pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #21
Kabisa kabisa, yaani kila idara ni kukusanya pesa tu, kinachoudhi na kukera ni vitisho na ukihoji kidogo wanakutandika na fainiKuna uwezekano mkubwa sana nchi imechanganyikiwa
Ukiwa na mgeni anaweza dhania ndio Rais anaunda Serikali mpya kumbe tunakaribia uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni 💯% na usipopeleka unaonekana hufai kazi, so chanzo ni mabosiila tusiwalamu na wao wana peleka hesabu kwa mabosi zao kama daladala
Sai...! Hayo maneno yako ya kejeli na kisomo vhako kimekusaidia nini zaidi ya hicho kimshahara chako kilichojaa madeni pimbi wewe!k
Kalipeni kodi nyang'au nyie, umamtishia nani kufunga shughuli zako? Wengi wenu wajingawajinga, hamjasoma, walamishi, wezi, washirikina na kila aina ya uchafu. Fungeni leseni mtachukulia Burundi
Halafu ukute yupo kijijini huko sweka kabisaSai...! Hayo maneno yako ya kejeli na kisomo vhako kimekusaidia nini zaidi ya hicho kimshahara chako kilichojaa madeni pimbi wewe!
Well Said PyeHalafu ukute yupo kijijini huko sweka kabisa
Hajui hata kinachoendelea😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lipa Kodi. Mama anaupiga mwingiNa moto karibu utawaka, si kwa kutuibia namna hii, yaani wakiona kigoli tu mtu unatafta rizki wanaangalia tin na wanakuchapa faini tangu ulipopata tin wakati pengine ulichukua tin kwa ajili ya kulipia malipo ya serikali tu, mimi nadhani waangalie leseni ya biashara badala ya tin
Unajua huwa siwaelewi wabongo, nyie ndio mlisema wafanyabiashara sasa hivi hawasumbiliwi?Kabisa kabisa, yaani kila idara ni kukusanya pesa tu, kinachoudhi na kukera ni vitisho na ukihoji kidogo wanakutandika na faini
Hawajui unapata au unakosa wao wanataka tu, mpaka watu wagome ndio wan act kuchukua hatua, leo ni mwezi karibu hakuna majibu ya kikao cha arnatouglo
Ndio wameacha kusumbuliwa na tra ila sasa wanasumbuliwa na zima motoUnajua huwa siwaelewi wabongo, nyie ndio mlisema wafanyabiashara sasa hivi hawasumbiliwi?
Yaani yote hayo ni mapato ya serikali tuHizi ni kama zile Stika za Nenda Kwa usalama zinauzwa alfu tatu faini yake alfu 30 sijuwi Huwa zinasaidia nini.