukaona text wala sim yangu wala ya mtu wangu yiyote wa karibu ambae mlikua mnafahamiana kupitia mimi labda itokee walikua wana ishu zao huko watajuana wenyewe, kuna mmoja akawa ananambia meachana kwa wema why mchukiane hasira za nn namwambia hakuna hasira lakini nahitaji space sitaki tena kuona ex ana pop up in my life again, haipendez usha move on unaanza tena kurudisha majeshi kwa ex unajidrag low labda iwe tumebahatika kupata mtoto na anatekeleza mahitaj kwa mtoto wake hapo naweza kukutafta ikiwa kuna shida hivi hivi siwez kabisa
Sjazoea kuomba, na siwez kuomba, mimi hua nasema na shida zangu, ukiacha kuendekeza shida na starehe wengine ni kutojua thamani yake,Tatizo wengine wanaendekeza sana shida na maisha ya starehe ndomana kama ex wake alikuwa vizuri ful kutaka kujirudisha rudisha .. mimi hata mtu aweje tukishaachana sinaga mambo ya kuomba omba. NEVER. As long as bora uzima maisha ni matokeo... haaaaaaaa Sina vya kushobokea ex
cc Smart911