lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
- Thread starter
-
- #41
Tubular Tyre Vs Tubeless Tyre
- Tairi yenye tube ni aina ya tairi ambayo upepo hujazwa kupitia kitundu maalum cha tube ambacho kimeunganishwa na hiyo tube ambayo hukaa katikati ya tairi la nje na rim wakati Tairi isiyo na tube yenyewe haina tube so upepo hukaa katikati ya rim na tairi yenyewe.
- Tairi ya tube yenyewe pancha yake hutokea kwa haraka upepo huisha fasta sana na wakat mwingine huweza poteza balance kwa dereva akiwa kwenye mwendo wakat Tairi isiyo na tube yenyewe pancha ikitokea upepo hutoka taratibu na humsaidia dereva kusimama kwa urahisi zaidi.
- Tairi ya tube yenyewe ni nzito wakat Tairi isiyo na tube ni nyepesi.
- Tairi ya tube haina gharama ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe ipo juu kwenye gharama ya manunuzi.
- Tairi ya tube yenyewe gharama ya kuitunza ipo juu mfano pancha hutokea mara kwa mara wakati mwingine sio lazima kitu cha ncha kichome ule tu msuguano wa tair na rim tube hupata tabu sana na mwishowe huvujisha hewa ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe pancha hutokea mara chache zaid.
- Tairi ya tube haiko comfortable kuna wakati mwingine unakuta ile pressure ya tairi haipo sawa tairi nzima inapishana ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe ipo comfortable zaid na hata kwenye speed kali chombo cha moto kinakuwa kipo stable kutokana na ile faida yake ya tairi nzima kujaa upepo na ndiyo maana huwezi kuta mfano gari za formula one zinatumia Tairi ya tube .
- Tairi ya tube hutumika na vyombo vichache vya usafir ukilinganisha na Tairi isiyo na tube.
- Tairi ya tube kwa vile nzito hivyo mafuta huongezeka kidogo kutumika tofauti na Tairi isiyo na tube yenyewe kwa vile nyepesi basi mafuta huenda kidogo.
- Tairi la tube huchukua muda mrefu sana kuziba pancha mpaka utoe tube ya ndani uanze kutafuta pancha tofauti na Tairi isiyo na tube yenyewe huchukua muda mchache kuziba pancha na ni fasta tu ukishaiona unatumia ile gundi yake ya kuzibia basi umemaliza.
- Tairi yenye tube ni aina ya tairi ambayo upepo hujazwa kupitia kitundu maalum cha tube ambacho kimeunganishwa na hiyo tube ambayo hukaa katikati ya tairi la nje na rim wakati Tairi isiyo na tube yenyewe haina tube so upepo hukaa katikati ya rim na tairi yenyewe.
- Tairi ya tube yenyewe pancha yake hutokea kwa haraka upepo huisha fasta sana na wakat mwingine huweza poteza balance kwa dereva akiwa kwenye mwendo wakat Tairi isiyo na tube yenyewe pancha ikitokea upepo hutoka taratibu na humsaidia dereva kusimama kwa urahisi zaidi.
- Tairi ya tube yenyewe ni nzito wakat Tairi isiyo na tube ni nyepesi.
- Tairi ya tube haina gharama ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe ipo juu kwenye gharama ya manunuzi.
- Tairi ya tube yenyewe gharama ya kuitunza ipo juu mfano pancha hutokea mara kwa mara wakati mwingine sio lazima kitu cha ncha kichome ule tu msuguano wa tair na rim tube hupata tabu sana na mwishowe huvujisha hewa ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe pancha hutokea mara chache zaid.
- Tairi ya tube haiko comfortable kuna wakati mwingine unakuta ile pressure ya tairi haipo sawa tairi nzima inapishana ukilinganisha na Tairi isiyo na tube yenyewe ipo comfortable zaid na hata kwenye speed kali chombo cha moto kinakuwa kipo stable kutokana na ile faida yake ya tairi nzima kujaa upepo na ndiyo maana huwezi kuta mfano gari za formula one zinatumia Tairi ya tube .
- Tairi ya tube hutumika na vyombo vichache vya usafir ukilinganisha na Tairi isiyo na tube.
- Tairi ya tube kwa vile nzito hivyo mafuta huongezeka kidogo kutumika tofauti na Tairi isiyo na tube yenyewe kwa vile nyepesi basi mafuta huenda kidogo.
- Tairi la tube huchukua muda mrefu sana kuziba pancha mpaka utoe tube ya ndani uanze kutafuta pancha tofauti na Tairi isiyo na tube yenyewe huchukua muda mchache kuziba pancha na ni fasta tu ukishaiona unatumia ile gundi yake ya kuzibia basi umemaliza.