Ya bandari yakiendelea, TRA wamepoa, wafanyabiashara sasa tunanyanyaswa na zima moto

Ya bandari yakiendelea, TRA wamepoa, wafanyabiashara sasa tunanyanyaswa na zima moto

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Huo mkwara wao asikwambie mtu, wanavamia dukani kwako kama vile wanatafuta muuaji, haya ukiwauliza kulikoni? Eti wanasema tunadai malipo ya control ya fire, sasa shilingi ngapi? Bei inaanzia 30,000/= mpaka 1,000,000/= kutegemeana na biashara.

Tena inaanzia tangu siku ulipojisajili tin number hata kama ndio umeanza biashara juzi tu unapigwa na mifaini kibao.

Wafanyabiashara tunaonewa sana nchi hii.

Naomba tulianzishe tena labda ndio wataelewa
 
Aliyesema serikali imefilisika alijua the inner-most info na sasa moshi unafuka
Na moto karibu utawaka, si kwa kutuibia namna hii, yaani wakiona kigoli tu mtu unatafta rizki wanaangalia tin na wanakuchapa faini tangu ulipopata tin wakati pengine ulichukua tin kwa ajili ya kulipia malipo ya serikali tu, mimi nadhani waangalie leseni ya biashara badala ya tin
 
Siku ukiunguliwa ndio utaelewa
Kwamba hiki kimtungi ndio kizime moto?
Au kwamba hizo faini wanazokusanya ndio watazimia moto? Mara ngapi tumesikia wanafika kwenye tukio watu wameshazima?
 
Bandarini wale na mifukoni mwetu pia wanazitaka, sasa tunatokea wapi?
Mgomo kama ule utafaa?
 
Huo mkwara wao asikwambie mtu, wanavamia dukani kwako kama vile wanatafuta muuaji, haya ukiwauliza kulikoni? Eti wanasema tunadai malipo ya control ya fire...
Kwanini fire wanataka hela nyingi hivyo zinaenda kufanya nini
 
Huo mkwara wao asikwambie mtu, wanavamia dukani kwako kama vile wanatafuta muuaji, haya ukiwauliza kulikoni? Eti wanasema tunadai malipo ya control ya fire, sasa shilingi ngapi? Bei inaanzia 30,000/= mpaka 1,000,000/= kutegemeana na biashara.

Tena inaanzia tangu siku ulipojisajili tin number hata kama ndio umeanza biashara juzi tu unapigwa na mifaini kibao.

Wafanyabiashara tunaonewa sana nchi hii.

Naomba tulianzishe tena labda ndio wataelewa
umwanzishie nani, ukishindwa biashara kafunge hakuna aliyekulazimisha kufanya hiyo kazi. Mmezidi kukwepa malipo halali ya serikali. Hata fire ambayo ipo kwa faida yenu hamtaki kulipia? Safari hivyo vibiashara vyenu vya magendo vitafungwa tuone km mtaweza uwizi
 
k
Na moto karibu utawaka, si kwa kutuibia namna hii, yaani wakiona kigoli tu mtu unatafta rizki wanaangalia tin na wanakuchapa faini tangu ulipopata tin wakati pengine ulichukua tin kwa ajili ya kulipia malipo ya serikali tu, mimi nadhani waangalie leseni ya biashara badala ya tin
Kalipeni kodi nyang'au nyie, umamtishia nani kufunga shughuli zako? Wengi wenu wajingawajinga, hamjasoma, walamishi, wezi, washirikina na kila aina ya uchafu. Fungeni leseni mtachukulia Burundi
 
k

Kalipeni kodi nyang'au nyie, umamtishia nani kufunga shughuli zako? Wengi wenu wajingawajinga, hamjasoma, walamishi, wezi, washirikina na kila aina ya uchafu. Fungeni leseni mtachukulia Burundi
Utakuwa zima moto wewe sio bure
 
umwanzishie nani, ukishindwa biashara kafunge hakuna aliyekulazimisha kufanya hiyo kazi. Mmezidi kukwepa malipo halali ya serikali. Hata fire ambayo ipo kwa faida yenu hamtaki kulipia? Safari hivyo vibiashara vyenu vya magendo vitafungwa tuone km mtaweza uwizi
Alishindwa magu ndio awe huyu?

Halafu wewe unaonekana mchawi wewe
Unafkiri wafanyabiashara wakiamua
Mtakimbilia wapi?
 
Kuna zima moto kapanick huku, anaiogopa jf anajua rushwa inaenda kuzibwa
Wala rushwa wakubwa nyie, kazi kupita madukani kutisha watu na safari hii mkija tena kwangu nakata mtu shingo ngrx*#we pori nyie
 
k

Kalipeni kodi nyang'au nyie, umamtishia nani kufunga shughuli zako? Wengi wenu wajingawajinga, hamjasoma, walamishi, wezi, washirikina na kila aina ya uchafu. Fungeni leseni mtachukulia Burundi
umepanic sana, cool down mkuu
 
@umojawawafanyabiashara
Njoeni huku, serikali inatumia njia mbadala
 
Huo mkwara wao asikwambie mtu, wanavamia dukani kwako kama vile wanatafuta muuaji, haya ukiwauliza kulikoni? Eti wanasema tunadai malipo ya control ya fire, sasa shilingi ngapi? Bei inaanzia 30,000/= mpaka 1,000,000/= kutegemeana na biashara.

Tena inaanzia tangu siku ulipojisajili tin number hata kama ndio umeanza biashara juzi tu unapigwa na mifaini kibao.

Wafanyabiashara tunaonewa sana nchi hii.

Naomba tulianzishe tena labda ndio wataelewa
Kuna uwezekano mkubwa sana nchi imechanganyikiwa

Ukiwa na mgeni anaweza dhania ndio Rais anaunda Serikali mpya kumbe tunakaribia uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom