Ya Feisal, Yanga na maamuzi ya TFF

Pamoja na yote uliyo andika Feisal bado ni mali ya Yanga utake usitake
Hoja ilivyokuwa inabishaniwa(fact in issue or point of determination) ni kama Feisal alivunja mkataba kihalali Kwa kufuata masharti ya Mkataba wake na Yanga au La,lkn TFF badala ya kutoa decision ya hoja ya Msingi,wanakuja na blanket statement kuwa Feisal bado ni mchezaji halali wa Yanga
 
Ambacho huelewi ni nini sasa hapo?
Kama wamesema ni mchezaji halali wa Yanga maana yake kuvunja kwake mkataba hakutambuliki yaani ni batili.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Wengi wanaogopa mashuti ya Feisal siku wakikutana na Yanga.Wameshasahau Kuna K Azz. Kipa wao ilifikia hatua ikikaribia mechi ya Yanga na Simba anajiumiza vidole Kwa maksudi Ili asicheze mechi hiyo.
 
Kosa kubwa la Feisal, alikosa mtu sahihi au makini wakati anaingia mkataba na Yanga, haya ndo madhara yake. Na iwe fundisho kwa wengine kuwa mkataba ndo maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…