Ya Adani na Wachina: Hii ndiyo sababu kuu inayofanya Wanasiasa wetu wawachukie Wazungu

Ya Adani na Wachina: Hii ndiyo sababu kuu inayofanya Wanasiasa wetu wawachukie Wazungu

Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana!

Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na kuhakikisha yanaenda bila shida.

Kunyooka huku kwa Mzungu ndiko kumefanya sasa aanze kupoteza sana Africa. Hii ni kwa sababu Viongozi wa Afrika wanapenda sana Rushwa. Kupenda Rushwa kwa Viongozi wa Afrika ndiko kumefanya kwa sasa bara la Africa kuongoza kwa uwekezaji wa Wachina na Wahindi.

Mchina na Mhindi ni watu wanaoamini kuwa ili jambo lake liende lazima atoe Rushwa. Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.

Waendesha Mashtaka wa Marekani kufungua Mashtaka dhidi ya tajiri wa kihindi Adani ni funzo kubwa kwetu kuwekeza kwenye katiba bora inayojenga na inayosimamia mifumo imara. Mifumo isiyotoa nafasi kwa rushwa na kuhakikisha fedha zote za walipakodi zinatumika kwa maendeleo ya wananchi tu na sio kuwanufaisha wachache.

Hapa Tanzania Adani kapewa sehemu ya Bandari yetu. Huwezi sikia hata siku moja PCCB wakifanya uchunguzi. Na kamwe hatutosikia. Hii ni kwa sababu Adani ameingia Tanzania kupitia Ofisi namba moja.

Sio mara ya kwanza kwa mzungu kuonyesha umuhimu wa Mifumo na Taasisi imara kwenye utawala bora. Tanzania tulishawahi rudishiwa chenji yetu ya Rada baada ya Wazungu kugundua kuwa kampuni zao zilitupiga na wakazibana zikarudisha kweli.

Kuna kipindi Bandarini Wazungu waligundua kuna kampuni zao zilitoa Rushwa kupata tenda za kufunga mifumo ya tehama kwenye Bandari yetu. Ila pamoja na Ile kampuni kubanwa nchini mwao hapa kwetu hatujasikia hadi leo wahusika wakifikishwa Mahakamani.

Kusema kweli ili tuendelee tunawahitaji sana Wazungu kuliko hawa wachina na wahindi wanaojenga miradi ya hovyo iliyo chini ya kiwango tena kwa pesa nyingi ambazo zinaenda kutumika kama Rushwa kuwanufaisha wachache.

Najua huu uzi hautapata wachangiaji wengi kwa sababu Watanzania wengi ni mazuzu. Hawaelewi unyeti wa kodi zao na wanawaona wanasiasa kama miungu ambao wanaweza fanya chochote na hela zao bila kuhojiwa au kufanywa chochote.
View attachment 3158628

Ipo siku

Lord denning
Qatar
Tuanze na kufanya mageuzi kwenye jeshi la Polisi na kisha katiba.
 
Tuanze na kufanya mageuzi kwenye jeshi la Polisi na kisha katiba.
Mzizi wa fitna kwenye mabadiliko ya kweli nchini kwetu ni Katiba.

Ndo mana kamwe huwezi wasikia CCM wakiunga mkono mabadiliko au marekebisho ya kweli ya Katiba yetu.
 
Kikubwa umenifurahisha kwa kukiri hayo, naomba Mungu lile pepo la uchawa liwe limeisha milele.
Wewe mkongwe humu unanijua vizuri. Mie ni mmoja kati ya wana JF wachache sana ambao kwenye nyeusi tunasema nyeusi na kwenye nyeupe tunasema nyeupe.

Kuwa kwangu neutral ndo kumenisaidia sana kutoa mawazo huru!
 
Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana!

Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na kuhakikisha yanaenda bila shida.

Kunyooka huku kwa Mzungu ndiko kumefanya sasa aanze kupoteza sana Africa. Hii ni kwa sababu Viongozi wa Afrika wanapenda sana Rushwa. Kupenda Rushwa kwa Viongozi wa Afrika ndiko kumefanya kwa sasa bara la Africa kuongoza kwa uwekezaji wa Wachina na Wahindi.

Mchina na Mhindi ni watu wanaoamini kuwa ili jambo lake liende lazima atoe Rushwa. Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.

Waendesha Mashtaka wa Marekani kufungua Mashtaka dhidi ya tajiri wa kihindi Adani ni funzo kubwa kwetu kuwekeza kwenye katiba bora inayojenga na inayosimamia mifumo imara. Mifumo isiyotoa nafasi kwa rushwa na kuhakikisha fedha zote za walipakodi zinatumika kwa maendeleo ya wananchi tu na sio kuwanufaisha wachache.

Hapa Tanzania Adani kapewa sehemu ya Bandari yetu. Huwezi sikia hata siku moja PCCB wakifanya uchunguzi. Na kamwe hatutosikia. Hii ni kwa sababu Adani ameingia Tanzania kupitia Ofisi namba moja.

Sio mara ya kwanza kwa mzungu kuonyesha umuhimu wa Mifumo na Taasisi imara kwenye utawala bora. Tanzania tulishawahi rudishiwa chenji yetu ya Rada baada ya Wazungu kugundua kuwa kampuni zao zilitupiga na wakazibana zikarudisha kweli.

Kuna kipindi Bandarini Wazungu waligundua kuna kampuni zao zilitoa Rushwa kupata tenda za kufunga mifumo ya tehama kwenye Bandari yetu. Ila pamoja na Ile kampuni kubanwa nchini mwao hapa kwetu hatujasikia hadi leo wahusika wakifikishwa Mahakamani.

Kusema kweli ili tuendelee tunawahitaji sana Wazungu kuliko hawa wachina na wahindi wanaojenga miradi ya hovyo iliyo chini ya kiwango tena kwa pesa nyingi ambazo zinaenda kutumika kama Rushwa kuwanufaisha wachache.

Najua huu uzi hautapata wachangiaji wengi kwa sababu Watanzania wengi ni mazuzu. Hawaelewi unyeti wa kodi zao na wanawaona wanasiasa kama miungu ambao wanaweza fanya chochote na hela zao bila kuhojiwa au kufanywa chochote.
View attachment 3158628

Ipo siku

Lord denning
Qatar
Aibu kubwa sasa hili jambazi limefurushwa Kenya na US wanalitafuta walitie kwenye nyavu halafu huyu air hostes analirembulia! Watz acheni utani 2025 tufanye maamuzi ya kutoingia tena mkenge
 
Adani hakuna.sehemu.aliyowekeza hajatuhumiwa kwa dhuluma na rushwa ni muhuni kama.wahuni.wa.kichina hawa.waliojaa hapa.

Huwa najiuliza kwanini nchi zingine.zinapata.investor kutoka continental.europe ila sisi tunapata.wachina hawana.utu. adabu. Hawalipi wafanyalazi hela.nzuri wapo wapo tuu na bado tunawakumbatia.

Huwezi kwenda Rwanda ukasikia mchina ana kiwanda cha misumari itasikia mspain. Mtaliani au mfaransa
Mmna huo uwezo wa kupokea uwekezaji wa DJI, BYD,NIO,HUAWEI ?
 
Hawatupangii siasa zetu,manake haya wahusu muauane,muchinjane,muibiane wao wanachojua wamepiga dili lao.

Wazungu ni race inayo jitambua na wataka woye tujitambue jambo ambalo viongozi wa afrika hawapendezwi nalo.
Hatutaki mtu aje atuelekeza namna yatupasa sisi kujiongoza kwa sababu sisi hatufanyi hivyo kwao.
 
Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.
Hahahaa.....waambie waambie
 
Hatutaki mtu aje atuelekeza namna yatupa sisi kujiongoza kwa sababu sisi hatufanyi hivyo kwao.
Majizi wanapenda sana.....afrika hawawezi kwenda na Uadilifu wa Mzungu. Ni majizi yoote.
 
Nazishangaa sana nchi za kiafrika zinavyojipendekeza kwa China na India. Hakuna watu wanyonyaji, wahuni na wenye roho mbaya kama hao watu.
Nchi za kiafrika zimeendelea kuingia mtego kwa hao maskini waliyojipata yaani China na India. Afrika tutaendelea kuwa maskini hadi kiyama
Nyie ni masikini kwa ni mapumbavu hamna akili hata punje kwa nini hao China wasiwe masikini kama nyie ? takataka
 
Tawala nyingi sana za kiAfrika zimegubikwa na masuala ya rushwa na ufisadi, hivyo kwao suala la Uwazi ni adui mkubwa sana.
Uwazi mara nyingi sana huwa unafichua Uovu, hivyo watawala wa Afrika wanapiga vita kubwa sana kuhusu suala hili la Uwazi.
Ukijifanya muwazi unapigwa shaba mchana kweupe.

Utasingiziwa umevujisha siri za sirikali
 
Nyie ni masikini kwa ni mapumbavu hamna akili hata punje kwa nini hao China wasiwe masikini kama nyie ? takataka
Mchina ni mtu mbaya sana. Na utajiri wake wote nitaji3 amefanya miradi Gani ya kufadhili Huduma za Jamii?

Ukiachana na vitenda vya rushwa vya barabara mbovu.
 
Majizi wanapenda sana.....afrika hawawezi kwenda na Uadilifu wa Mzungu. Ni majizi yoote.
Uadilifu unaujua wewe au unaropoka tu ? Madili ya wazungu kwenye migodi yanayoleta kelele unayajua au akili zako zimekariri wachina na wahindi tu.

Hakuna mtu wa nje atakuonea huruma wewe mwafrika mpumbavu usie kuwa na akili hata punje
 
Uadilifu unaujua wewe au unaropoka tu ? Madili ya wazungu kwenye migodi yanayoleta kelele unayajua au akili zako zimekariri wachina na wahindi tu.

Hakuna mtu wa nje atakuonea huruma wewe mwafrika mpumbavu usie kuwa na akili hata punje
Mwafrika ni mtu wa hovyo....hata umtetee namna gani
 
Mchina ni mtu mbaya sana. Na utajiri wake wote nitaji3 amefanya miradi Gani ya kufadhili Huduma za Jamii?

Ukiachana na vitenda vya rushwa vya barabara mbovu.
Wewe ni kichaa unapenda vitu vya kufadhiliwa kama mlemavu badala ya kufanya kazi.

Hao wachina wanefadhiliwa na nani maendeleo yao ? Unapenda vya bure bure as if hamna mikono wala miguu ? Vya bure vina gharama dogo kaza

Reli yao mpaka leo haumjawalipa pesa yao toka miaka ya 70 mnapaswa mjifunze kuthamini kazi na pesa kama wachina acheni kuleta utani kwenye vitu serious hakuna mjinga atakayekuja kuwajengea nchi for free Fala kabisa
 
Hakuna mwekezaji wa maana kutoka china, uarabuni wala India. Hao watu wamepata bahati ya kuwa na hela ila hawana tofauti na ngozi nyeusi kwa wizi, ubinafsi, unyonyaji na roho mbaya.
Wewe mjinga sana unakipi cha kujifananisha nao hamna akili
 
Back
Top Bottom