Ya Dr. Mwele Malecela na Prof. Mussa Assad

Ya Dr. Mwele Malecela na Prof. Mussa Assad

CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
CAG Assad hashindani na muhimili wowote na sidhani kama ana wapambe. Masuala ya kitaalamu hayahitaji wapambe, anasimamia tu maadili ya fani yake na taratibu za nchi.
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Wakienda kukaa na kubadili vifungu vya katiba kwa ajili ya kum overthrow Musa Assad watakuwa wanaendelea kudhirisha jinsi walivyo Dhaifu na Hohehahe

Sent from my Boeing 737-MAX 8 using Tapatalk
 
..ningekuwa mtu wa karibu wa Prof ningemshauri kwamba hata kama atashinda mtihani huu asepe akafanye kazi nje ya nchi au kwenye taasisi za kimataifa.
may 2019 anastaafu ki halali kabisa.Haikutakiwa kumfanyia hivi.kuna leo na kesho.Hawa wanaomdhiaki na kushangilia hili la Bunge pamoja na Wabunge wenyewe ipo siku watadharirika kwa hili walilolifanya.Ata kama ni Sheria za kidunia lakini yupo Mungu anae toa hukumu za haki kosa ni kosa ata kama kwa sheria za kibinadamu lipo sawa machoni na miyoyoni mwao....Mfano Serikali nyingi zimepitisha sheria kuruhusu ndoa za jinsia moja wakati mbele ya Mungu na imani zetu dunia nzima zinapinga jambo hili..sote kiroho tunajua na kweli kabisa kuwa HUKUMU inawasubiri kama ya wale wa Sodoma na Ghomora
 
CAG’s constitutional mandate is to hold the
executive accountable
..na bahati mbaya Jiwe believes NO ONE is allowed to hold him accountable. Hili saga lote remote ipo Magogoni
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Ndiyo keshaishinda hiyo mihimili unayosema. Mihimili imeufyata kwa CAG
 
Back
Top Bottom