Ya Francis Nanai na ukachero bobevu wa maslahi ya chama uliopo na utakaoendelea kuwepo ndani ya CCM

Ya Francis Nanai na ukachero bobevu wa maslahi ya chama uliopo na utakaoendelea kuwepo ndani ya CCM

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Wengi kama si wote bado hawaelewi ni kwa sababu gani hasa vyama vikongwe kama CCM vinaendelea kubaki madarakani. Jibu ni moja, uimara na ubora wao katika nyanja ya mikakati imara na ubobevu wao katika suala la ukachero chanya uhusuo maisha ya CCM yao. Huo ndiyo msingi wa ukongwe wao na ni kweli kwalo CCM ni JABALI!

Francis Nanai kwa mfano, ni mmoja wa wana-mikakati na kachero aliyepelekwa kwa makusudi kabisa kwenda pale Mwananchi kwa maslahi ya nchi na CCM na wengi wetu hatukulitambua hilo. Leo, mwana mkakati huyo amefanikiwa kwa kiwango chake kuyatimiza malengo yaliyo mpeleka pale Mwananchi Communication. Na hivi punde, kwa kazi bora aliyoifanya anaenda kupewa zawadi ya Ubunge na baadae ndiye atakuwa Waziri mdogo wa Habari. 'Muda utaongea.'

Funzo kwa Vyama vingine; ni lazima kwanza mkuze/mkue uwezo wenu wa intelijensia. Pia, mtambue ni ngumu kwenu kukua kwenye nchi zenye magwiji wengi wa fitina pasi na ninyi kuwa sehemu ya.

CCM tupende au tusipende bado ipo ipo sana katika nchi hii. Na hii ni kwa sababu imewekeza pakubwa mno katika kupata taarifa za kiintelijensia kutoka pande zote. Na hata hao tunaowaita wenye vyama vyao vya Upinzani usikute pia wao ni sehemu ya wana mikakati ya CCM.

CCM ni hatari!
 
Wengi kama si wote bado hawaelewi ni kwa sababu gani hasa vyama vikongwe kama CCM vinaendelea kubaki madarakani. Jibu ni moja, uimara na ubora wao katika nyanja ya mikakati imara na ubobevu wao katika suala la ukachero chanya uhusuo maisha ya CCM yao. Huo ndiyo msingi wa ukongwe wao na ni kweli kwalo CCM ni JABALI!
Lumumba kwa kujivika sifa zisizostahili!!

Nanai amekuwepo Mwananchi Communication kwa zaidi ya miaka 8, na kabla ya hapo alikuwa sekta binafsi vilevile halafu mseme eti alipelekwa pale na Big Mind wa CCM!!!!

Kuyumba kwa Mwananchi hakuna uhusiano wowote na hicho unachotaka kuaminisha watu hapa kwamba eti espionage ya CCM bali CCM na Magu walishakuwa na bifu na Mwananchi, so it's a matter of time kabla hawajaanza kuwashughulikia!!!

Kwa wenye kumbukumbu, watakumbuka wakati wa kampeni mwaka 2015, CCM walimpiga chini Mwandishi wa Mwananchi aliyekuwa kwenye kampeni za JPM kwa madai kwamba gazeti hilo linamhujumu Magu!!!!

Btw, hivi Francis Nanai kuwa CCM ni jambo la ajabu wakati hata maofisa wa jeshi nao ni CCM kiasi cha wengine kufikia kuonesha upumbavu wao hadharani!
 
Lumumba kwa kujivika sifa zisizostahili!!

Nanai amekuwepo Mwananchi Communication kwa zaidi ya miaka 8, na kabla ya hapo alikuwa sekta binafsi vilevile halafu mseme eti alipelekwa pale na Big Mind wa CCM!!!!
...ikiwa huko kwenye Sekta binafsi watu wa aina hiyo niliyoitaja huwa hawapo kwa hakika upo sawa sawa 100%....
 
...ikiwa huko kwenye Sekta binafsi watu wa aina hiyo niliyoitaja huwa hawapo kwa hakika upo sawa sawa 100%....
Acha kudanganya watu wewe... wana habari wengi Tanzania ni CCM tangia hapo kwa sababu, kama walivyo kwenye kada zingine, wana habari wengi ni wahemea tumbo!!

Nanai ni mmoja tu wa Watanzania wengi... kuanzia kwenye media hadi kwenye majeshi yetu!! Na kama nilivyosema, kutetereka kwa Mwananchi is just media suppression iliyoanza mara Magu alipoingia madarakani! Na ukichanganya na ule upumbavu kwamba Mwananchi walikuwa wanamhujumu Magu, issue ndo inakuwa mbaya zaidi!!!

Hiyo espionage unayotaka kudanganya watu hapa, matunda yake yangetumika mwaka 2015 ambapo CCM ndo walikuwa na wakati mgumu kweli kweli lakini ndo kwanza, mkaishia kuwapiga ban waandishi wa Mwananchi kwamba wanawahujumu!!!
 
Hapa ninapo type kuna kuku(Mnyama) yuko karibu yangu ananiangalia angali sijui ametumwa na chama huyu?
 
Wengi kama si wote bado hawaelewi ni kwa sababu gani hasa vyama vikongwe kama CCM vinaendelea kubaki madarakani. Jibu ni moja, uimara na ubora wao katika nyanja ya mikakati imara na ubobevu wao katika suala la ukachero chanya uhusuo maisha ya CCM yao. Huo ndiyo msingi wa ukongwe wao na ni kweli kwalo CCM ni JABALI!

Francis Nanai kwa mfano, ni mmoja wa wana-mikakati na kachero aliyepelekwa kwa makusudi kabisa kwenda pale Mwananchi kwa maslahi ya nchi na CCM na wengi wetu hatukulitambua hilo. Leo, mwana mkakati huyo amefanikiwa kwa kiwango chake kuyatimiza malengo yaliyo mpeleka pale Mwananchi Communication. Na hivi punde, kwa kazi bora aliyoifanya anaenda kupewa zawadi ya Ubunge na baadae ndiye atakuwa Waziri mdogo wa Habari. 'Muda utaongea.'

Funzo kwa Vyama vingine; ni lazima kwanza mkuze/mkue uwezo wenu wa intelijensia. Pia, mtambue ni ngumu kwenu kukua kwenye nchi zenye magwiji wengi wa fitina pasi na ninyi kuwa sehemu ya.

CCM tupende au tusipende bado ipo ipo sana katika nchi hii. Na hii ni kwa sababu imewekeza pakubwa mno katika kupata taarifa za kiintelijensia kutoka pande zote. Na hata hao tunaowaita wenye vyama vyao vya Upinzani usikute pia wao ni sehemu ya wana mikakati ya CCM.

CCM ni hatari!
Inaweza kuwa kweli unayosema mbona mnatumia Bunduki kuzuia wenzenu wasifanye siasa?
 
Acha kudanganya watu wewe... wana habari wengi Tanzania ni CCM tangia hapo kwa sababu, kama walivyo kwenye kada zingine, wana habari wengi ni wahemea tumbo!!

Nanai ni mmoja tu wa Watanzania wengi... kuanzia kwenye media hadi kwenye majeshi yetu!! Na kama nilivyosema, kutetereka kwa Mwananchi is just media suppression iliyoanza mara Magu alipoingia madarakani! Na ukichanganya na ule upumbavu kwamba Mwananchi walikuwa wanamhujumu Magu, issue ndo inakuwa mbaya zaidi!!!

Hiyo espionage unayotaka kudanganya watu hapa, matunda yake yangetumika mwaka 2015 ambapo CCM ndo walikuwa na wakati mgumu kweli kweli lakini ndo kwanza, mkaishia kuwapiga ban waandishi wa Mwananchi kwamba wanawahujumu!!!
Naunga mkono hoja! Hivi ni nani asiyejua kuwa utawala huu umeangamiza media zote zenye kufikiri sawa sawa, halafu ukabumba media za kijinga zenye kuwafukarisha wananchi-Tanzanite, Fahari Yetu, Jamvi la Habari; na mengine ya kufanaan na hayo? kwa mtu mwenye akili timamu anajua kuwa magazeti hayo ambayo hayawezi kuuza hata nakala 30 nchi nzima kuchapwa kila siku bila mkono wa serikali ni jambo lisilowezekana!

Mdororo wa magazeti hauanzii kwa Mwananchi, tena Mwananchi ni afadhali. Mtanzania gazeti linalomilikiwa na Bashe, kada wa CCM na waziri katika serikali ya Magufuli lina hali mbaya kuliko kawaida, ukiona liko mtaani wanakuwa wamechapa nakala zisizofika 3,000 na wanaenda mikoa isiyofika mitano. Nani amesababisha hiyo?

Salama ya Mtanzania labda Bashe afanikiwa kuwabembeleza washashi ili Mtanzania liwekwe kwenye group moja na magazeti hayo ya Tanzanite na mengine kama TAZAMA! Mleta post hashangai gazeti kama TAZAMA kila Jumanne lipo mitaani licha ya ukweli kwamba halina mauzo, na usishangae ukafika linakochapiwa ukakuta limelipiwa matoleo ya mbele hata manne matano....

Print media imekuwa katika hali mbaya kufuatiwa ujio wa digital, lakini hata hivyo, awamu ya Tano imekuja kulazimisha kifo cha magazeti yenye akili ya kulisaidia Taifa!
 
Wengi kama si wote bado hawaelewi ni kwa sababu gani hasa vyama vikongwe kama CCM vinaendelea kubaki madarakani. Jibu ni moja, uimara na ubora wao katika nyanja ya mikakati imara na ubobevu wao katika suala la ukachero chanya uhusuo maisha ya CCM yao. Huo ndiyo msingi wa ukongwe wao na ni kweli kwalo CCM ni JABALI!

Francis Nanai kwa mfano, ni mmoja wa wana-mikakati na kachero aliyepelekwa kwa makusudi kabisa kwenda pale Mwananchi kwa maslahi ya nchi na CCM na wengi wetu hatukulitambua hilo. Leo, mwana mkakati huyo amefanikiwa kwa kiwango chake kuyatimiza malengo yaliyo mpeleka pale Mwananchi Communication. Na hivi punde, kwa kazi bora aliyoifanya anaenda kupewa zawadi ya Ubunge na baadae ndiye atakuwa Waziri mdogo wa Habari. 'Muda utaongea.'

Funzo kwa Vyama vingine; ni lazima kwanza mkuze/mkue uwezo wenu wa intelijensia. Pia, mtambue ni ngumu kwenu kukua kwenye nchi zenye magwiji wengi wa fitina pasi na ninyi kuwa sehemu ya.

CCM tupende au tusipende bado ipo ipo sana katika nchi hii. Na hii ni kwa sababu imewekeza pakubwa mno katika kupata taarifa za kiintelijensia kutoka pande zote. Na hata hao tunaowaita wenye vyama vyao vya Upinzani usikute pia wao ni sehemu ya wana mikakati ya CCM.

CCM ni hatari!
Achieni tume huru ya uchaguzi tuone kama mtaendelea kuwepo
 
Back
Top Bottom