Ya Adani na Wachina: Hii ndiyo sababu kuu inayofanya Wanasiasa wetu wawachukie Wazungu

Mwafrica siku akifanya jambo lake kwa weledi, haki, umakini, uzalendo na ukweli, dunia itakuwa imekwisha,.kuanzia mtawala mpaka chini.
 
Umeongea kweli mtupu kwa njia rahisi ambao viongozi wengi wa kiafrica hawataki wanaowaongoza waujue , hongera sana mkuu , ninaomba tupate wachangiaji wengi ili tuone tunaweza ondokana na hii kadhia kwa namna gani .
 
Inaongoza katika ukanda huu wa afrika, kwa maana ya afrika mashariki.
Unaposema ukanda wa Africa hapo unamaanisha Africa nzima.

Turudi kwenye hii afrika mashariki. Kivipi tunaongoza kwa tija afrika mashariki? Wewe umejuaje tunaongoza kwa tija? Umesoma reports ukaona hivyo au umejuaje? Hapo ndio nataka nielewe. Naomba reports zinazosema hivyo kutoka chanzo credible
 
Kweli ni uzi wenye maana lakini wabongo -----------------99.99% mazuzu, unfortunately!
Ukiangalia vile vimashine vya kamari --- Waziri wa Fedha anafurahi hajui ule ndiyo wizi wa dollar----
Rais na Waziri wa fedha wanaenda kukopa mkopo China wanapewa denomination kwa pesa ya kichina wao wana-sign watarudisha kwa Dollar ---------- na Mwigulu anachekaa ---- ati ana PhD!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Umeongea kweli mtupu kwa njia rahisi ambao viongozi wengi wa kiafrica hawataki wanaowaongoza waujue , hongera sana mkuu , ninaomba tupate wachangiaji wengi ili tuone tunaweza ondokana na hii kadhia kwa namna gani .
Ukigundua, unadanganywa, unaibiwa, na kutapeliwa na mzungu, mchina, Mhindi, mwarabu na yeyote na bado unawakumbatia, wewe ni maiti inayotembea. Ila mwenye akili na yuko hai atajiondoa katika utumwa huo. Simpendi mweupe yeyote dunia, linapokuja swala la haki, huruma kwa mtu mweusi. Mtu mweusi asipojipambania atabakia punda wa mtu mweupe milele.
 
Mimi siamini moja kwa moja tuhuma hizi. Hata Elon Musk mzungu wa SA, tulianza kusikia amemsaidia Trump kushinda uchaguzi kwa kutumia/hongo kubwa. Kama angeshinda Kamala ungesikia Elon yuko matatani the same to Adani.
 
Mimi siamini moja kwa moja tuhuma hizi. Hata Elon Musk mzungu wa SA, tulianza kusikia amemsaidia Trump kushinda uchaguzi kwa kutumia/hongo kubwa. Kama angeshinda Kamala ungesikia Elon yuko matatani the same to Adani.
Kama Elon Musk katoa Rushwa lazima utakuja kuona anachunguzwa na kufikishwa Mahakamani. Huyo Trump tu ameshachunguzwa mara kadhaa na kufikishwa Mahakamani.

Mtoto wa Joe Biden, Rais wa sasa wa Marekani amechunguzwa na kufikishwa Mahakamani kwa tuhuma kadhaa tena Baba yake akiwa Rais.

Huu ndo utofauti wa wazungu na sisi waafrika.
 
Ushushaji na Upakiaji wa makontena kasi yake imeongezeka, muda wa kuhudumia meli moja umepungua.

Malalamiko ya wateja kuhamia bandari za nchi jirani yamepungua sana, mapato ya TRA yameongezeka sana.

Sio mimi niliyesema kuwa ubora wa kazi umeongezeka, ni gazeti mojawapo maarufu la kingereza linalotoka jijini Dar lilikuja na hiyo habari.
 
Huu ni ukweli mtupu. Uwekezaji kwenye Bandari hasa wa DP World umetunufaisha sana!
 
Huu ni ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…