XXI Commonwealth Games Gold Coast 2018: Kenya in the house, with no apologies!!!

XXI Commonwealth Games Gold Coast 2018: Kenya in the house, with no apologies!!!

He!!!!! nilisahau maskini wee!!!! mkimbiaji wetu tegemeo pekee SIMBU kumbe hakwenda anasubiri kwenda kutoana jasho na vigaga wenzake huko london marathon!!!???? mayo wane!!! sijui tutegemee kwenye kuogelea angalau dunia ijue tofauti kati ya" MUNGU IBARIKI AFRIKA".......na..... "NKOSI SIKEL AFRIKA"
Ndugu yangu hapo Simbu 'yimekula kwake', afadhali angefika huko Australia. Huko London Marathon atapatana na wanaume wa kweli. Eliud Kipchoge atakuwepo. Mshindi wa 2017 Daniel Wanjiru atakuwepo pia. Wakenya wameshinda London Marathon mara 12 kati ya 14 zilizopita. Kwenye mbio za wanawake pia wakenya wameshinda mara 5 kati ya 7 zilizopita. Naaaaaaaam!
 
Ndugu yangu hapo Simbu 'yimekula kwake', afadhali angefika huko Australia. Huko London Marathon atapatana na wanaume wa kweli. Eliud Kipchoge atakuwepo. Mshindi wa 2017 Daniel Wanjiru atakuwepo pia. Wakenya wameshinda London Marathon mara 12 kati ya 14 zilizopita. Kwenye mbio za wanawake pia wakenya wameshinda mara 5 kati ya 7 zilizopita. Naaaaaaaam!
Hao wote anawafahamu .....na cha kufurahisha ni kwamba mazoezi wamemwalika anafanya nao siku hizi ......mbinu zote za ushindi wamempatia....... na zaidi wamemshauri asiende commonwealth kupoteza nguvu za bure kwa ni pesa iko London marathon. Sidhani kama wakongwe hao wamempotosha mswahili mwezao na nadhani hawana sababu ya kufanya hivyo kulinganisha na mafanikio yao. Ngoja tusubiri labda kuna kitu wamekiona kutoka kwake
 
Hao wote anawafahamu .....na cha kufurahisha ni kwamba mazoezi wamemwalika anafanya nao siku hizi ......mbinu zote za ushindi wamempatia....... na zaidi wamemshauri asiende commonwealth kupoteza nguvu za bure kwa ni pesa iko London marathon. Sidhani kama wakongwe hao wamempotosha mswahili mwezao na nadhani hawana sababu ya kufanya hivyo kulinganisha na mafanikio yao. Ngoja tusubiri labda kuna kitu wamekiona kutoka kwake
Kama amefanya mazoezi nao basi bila shaka anachongoja ni mazuri tu. All the best to Simbu. Ila wakenya pia tutakuwa na kazi si haba. Mo Farah(Br.) na Kenenisa Bekele(Et.) watakuwapo pia kwenye mbio za London Marathon 2018.
 
Sijui kwanini wengine wanapita kimya kimya wakati ni matayarisho tu? 🙂 Maulana akitujaalia kesho kutwa itatupata hapa hapa. Hapo ndipo Kenya itakapojitosa ulingoni. Kenya tibim! Kenya tialalaaa! 😀
 
Tujulishane bandugu leo naona kuna riadha wanaume M5000 itakuwa saa ngapi za afrika mashariki na channel gani inaonyesha? naona leo lazima Afrika mashariki ianze kuonekana
 
Proud of our sportsmen, Hope the organising commitee does not steal the money meant for accomodation like they did with the olypics and expose these kenyan abassadors to squalid conditions!
be proud of your tz
Why are you so bitter? We are all eastafricans, aren't we? So Yes they are our sportsmen too.
 
Tujulishane bandugu leo naona kuna riadha wanaume M5000 itakuwa saa ngapi za afrika mashariki na channel gani inaonyesha? naona leo lazima Afrika mashariki ianze kuonekana
Mkuu Australia ipo mbele ya East Africa na masaa manane. Athletics events zinaana 8th kwahivyo hiyo ni kutoka saa kumi ya jioni leo. Cheki Kwese Sports. Kama unapata channel za BBC pia utaona 'selected events'.
 
chennel ipi unaonyweshwa hii michezo.
Hongereni kwa kusafirisha wanamichezo 132 sisi bado kwanza.
 
Current Event Hockey Mens Pool A. South Africa Vs. Australia 0:1. Kina Mzansi wanakatika tu kwaito. 😀 Table Tennis Mens Team. Nigeria Vs. Australia. Nawao Naija dey shine shine oooh!
 
chennel ipi unaonyweshwa hii michezo.
Hongereni kwa kusafirisha wanamichezo 132 sisi bado kwanza.
Cheki hapo juu kwenye hiyo link nimekuekea ya Competition Schedule nenda hadi chini kwenye hiyo page utaona live results. Hapo utaona ni michezo ipi inaendelea na utaitazama wapi live. Hiyo ndio official site ya Gold Coast 2018.
 
.....and what is your country top in?
Rugby, Athletics, Cricket- though now mismanaged, football- but not harambee stars, individual players like mariga oliech wanyama etc, Swimming - cant remember the name of that mzungu Mkenya who broke the world record, Motorsport- Ian duncan, the legend patrick njiru, etc.
 
Rugby, Athletics, Cricket- though now mismanaged, football- but not harambee stars, individual players like mariga oliech wanyama etc, Swimming - cant remember the name of that mzungu Mkenya who broke the world record, Motorsport- Ian duncan, the legend patrick njiru, etc.


You're talking about MY country yet I asked you about YOUR country.
 
You're talking about MY country yet I asked you about YOUR country.
Unless you want to give me Citizenship of Some Country which I am Not, I dont know what you are talking about. And Seeing that you neither have that power to grant citizenship nor do I require extra citizenships, I decline the offer
 
Blessing-Okagbare.jpg
Our sister from the west. Blessing Okagbare from Naija just did her thing in the 100metre sprint Heat 2, coming second to qualify for the semis.
 
Back
Top Bottom