Ya Ally Hapi yaendelee kuwakumbusha vijana, madaraka ni koti la kuazima

Hivi kwanza Heri James yuko wapi?
 
Pamona na hayo!.

Happy hapo alipo anaenda kusimamia mamiradi yake na kamwe hutakutana nae mkiwa mmeshika bomba za kwenye daladala
Alishindwa kusimamia mamiradi akiwa RC?😀😀
 
Ujumbe wa mwandishi umekugusa sana. Pole
 
Koti la kuazima halina noma yeyote.

Ulaya ukiwa na shughuli maalum unaenda ku renti taxedo, koti la kuazima.

Koti likiwa la kwako mwenyewe ukawa unalirudia rudia pia ni umbwiga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…