XXI Commonwealth Games Gold Coast 2018: Kenya in the house, with no apologies!!!

Unless you want to give me Citizenship of Some Country which I am Not, I dont know what you are talking about. And Seeing that you neither have that power to grant citizenship nor do I require extra citizenships, I decline the offer

HE IS NOT BOARDING 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Yupo dogo mmoja hiv anaitwa failuna nazan 5,000M.nazan ndo atakua tegemeo letu
 
tz now it's our turn
 
Yupo dogo mmoja hiv anaitwa failuna nazan 5,000M.nazan ndo atakua tegemeo letu
Mwaka huu mambo ni magumu sana hata wale jamaa waliozoea kutawala mashindano pamoja na kwenda huko kwa idadi kubwa karibia robotatu ya nchi wakidhani ni medali za kuokota kama miaka ya nyuma wana hali ngumu mpaka sasa wana dhahabu mbili tuu hivyo tusitarajie huyo kinda akafua dafu
 
Proud of our sportsmen, Hope the organising commitee does not steal the money meant for accomodation like they did with the olypics and expose these kenyan abassadors to squalid conditions!

Yale mambo yetu ya DOPING kama kawa!

Hahahaaaaaaaaa..my ribs!
 

even the Becham's know wassup
 
Nyinyi mko na kokoto ama ,
obvous UGANDA ndio wamechukua izo gold zingine tatu na still more races bado
 
kuna kijana wa Uganda,anaitwa CHEPTEGEI...hatariiiii sana
 
Proud of our sportsmen, Hope the organising commitee does not steal the money meant for accomodation like they did with the olypics and expose these kenyan abassadors to squalid conditions!

Yale mambo yetu ya DOPING kama kawa!

Hahahaaaaaaaaa..my ribs!
 
tz now it's our turn
Habari ndo hiyo! Nambari 1,2,3 wote wakenya, kwenye mbio za Steeplechase 3,000m kule Gold Coast, Australia. Mara ya sita sasa, kwa msururu, kwa Commonwealth Games ambapo tumeshikilia 123 kwenye mbio hizo za steeplechase.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…