X wangu anataka turudiane ila mimi ni mwanaume mwenye msimamo sana

X wangu anataka turudiane ila mimi ni mwanaume mwenye msimamo sana

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau habari za muda huu poleni na majukumu na Mungu awabariki katika kazi zenu za mikono.

Twende kwenye mada moja kwa moja, kuna mwanamke mmoja mwenye miaka 34 hivi, hajaolewa, mtoto wa Kikurya, tulikutana naye nikamtumia rafiki yake kumtongoza kama utani tuu akakubali.

Basi tukawa wapenzi kama miezi sita tuakaachana na sababu ni yeye alikuwa mkorofi sana, si mnawajua Wakurya nikaona mambo yasiwe mengi kila mtu na hamsini zake nikamblock na namba.

Sasa kinachonikera ni kila siku anatumia namba mpya turudiane mimi nimemkazia zaidi ya mwaka. Eti wadau njia gani nzuri yakukata mawasiliano hata nisione text yake au nibadili laini maana alinikera sana.

Naombeni ushauri wenu mzuri matusi sitaki, feminist nawakaribisha.
 
Kama una msimamo basiusimblock, akikutafuta msikilize halafu endelea na msimamo
 
Wadau habari za muda huu poleni na majukumu na Mungu awabariki katika kazi zenu za mikono.

Twende kwenye mada moja kwa moja kuna mwanamke mmoja mwenye miaka 34 hivi ajaolewa mtoto wa kikuria tulikutana nae hivi nikamtumia rafiki yake kumtongoza kama utani tuu akakubali.

Basi tukawa wapenzi kama miezi sita tuakaachana na sababu ni yeye alikuwa mkorofi sana sii mnawajua wakuria nikaona mambo yasiwe mengi kila mtuu na hamming zake nikamblock na namba.

Sasa kinachonikera ni kila siku anatumia namba mpya turudiane mimi nimemkazia zaidi ya mwaka eti wadau njia gani nzuri yakukata mawasiliano hata nisione text yake au nibadili laini maana alinikera sana.

Naombeni ushauri wenu mzuri matusi sitaki feminist nawakaribisha
Huna msimamo, ungekuwa na msimamo husinge omba ushauri wala kufungua thread.Kwa kifupi bado unampenda.
 
Mpaka kuleta huu uzi tayari msimamo hauna

Unatuomba ushauri na sisi tunakushauri urudiane nae
Wengi wape

Haya pasha kiporo haraka sana
 
Mimi wako pending kama watatu nawachora tu ila formula ya kuishi na x anayetaka mrudiane usimtafute wewe akikupigia ongea nae sms mjibu simple like that ila ww usimtafute hata siku moja mimi nishawablock mpaka basi ila mwisho wa siku nikaona utumwa ndo naishi nao kwa style hyo
 
Mwanaume hautakiwi kublock namba definition yake ni uoga, Jiamini deal na huyo X bila kumkimbia

Kama wewe ni mwanaume na una block namba jua ni dhaifu sana, jichunguze utakuta una tabia ya kukimbia matatizo badala ya kusolve them
 
au nibadili laini maana alinikera sana.
Kama laini inakuingizia pesa usibadili kwa sababu ya mtu yeyote yule. Mwambie huna haja naye tena kwa sasa na kama akiendelea mjulishe kuwa utaomba msaada wa Polisi. Anaweza kukuua huyo mwanamke.
 
Ila threads zingine bhna😀😀.
Anyway, mkuu mkubalie tu amejirekebisha sasaivi hatakuvunja moyo tu bali atavunja na miguu na mikono.
 
Wadau habari za muda huu poleni na majukumu na Mungu awabariki katika kazi zenu za mikono.

Twende kwenye mada moja kwa moja, kuna mwanamke mmoja mwenye miaka 34 hivi, hajaolewa, mtoto wa Kikurya, tulikutana naye nikamtumia rafiki yake kumtongoza kama utani tuu akakubali.

Basi tukawa wapenzi kama miezi sita tuakaachana na sababu ni yeye alikuwa mkorofi sana, si mnawajua Wakurya nikaona mambo yasiwe mengi kila mtu na hamsini zake nikamblock na namba.

Sasa kinachonikera ni kila siku anatumia namba mpya turudiane mimi nimemkazia zaidi ya mwaka. Eti wadau njia gani nzuri yakukata mawasiliano hata nisione text yake au nibadili laini maana alinikera sana.

Naombeni ushauri wenu mzuri matusi sitaki, feminist nawakaribisha.
Hivi polisi wanasaka panyaroad kumbe wako huku 'JF wamejificha!!?
 
Mwanaume mwenye msimamo anaomba ushauri OK sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau habari za muda huu poleni na majukumu na Mungu awabariki katika kazi zenu za mikono.

Twende kwenye mada moja kwa moja, kuna mwanamke mmoja mwenye miaka 34 hivi, hajaolewa, mtoto wa Kikurya, tulikutana naye nikamtumia rafiki yake kumtongoza kama utani tuu akakubali.

Basi tukawa wapenzi kama miezi sita tuakaachana na sababu ni yeye alikuwa mkorofi sana, si mnawajua Wakurya nikaona mambo yasiwe mengi kila mtu na hamsini zake nikamblock na namba.

Sasa kinachonikera ni kila siku anatumia namba mpya turudiane mimi nimemkazia zaidi ya mwaka. Eti wadau njia gani nzuri yakukata mawasiliano hata nisione text yake au nibadili laini maana alinikera sana.

Naombeni ushauri wenu mzuri matusi sitaki, feminist nawakaribisha.
We unamtaka? Maana unasema unamkazia tu, ipo siku utalegea. Shauri lako
 
Social proof inavowala watu na kuwafanya wakose maamuzi binafsi.
Braza amini mawazo yk vinginevyo Mkurya arudi kilingeni😂
 
mnaosema jamaa hana msimamo kuleta huu uzi hamjui maana ya mapenzi, Kuachana na mtu hakufanyi usimpende ila ni kutumia akili kuzipuuza zile hisia, So lazima kunakuwa na kale kaudhaifu fulani ka kujiuliza usamehe au usisamehe jambo ambalo linakufanya either umuonee huruma au uone kero, So ku-fix situation kama hiyo ili kuondoa huo utata ni kuamua kusamehe au kukata mawasiliano kabisa.... ila still upendo unakuwepo that's why kupasha kiporo kwa Ex na Ex ni kama kumsukuma mlevi.

NOTE: Kinachotutenganisha ni kutokuendana na mienendo kitabia ila upendo haufi wala haukosei.
 
Mambo yake muachie mwenyewe, fanya mambo mengine...
 
Back
Top Bottom